Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,529
- 6,095
Sasa usilalamike ukichezewa rafuMwakilishi wa nini,sijawahi kupiga kura tangu uchaguzi wa 2005,ila vituko kama hivi ni vichekesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa usilalamike ukichezewa rafuMwakilishi wa nini,sijawahi kupiga kura tangu uchaguzi wa 2005,ila vituko kama hivi ni vichekesho
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndio usha pigwa K.O hivyo Kwa kulalamikia kwenye keyboard unadhani utatoboaEti na huyu naye ni great thinker, kumbe kuna vilaza wa kutosha humu if.
Ndio Mbowe anasema hajajitoa kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa Ila hakuweka hata mwakilishi sehem za KujiandikishaSahihi .
Bora ubwege kuliko uchawa! Chawa anapatikana kwenye uchafu!Umekiona cheti chake cha kifo yaani death certificate? Na pamoja na death certificate umeona kaburi lake alipozikwa Kama ushahidi ? Viambatanishe hapa
Kama huna acha umbeya bwege wewe
Hoja ni kwamba Dini ya Kiisilamu haitaki dhuruma na udanganyifu. Mchengerwa kama ni Muisilamu kwa nini anaubariki utapeli huu? Kwa hiyo Mgalatia ikikosea na wewe Muisilamu unahalalisha upuuzi kwa makosa ya Mgalatia???Ikiwa wakati wa Nyerere tulipiga kura na wagombea maruhani, vipi mshangae wapiga kura maruhani?
Nyerere alikuwa Muislam?
Au una chuki tu na Uislam ikabidi uutaje?
Hopeless unayefanya harakati bubu huku,nenda kajiandikishe upige Kura alafu ndio ukionewa uje ulalame,unalalamika hata bullot box huijui!Falasi wewe, nenda rudi fb.
Hujaelewa kitu weweSasa anaetakiwa kutoa taarifa za yeye kufutwa ni Tume? Yeye Yuko kwenye daftari alishajiandikisha sasa ndugu zake wanatakiwa wakatoe taarifa afutwe na kama hawajatoa taarifa hawezi futwa! Kufutwa na kutokufutwa hakufanyiki kiholela kunafanyika q¹aKwa kufuata taratibu
Harakati gani we kenge?Hopeless unayefanya harakati bubu huku,nenda kajiandikishe upige Kura alafu ndio ukionewa uje ulalame,unalalamika hata bullot box huijui!
Za kutolewa malindaHarakati gani we kenge?
nani alikwambia serikali isiyo na dini inaendeshwa kiislam?Hoja ni kwamba Dini ya Kiisilamu haitaki dhuruma na udanganyifu. Mchengerwa kama ni Muisilamu kwa nini anaubariki utapeli huu? Kwa hiyo Mgalatia ikikosea na wewe Muisilamu unahalalisha upuuzi kwa makosa ya Mgalatia???
Sitoi marinda mashoga, mtafute p. Diddy.Za kutolewa malinda