X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
yajayo yafurahisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meneja wa kituo keshasema wao walikuwa wamefunga kituo saa hizo na hakuna mauzo, una semaje hapo? hao ni maafisa majambazi tuu na wasio julikana hadi wachapwe Shaba ndio wanajulikana. Nadhani hiyo ndio dawa pekee iliyobaki.Kwa ninyi wa Dar na miji mingine mikubwa mna bohari za GPSA. Huku wilayani hayo mambo hakuna. Gari za serikali zinajaza mafuta katika vituo binafsi, kwa makubaliano maalu ya kutumia vocha ama vitabu, then malipo baadae!
Na wameenda kufanya nini??Swali:Ilikuwaje hao usalama wa taifa waelekee ofisini kwa Zakaria bila appointment?
Hawachukui mafuta bohari siku hizi?Kwan serkal inamiliki vituo vya mafuta?
Kusema uongo, hasa kwa public, ni kazi sana maana hata pale ambapo new facts zinapoibuka wewe unalazimika ku maintain uongo wako.... Angalia RC anavyopata shidaaSiku zote uongo hujitenga na ukwel ndyo maana wameshindwa kutengeneza movie inayoelweka
Swali muhimu la kujiuliza je sheria yao inawaruhusu kuvamia na arrest ?Hata kama bwana...Yani TISS na Ujanja wao woteee wameshikwa pabaya sana na huyu jamaa. Miaka ya Mwinyi na Nyerere walikuwa wakikufuata mzee hata hatukusikii kabisa, yaani tunakuja kupewa taarifa tu kwamba umepotea tu. Lakini siku hizi, hahahahaha kila mtu anajua kuna mkono wa Serikali kabisa.
Wenye kituo wamesema saa kumi na mbili huwa wanafunga kituo chao sasa saa mbili walikuja kufanya nini?Kwa ninyi wa Dar na miji mingine mikubwa mna bohari za GPSA. Huku wilayani hayo mambo hakuna. Gari za serikali zinajaza mafuta katika vituo binafsi, kwa makubaliano maalu ya kutumia vocha ama vitabu, then malipo baadae!
alishindwa mini kuhama Hugo mzee nae?,pesa anayo angehamisha investment zakekama aliona wanamsonga songa.Hawa watu walichokifanya kwa mzee wa watu sio kitu kizuri kabisa najaribu kuimagine mzee kama peter zakaria anakumbana na sekeseke LA vijana watano tena wenye mafunzo ya kijeshi pamoja na silaha kwa na uzee ule kwa kweli sio fair ata kidogo tuweni na huruma na damu za watu tuwe na moyo wa kiubinadamu kama anakosa adhibitiwe kisheria na sio kwa style hii koz kwa utawala huu naamin hakuna alie juu ya sheria na kama basi hajavunja sheria aachwe afanye yake koz linapokuja swala LA chama yule mzee kasaidia mengi sana msipishane kwa jambo dogo akaonekana wa kazi gani koz jamaa ktk awamu hii kasumbuka sana kuna siku amedodosha machozi kanisan kwa jinsi anavyosakamwa na watesi wake hope viongozi wenye mamlaka kimkoa au kiwilaya wanamchonganisha kwa mkuu wa kaya .busara zaidi zitumike kutatua hili swala
Safi sana
Serikali haina kituo cha mfuta ndugu, kwa hili, jaribu kuongeza uwelewa kdg.
Haimiliki ila ina utaratibu wake.Kwan serkal inamiliki vituo vya mafuta?
adam Malima akiingia kichwa kichwa kwenye hili atadhalilika vibaya mno !Hiyo nayo ioneniView attachment 800180
“Kwa siku tatu mfululizo nililishuhudia gari lililohusika katika tukio likiwa limeegeshwa nyuma ya kituo cha mafuta cha Zakaria wakijifanya kulifanyia matengenezo, hii inaonyesha walikuwa kwenye mtego kufuatilia nyendo za Zakaria.” - Bashiri Selemani, M/Kiti wa Mtaaadam Malima akiingia kichwa kichwa kwenye hili atadhalilika vibaya mno !