Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Mnamo Julai 2018 Peter Zakaria aliwashambulia kwa risasi maafisa usalama wa Taifa kwa kile kinachodaiwa walikuwa kazini. Hawa ndiyo walikuwa wanaitwa WASIOJULIKANA.

Kwa ushujaa aliounyesha kwenye utawala DHALIMU wa Magufuli, napendekeza sisi wapenda amani tumtambue Peter Zakaria kama SHUJAA wa kipindi alichotawala DIKTETA na tumjengee Sanamu lake.
Ajengewe sanamu gani Peter zakaria. zakaria ni huyu tajiri aliyewatesa watu wa Tarime Kwa kuwaua ,aliyewadhulumu wa Mali zao mchana kweupe, aliyewasingizia watu kesi na kuwaweka kolokoloni.zakaria huyu aliyewahi kuwachapa viboko abiria waliokataa kushuka kwenye Busi lake baada ya kukatisha safari ghafla instead ya kuwafikisha sirari akalazimisha waishie Tarime mjini , zakaria huyu mkepa kodi na mfanyabiashara ya magendo, Zakaria huyu aliyepora na kujipatia Mali na majumba na ya chama cha ushirika cha Nyanza Jijini mwanza , zakaria huyu mwana CCM kindakindaki anayetumia jina mwamvuli wa chama kujinufaisha kiuchumi etc. Sanamu inajengewa watu kama Peter zakaria
 
Hakuna haja ya kuwatafuta maana hawapo!. Jamaa mmoja anaitwa karma, amewashughulikia mmoia baada ya mwingine!.
P
Una maana gani kusema ya kuwa karma imewashughulikia? Je na wao wapo na baba yao kuzimu?
 
Umesahau picha
HAMZA pia
923289920.jpg
 
Unatetea jambazi peter zakaria? Mwambieni ajambe kama havuji mavi, mwambie akimbie kama hatingishi tako na mwambie acheke kama halembui.

Dawa ya majambaz ni chuma tu.
Manyampara walimfaidi sana, mpaka akawa anawavunjia uno huku akirap kwenye maiki na anazimeza!

Hatarudia tena ubabe wa jipumbavu kisa ana hela.

Majmbaz wote wanapelekewa moto kimya kimya.

Hongereni kwa kaz njema makamanda.
 
Hivi huwezi kuomba ajengewe sanamu bila kumdhalilisha marehemu?.
Hebu mwacheni huyu baba apumzike!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Mkuu Pascal, ni vigumu kumsahau na kumuacha aende/apumzike wakati damu za watu zilijaa mikononi mwake. Hata binadamu wenzie wasipomsema ARDHI iliyommeza itamtapika.

Kwanini Mkapa asisemwe? Kwanini ni yeye tu?? Hata kama Watangulizi wake waliyatenda yao lkn sio kwa namna ya Bwana Yule.
 
Ndahani ulikuwa wapi wakati anaua akina Ben Saanane? Je kumshambulia Lissu sisyo udhalimu? Na hizo fedha alizonyang'anya wafanya biashara na miliki wa Bureaux De Change? Try to be serious hata kama ni Msukuma mwenzio
Hii mada Ben Saanane ameingiaje?
 
Mwamba mno Zakaria ni mtu na nusu aisee acha kabisa Mzee huyo! Walitaka kumuua ila akawawahi wao ***** zao hao! Plan ilikuwa kumweka kwa kiroba!
 
Hii mada Ben Saanane ameingiaje?
Wajinga tu ndiyo humuabudu Magufuli. Ila werevu wanajuwa kuwa alikuwa Mwizi, mwongo, mtekaji na muuaji. Hayo mandege na miradi aliyafanya kwa msukumo wa rushwa. Ndege zenyewe kumbe zina engines mbovu
 
Wajinga tu ndiyo humuabudu Magufuli. Ila werevu wanajuwa kuwa alikuwa Mwizi, mwongo, mtekaji na muuaji. Hayo mandege na miradi aliyafanya kwa msukumo wa rushwa. Ndege zenyewe kumbe zina engines mbovu
Sio wanaomwabudu Zachariah ndio wajinga?
 
Back
Top Bottom