Mwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa!Hilo daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa watu si wameandikishwa juzi tu hapo? Au huyo mtu aliibuka akaenda kujiandikisha na baadaye kutoweka tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa!Hilo daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa watu si wameandikishwa juzi tu hapo? Au huyo mtu aliibuka akaenda kujiandikisha na baadaye kutoweka tena?
Mwakilishi wa nini,sijawahi kupiga kura tangu uchaguzi wa 2005,ila vituko kama hivi ni vichekeshoUjinga wenu WA kulalamikia jamiiforums mkiambiwa wekeni wawakilishi mnakalia propaganda Tu mtandaoni huku
Tumia akili ...umejuaje kuwa siyo kujiandikisha kwa hivi majuziSasa anaetakiwa kutoa taarifa za yeye kufutwa ni Tume? Yeye Yuko kwenye daftari alishajiandikisha sasa ndugu zake wanatakiwa wakatoe taarifa afutwe na kama hawajatoa taarifa hawezi futwa! Kufutwa na kutokufutwa hakufanyiki kiholela kunafanyika Kwa kufuata taratibu
Eti na huyu naye ni great thinker, kumbe kuna vilaza wa kutosha humu if.Sasa anaetakiwa kutoa taarifa za yeye kufutwa ni Tume? Yeye Yuko kwenye daftari alishajiandikisha sasa ndugu zake wanatakiwa wakatoe taarifa afutwe na kama hawajatoa taarifa hawezi futwa! Kufutwa na kutokufutwa hakufanyiki kiholela kunafanyika Kwa kufuata taratibu
Kwamba Ukiwa siasani uislamu unaweka pembeni,Ikiwa wakati wa Nyerere tulipiga kura na wagombea maruhani, vipi mshangae wapiga kura maruhani?
Nyerere alikuwa Muislam?
Au una chuki tu na Uislam ikabidi uutaje?
Nani umtowe tonge mdomoni?Kwamba Ukiwa siasani uislamu unaweka pembeni,
Hila na wizi wa kura unaendelea sio!!
Lissu hajambo, na ndiye muislam Kweli Kweli sababu anasimama katika Kweli na HAKI,Nani umtowe tonge mdomoni?
Ajaribu kwa Mbowe uione kazi, haufiki hata hatua za kura.
Wangwe yuko wapi?
Zitto yuko wapi?
Mkumbo yuko Wapi?
Lissu hajambo?
Sahihi .Ujinga wenu WA kulalamikia jamiiforums mkiambiwa wekeni wawakilishi mnakalia propaganda Tu mtandaoni huku
CCM wanateka watuMwenge Chacha Ghati, mkazi wa wilayani Tarime akielezea kushangazwa kwake baada ya kukuta jina la mke wake kwenye daftari la wapiga kura wakati amepotea miaka mitatu iliyopita
Pia soma: LGE2024 - Waziri Mchengerwa: Jumla ya wapiga kura milioni 31, 282,331 wamejiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024
Well saidLissu hajambo, na ndiye muislam Kweli Kweli sababu anasimama katika Kweli na HAKI,
Si Hawa kina Mchengerwa.
CCM wanateka na kuua watuNa dc wa longido alishayaweka wazi.. wanayofanya huko maporini ndio haya
Tunaongozwa na majambazi tupuHii nchi kwakweli.Mambo mengine yanahuzunisha sana.
Mwenge Chacha Ghati, mkazi wa wilayani Tarime akielezea kushangazwa kwake baada ya kukuta jina la mke wake kwenye daftari la wapiga kura wakati amepotea miaka mitatu iliyopita
Pia soma: LGE2024 - Waziri Mchengerwa: Jumla ya wapiga kura milioni 31, 282,331 wamejiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024
Watolee ufafanuzi gani na wakati ni kweli?Wametia pamba maskioni, pamoja na malalamiko yote haya kila pande hakuna anaekuja kutolea ufafanuzi au kukubali kua kuna dosari kubwa kwenye zoezi hili
Hilo swali sio kazi ya mwandikishaji kujibu mambo yao kama mke alitoweka anaishi na Mwanaume mwingine lakini kujiandikisha kajitokezaHilo daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa watu si wameandikishwa juzi tu hapo? Au huyo mtu aliibuka akaenda kujiandikisha na baadaye kutoweka tena?
SahihiAtafute mume mwenzie
Huyo kawekwa sehemuu
Hiyo hamumfanyi chochote umesikia mie nakaa tarime! Mie sikai huko na wala sina mpango na hizo kura zenyewe nyie mnaofikiri mtaishi milele katika dunia hii angaikeni tu na hizo kura za wizi mpate madaraka muitwe waheshimiwa muwe na maisha mazuri kwa kula dhuluma,hata yule mbwa wenu anayejifanya mtu Rahim aendelee tu na maigizo yake na kwa msaada wa huyo shetani anayemtumikia atapata hayo madaraka na utukufu anaoutaka.Hilo swali sio kazi ya mwandikishaji kujibu mambo yao kama mke alitoweka anaishi na Mwanaume mwingine lakini kujiandikisha kajitokeza
Mkeo akihama nyumbani miaka unaenda kumtafuta kituo cha kuandikusha wapiga kura?
Kwa taarifa yako na kura atapiga vizuri na hamumfanyi chochote
Akitaka kurudi kwa huyo anayejiita mume atarudi kwa wakati wake akitaka
Hamuwezi mnyanyasa akose haki yake ya kupiga kura wakati walishaachana na mumewe
Umekiona cheti chake cha kifo yaani death certificate? Na pamoja na death certificate umeona kaburi lake alipozikwa Kama ushahidi ? Viambatanishe hapaKama marehemu mmoja kaandikishwa Tarime, unahisi ni wangapi wamefufuka na kujiandikisha nchi nzima?