TARURA: Ni kweli Daraja la Mto Mngeta lilitumia Tsh. milion 31

TARURA: Ni kweli Daraja la Mto Mngeta lilitumia Tsh. milion 31

Kuna dalili ya kulindana hapo😅😅😅 ila kimsingi 10M wamegawana wahuni hao
 
Hizo gharama ziko sahihi kwa ukubwa wa daraja hilo. Mwisho wasikubnanmkandarasi nayeye lazima abaki na faida. Hauwezi kuelewa mpaka uone BOQ

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
Wanaopata shida wanashukuru bora hata wamepata hilo daraja kuliko kupita kwenye mitumbwi..tukiwaambia waache nini wafanye nini itakua kama kujisumbua ila na Vieiti litapita hapo hapo...
 
Huyu engineer ni mweu kabisa,hata kama gharama ni ya mbao,lakini daraja halina hata mvuto,limetengenezwa hovyo hovyo,ni uunganishaji wa mbao na misumari.

Kama lingetengezwa Dodoma au Dar as m ambapo bei ya mbao ipo juu,bei ingekuwa Tsh ngapi?

Hapa tumepigwa,kama wataalamu ndio wanatengeza kitu Cha M31 namna hii,je wangetengeza mafundi wa mtaani,ingkuwaje?
 
Ni kweli limetumia mil 31 mchanganuo wa hesabu ni kwamba gharama za ujenzi wa daraja zima ni mil 4 na mil 27 zilitumika kuwalipa mamba ili wakae mbali na eneo hilonwakati daraja likijengwa
Hhaaahaaaaahaaaa...uwiiiiii
 
madhara ya chanjo ya uviko3 mbona yanajitokeza mapema sana ?

jamani ambao hamjachanjwa tafadhali sana …
 
Itabidi nizitafute ninunue nitengeneze furniture maana najua zitakua mkataba kwa furniture za ndani
Hizo mbao kwa furniture hazifai, zinapinda!! Hiyo mijiti Ni kiburi,asili yake hainyonyi maji, ndio Yale manguzo ya umeme wanayotumia Tanesco,

Kwenye Maji hata miaka ishirini linakaa Hilo jiti au mbao yake, na ikikauka kuingia kwake msumari kwa mbinde aswaa,
Humu wengi hawana wanalolijua wanaponda tu
 
Tena wanaokata ni wafungwa.

Serikali kuna michezo ya kishenzi sana, vidaraja kama hivi ni vya kupigia hela. Miaka mitatu ijayo, watasema mbap zimeoza, na italetwa habari mwananchi mmoja kaliwa na mamba, basi madiwani watalambishwa laki laki, na kupitisha hoja, daraja jipya lijengwe. Procurement Officer na team yake wanalamba hata 15 Mil, maisha yanasonga.
Mkuu hizo mbao haziozi kwa miaka mitatu,Kwanza kwenye Maji likikaa halinyonyi maji, Ni mti kiburi huo, ndio Yale maguzo ya umeme
 
Back
Top Bottom