Tarime: Mwalimu wa Madrasa akamatwa kwa tuhuma za kunajisi watoto wadogo

Sheria ndiyo inataka hivyo. Hivyo kuwa tu mpole.
 
Magreth na Joyce wana watoto madrasa!
 
Uzur uislam haupimwi kwa ujinga wa mtu.Makosa ya mtu yatabak kuwa ya mhusika
😝😝 hizi dini zinagombea kombe gani? Mara Padri ooh mwl. Wa madrasaaa!!

Hawa watu wabaya wanazivhafua dini za watu pasipo sababu.

Walaaniwe wote wenye tabia za kumkebehi Mwenyezi MUNGU.
 
Matatizo ya kukariri, hawatafakari matendo yao.
 
Hivi hawa walimu wa madrasa mbona wanapenda sana kulawiti watoto wadogo? Pamoja na kuruhusiwa kuoa wake wanne lakini bado hawatosheki? Wapuuzi wakubwa!
Halafu hicho kitu kule Tandika Ni buku tu chumba chake.
Mimi siwezi kumchukulia kosa MTU anayekwenda kwa Malaya.
Malaya Wana umuhimu mkubwa Sana kwenye jamii yetu hasa wale wa kihaya ambao MTU huhitaji kutongoza na Bei zao nizakizalendo kupitiliza. Imagine buku tatu unamaliza shida yako, chumba chake mwenyewe.
 
Nasikia hata tiGO wanatoa. Sasa kwanini hawa maustadhi uchwara wasiende huko wakawafire hawo malaya badala ya kulawiti watoto wadogo. Wamelaaniwa sio bure.
 
HAWA WAVAA KOBAZI WANATUHARIBIA NCHI NA KIZAZI CHETU, KWA NINI WASIHAMISHIWE UARABUNI?? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Vipi kuhusu mapadre wanavyowaharibu vijana wenu wa kiume au ndo wanatengeza nchi?
 
UONGO HUPANDA LIFT...ILA UKWELI HUJA KWA NGAZI...

HATA MUSA ALISINGIZIWA AMEMBAKA MKE WA WAZIRI...ILA UKWELI BAADAE ULIGUNDULIKA...NA WALIOMSINGIZIA WALIKUJA KULIPA BAADAE...

THEY JUST THINK BY DOING SO...WANAUDHALILISHA UISLAAM...
Duuu umelewa dini
 
Aondolewe kilichomsababisha kutenda huo uasi
Na hii ndio ingekuwa fundisho kwa wengine wote.
Hawakomi kuwatendea unyama watoto sababu akihukumiwa miaka 30 au kifungo cha maisha ni rahisi kwao.
 
Na hii ndio ingekuwa fundisho kwa wengine wote.
Hawakomi kuwatendea unyama watoto sababu akihukumiwa miaka 30 au kifungo cha maisha ni rahisi kwao.

Wapuuzi kabisa. Wanawake wamejaa tele
Wao wanaenda kutuharibia watoto! Ushetwani mtupu
 
Nadhani adhabu wanazopewa hawa walawiti ziboreshwe kidogo. Na wao wawe wanalawitiwa kwanza kabla ya kufikishwa mahakamani ili wajue uchungu wa kulawiti watoto wa watu kabala ya kufunguliwa mashtaka. Vinginevyo, vitendo vya ulawiti havitakoma.
 
Mtawatambua kwa matunda yao....
Sijawahi kusikia mchungaji au mu8njilisti wa kisabato kulawiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…