Tarime: Mwalimu wa Madrasa akamatwa kwa tuhuma za kunajisi watoto wadogo

Tarime: Mwalimu wa Madrasa akamatwa kwa tuhuma za kunajisi watoto wadogo

... wazazi wa watoto hao Magreth Sabai na Joyce Gesere walikuwa na watoto wao nje ya Kituo cha Polisi. Halafu watoto wote wana miaka 8.

Halafu majina ya watoto hao yamehifadhiwa! Sasa kuficha majina ya watoto kwa case hii inasaidia nini wakati umesha-disclose taarifa nyingine zote za kuwatambua?
Nipashe nalo ni gazeti la udaku, nini kimeisibu nchi hii?,raping it's a serious case inatakiwa iwe makini nayo, je kituo hiki cha police kina rape evidence collection kit?,nitashukuru mno jibu likiwa ni ndio, maana tutapata water tight case against suspect, na je suspect ameshapandishwa kizimbani kujibu tuhuma?kama bado kumtaja Jina lake humu ni makosa makubwa
 
Inaonekana mwalimu ni muislam, ila wanafunzi si waislam kwa mujibu wa majina,
Sasa hapo mwalimu wa dini alikua anafundisha dini gani? Na wanafunzi walikua wanasoma dini gani?
Hii habari imekaa kimbea kimbea na kichokozi chokozi tu
 
Kuanzia Leo huyo bwege asahau pilau
Asahau beer
Asahau kipapa na harufu yake inayotia mashamsham.
Asahau chumvini.
Atakuja kutoka 2043 Kama atakua na nidhamu, akijitia mjanja Ni 2053 kipindi hicho kina mpwayungu village mrangi watakua hawana nguvu za kiume Tena. Watakua wanasimulia wajukuu tu.
 
UONGO HUPANDA LIFT...ILA UKWELI HUJA KWA NGAZI...

HATA MUSA ALISINGIZIWA AMEMBAKA MKE WA WAZIRI...ILA UKWELI BAADAE ULIGUNDULIKA...NA WALIOMSINGIZIA WALIKUJA KULIPA BAADAE...

THEY JUST THINK BY DOING SO...WANAUDHALILISHA UISLAAM...
 
Mwalimu wa dini wa shule za madrassa huko Tarime amekamatwa kwa tuhuma za kunajisi watoto wadogo.

Soma mwenyewe hapa chini.

======

MWALIMU wa madrasa kwenye Msikiti wa Kebeyo, Kijiji cha Getenga, Tarafa ya Inchugu wilayani Tarime mkoani Mara, Shaban Harun (37) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Sirari kwa tuhuma za kuwanajisi wanafunzi wake wawili wenye umri wa miaka minane kila mmoja.

Inadaiwa kuwa mwalimu huyo alifanya ukatili huo dhidi ya watoto hao (majina tunayahifadhi) baada ya kuwapeleka kwenye chumba anachoishi na kuwafanyia vitendo hivyo.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Getenga, Julius Makuri alidai: "Wakazi wa Kitongoji cha Kebeyo, Kijiji cha Getenga tumesikitishwa na kitendo cha mwalimu huyo kuwatendea vitendo vya kinyama watoto wadogo ambao ni wanafunzi wake.

"Tunaomba sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye nia mbaya dhidi ya watoto ambao ni taifa la kesho."

Wazazi wa watoto hao Magreth Sabai na Joyce Gesere, walikutwa na Nipashe wakiwa na watoto wao, nje ya Kituo cha Polisi Sirari.

Nipashe
kwa hukumu zetu ss kosa hili ni kupigwa mawe mpaka kufa kwa sheriaya zenu nyiyi haya mkamfunge miaka 30 hili akaendeleze tabia hizo

swali mapadr wano ongoza kuwafira wtoto duniani uwai ona wakafungwa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi hawa walimu wa madrasa mbona wanapenda sana kulawiti watoto wadogo? Pamoja na kuruhusiwa kuoa wake wanne lakini bado hawatosheki? Wapuuzi wakubwa!
 
Subiri mkuu, wanakuja kukupa majibu

IMG_20230116_184045.jpg
 
Mwalimu wa dini wa shule za madrassa huko Tarime amekamatwa kwa tuhuma za kunajisi watoto wadogo.

Soma mwenyewe hapa chini.

======

MWALIMU wa madrasa kwenye Msikiti wa Kebeyo, Kijiji cha Getenga, Tarafa ya Inchugu wilayani Tarime mkoani Mara, Shaban Harun (37) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Sirari kwa tuhuma za kuwanajisi wanafunzi wake wawili wenye umri wa miaka minane kila mmoja.

Inadaiwa kuwa mwalimu huyo alifanya ukatili huo dhidi ya watoto hao (majina tunayahifadhi) baada ya kuwapeleka kwenye chumba anachoishi na kuwafanyia vitendo hivyo.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Getenga, Julius Makuri alidai: "Wakazi wa Kitongoji cha Kebeyo, Kijiji cha Getenga tumesikitishwa na kitendo cha mwalimu huyo kuwatendea vitendo vya kinyama watoto wadogo ambao ni wanafunzi wake.

"Tunaomba sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye nia mbaya dhidi ya watoto ambao ni taifa la kesho."

Wazazi wa watoto hao Magreth Sabai na Joyce Gesere, walikutwa na Nipashe wakiwa na watoto wao, nje ya Kituo cha Polisi Sirari.

Nipashe
Baada ya lile sakata la Arusha watoto kujitokeza kusema walitandikwa sana ili waseme walifanyiwa hivyo vitendo na mwalimu wa Madrasa kitu ambacho niseme kilikosa ushahidi/ Support hata kutoka kwa wazazi wa waadhirika
Sasa hivi nakuwa makini kusubiri maamuzi ya mahakama au niseme ushahidi rasmi kabla sijahukumu kwa hisia....
 
UONGO HUPANDA LIFT...ILA UKWELI HUJA KWA NGAZI...

HATA MUSA ALISINGIZIWA AMEMBAKA MKE WA WAZIRI...ILA UKWELI BAADAE ULIGUNDULIKA...NA WALIOMSINGIZIA WALIKUJA KULIPA BAADAE...

THEY JUST THINK BY DOING SO...WANAUDHALILISHA UISLAAM...
Musa wa wapi? Mke wa waziri yupi tena?
 
Uzur uislam haupimwi kwa ujinga wa mtu.Makosa ya mtu yatabak kuwa ya mhusika
Huyu hapa muanzisha thread hii hapa chini, yeye anaamini kosa la mtu mmoja linakuwa na dini yake..!

 
Back
Top Bottom