Tarime Mjini nako moto unaendelea

Tarime Mjini nako moto unaendelea

CHADEMA IPO ILIKUEPO NA ITAENDELEA KUWEPO! ✌🏾✌🏾✌🏾💪🏾💪🏾💪🏾

CHADEMA NI MSINGI WA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA KWELI TANZANIA.

MUNGU IBARIKI CHADEMA🙏🏾
 
Mara nyingi ukizuia kitu fulani, unajenga hali ya watu kukitamani. Utaona watu watakavyokuwa wakifuruka kwenye mikitano ya CHADEMA. Watajaa kwa kuamini watasikia mambo mapya ambayo wamenyimwa kuyasikia kwa miaka 4.

Mikutano ya CCM itadoda kwa sababu watu wamekuwa wanawasikia wakati wote. Wanajua hakuna jipya watakalolisikia.

Wananchi watataka kupata maoni yoka kwa wapinzani juu ya ypte ambayo CCM imekuwa ikiwaambia jwa miaka 4.

CCM watakuwa na nini cha kuwaambia watanzania ili kuwapa hamasa mpya, zaidi ya reli, bwawa la umeme, ndege, vipande vya barabara za kwenye miji, ujenzi wa masoko na stand? Siyo kwamba mambo hayo ni madogo ila walikwishayasikia mara nyingi. Hulka ya binadamu ni kupenda kusikia mambo mapya.

Hulka ya binadamu, ni kutafuta anachokikosa. Kwa sasa, Watanzania wanachokikosa zaidi ya kitu chochote, ni uhuru na demokrasia yao. Serikali ifanye vyote lakini ikawanyima wananchi uhuru wao, wakati wote itashuhudia kukosa uungwaji mkono wa wananchi walio wengi.

Maputo pale Wareno walikaa zaidi ya miaka 500. Walitengeneza kila kitu, lakini wananchi hawakuyaona hayo yote. Waliingia kwenye mapigano na kuharibu hata vilivyokuwa vimetengenezwa ili kuwa na maamuzi juu ya maisha.
Hakuna maendeleo yoyote yaliyoletwa na hii serikali zaidi ya kujisifu watu wamechoka sana awamu hii
 
Chadema itaenda weeeeeeeeeee,ila ikifika dakika ya tisini anakuja mtu anashambulia goli kilaini kabisa,tatizo kipa huwa anasahau kudaka anabaki kushangaa uzufri wa uwanja na kusikiliza kelel za mashabiki.
 
Back
Top Bottom