TARURA: Ni kweli Daraja la Mto Mngeta lilitumia Tsh. milion 31

TARURA: Ni kweli Daraja la Mto Mngeta lilitumia Tsh. milion 31

Halina kingo, tani 10 wamejaribu kabla hawajatamka ama ni nadharia
Bila kingo hatari sana kwa mtembea kwa miguu au gari itakayokuwa inavuka.

Isitoshe, hizo mbao zilivyokaa inabidi mtu awe makini sana kuhakikisha tairi za gari hazikanyagi pembeni; tofauti na hivyo ni rahisi sana kutumbukia mtoni.

Ni aibu sana kwa mhandisi kutetea kazi ya hovyo kiasi hicho.
 
Bila kingo hatari sana kwa mtembea kwa miguu au gari itakayokuwa inavuka.

Isitoshe, hizo mbao zilivyokaa inabidi mtu awe makini sana kuhakikisha tairi za gari hazikanyagi pembeni; tofauti na hivyo ni rahisi sana kutumbukia mtoni.

Ni aibu sana kwa mhandisi kutetea kazi ya hovyo kiasi hicho.
hapo walevi wataliwa na mamba mno.....ukipepesuka tuu....chubwiii
 
SIKU Moja baada ya Mbunge wa Jimbo la Mlimba Mkoani Morogoro, Godwin Kunambi kutembelea Daraja la Mto Mngeta lililogharimu Sh Milioni 30 hatimaye Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi gharama za ujenzi huo.

Mhandisi Robert Magogo ambaye ni Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi wa Ujenzi wa mradi huo akisema gharama zilizotajwa ni sahihi huku akieleza kuwa lina uwezo wa kudumu kwa miaka 10 hadi 15.

Akifafanua ujenzi wa daraja hilo, Mhandisi Magogo amesema Daraja hilo lina urefu wa Mita 40, kina cha Mto kikiwa ni Mita 4, upana wake Mita 5 na hivyo kufanya gharama za Daraja kuwa Milioni 27.

Mhandisi Magogo ameeleza kuwa gharama ya barabara kuingia na kutoka darajani ni Sh Milioni 4 na kufanya jumla yake iwe Sh Milioni 31.

" Urefu wa wa nguzo zilizotumika ni Mita 7 na unene wake ni Mita 0.5, Mbao ni Inchi 3 kwa 8 na Inchi 3 kwa 10 na aina ya Mti ambao Mbao zake zimetumika ni za Mti aina ya Mkarati, niwahakikishie kuwa daraja hili ni imara na litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa miaka 10 hadi 15," Amesema Magogo.

Kwa upande wake Mbunge Kunambi amesema Daraja hilo litaokoa uhai wa wananchi ambao kwa muda mrefu wamekua wakipata changamoto ya kivuko kwani Mto huu una mamba ambao wamekua wakisababisha Vifo vya wananchi wetu," Amesema Kunambi.

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.44.28%2BPM.jpeg
Mbunge wa Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi (wa pili kutoka kushoto) akiwa kwenye Mtumbwi akivuka Mto Mngeta Februari mwaka huu ambapo aliitembelea Mto huo ukiwa hauna kivuko

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.46.38%2BPM.jpeg
Picha zikimuonesha Mbunge Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi akipita juu ya daraja la muda ambalo amefanikisha ujenzi wake. Daraja hili litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa muda wa miaka 10 hadi 15.

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.46.40%2BPM.jpeg
Yani hawa wasenge wameshindwa hata kuzichonga vizuri hizo mbao walau zilingane humo pembe zoni?

Milion 31??
 
Huyu Meneja wa TARURA nae hajielewi kbs. Kwanini asije na ufafanuzi ni gharama kiasi gani zilihitajika kutengeneza daraja la zege. Maana unaweza kukuta hilo daraja ni gharama ndogo endapo lingetumia sementi. Kwa hiyo baada ya miaka 10 mambo yanarudi kulekule.
 
Hizo ni zile wilaya tunazopigania ziwe mkoa wa kujitegemea baada ya Morogoro kuvunjwa na kuwa mikoa miwili.

Huko hakuna Rais wala PM anaendaga, wala vigogo wa serikali, so kupiga ni kawaida, hakuna wa kukagua wala kuuliza, unapeleka tu report.


Everyday is Saturday............................ 😎
 
SIKU Moja baada ya Mbunge wa Jimbo la Mlimba Mkoani Morogoro, Godwin Kunambi kutembelea Daraja la Mto Mngeta lililogharimu Sh Milioni 30 hatimaye Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi gharama za ujenzi huo.

Mhandisi Robert Magogo ambaye ni Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi wa Ujenzi wa mradi huo akisema gharama zilizotajwa ni sahihi huku akieleza kuwa lina uwezo wa kudumu kwa miaka 10 hadi 15.

Akifafanua ujenzi wa daraja hilo, Mhandisi Magogo amesema Daraja hilo lina urefu wa Mita 40, kina cha Mto kikiwa ni Mita 4, upana wake Mita 5 na hivyo kufanya gharama za Daraja kuwa Milioni 27.

Mhandisi Magogo ameeleza kuwa gharama ya barabara kuingia na kutoka darajani ni Sh Milioni 4 na kufanya jumla yake iwe Sh Milioni 31.

" Urefu wa wa nguzo zilizotumika ni Mita 7 na unene wake ni Mita 0.5, Mbao ni Inchi 3 kwa 8 na Inchi 3 kwa 10 na aina ya Mti ambao Mbao zake zimetumika ni za Mti aina ya Mkarati, niwahakikishie kuwa daraja hili ni imara na litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa miaka 10 hadi 15," Amesema Magogo.

Kwa upande wake Mbunge Kunambi amesema Daraja hilo litaokoa uhai wa wananchi ambao kwa muda mrefu wamekua wakipata changamoto ya kivuko kwani Mto huu una mamba ambao wamekua wakisababisha Vifo vya wananchi wetu," Amesema Kunambi.

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.44.28%2BPM.jpeg
Mbunge wa Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi (wa pili kutoka kushoto) akiwa kwenye Mtumbwi akivuka Mto Mngeta Februari mwaka huu ambapo aliitembelea Mto huo ukiwa hauna kivuko

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.46.38%2BPM.jpeg
Picha zikimuonesha Mbunge Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi akipita juu ya daraja la muda ambalo amefanikisha ujenzi wake. Daraja hili litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa muda wa miaka 10 hadi 15.

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.46.40%2BPM.jpeg
Hili hata laki saba hiishi
 
SIKU Moja baada ya Mbunge wa Jimbo la Mlimba Mkoani Morogoro, Godwin Kunambi kutembelea Daraja la Mto Mngeta lililogharimu Sh Milioni 30 hatimaye Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi gharama za ujenzi huo.

Mhandisi Robert Magogo ambaye ni Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi wa Ujenzi wa mradi huo akisema gharama zilizotajwa ni sahihi huku akieleza kuwa lina uwezo wa kudumu kwa miaka 10 hadi 15.

Akifafanua ujenzi wa daraja hilo, Mhandisi Magogo amesema Daraja hilo lina urefu wa Mita 40, kina cha Mto kikiwa ni Mita 4, upana wake Mita 5 na hivyo kufanya gharama za Daraja kuwa Milioni 27.

Mhandisi Magogo ameeleza kuwa gharama ya barabara kuingia na kutoka darajani ni Sh Milioni 4 na kufanya jumla yake iwe Sh Milioni 31.

" Urefu wa wa nguzo zilizotumika ni Mita 7 na unene wake ni Mita 0.5, Mbao ni Inchi 3 kwa 8 na Inchi 3 kwa 10 na aina ya Mti ambao Mbao zake zimetumika ni za Mti aina ya Mkarati, niwahakikishie kuwa daraja hili ni imara na litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa miaka 10 hadi 15," Amesema Magogo.

Kwa upande wake Mbunge Kunambi amesema Daraja hilo litaokoa uhai wa wananchi ambao kwa muda mrefu wamekua wakipata changamoto ya kivuko kwani Mto huu una mamba ambao wamekua wakisababisha Vifo vya wananchi wetu," Amesema Kunambi.

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.44.28%2BPM.jpeg
Mbunge wa Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi (wa pili kutoka kushoto) akiwa kwenye Mtumbwi akivuka Mto Mngeta Februari mwaka huu ambapo aliitembelea Mto huo ukiwa hauna kivuko

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.46.38%2BPM.jpeg
Picha zikimuonesha Mbunge Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi akipita juu ya daraja la muda ambalo amefanikisha ujenzi wake. Daraja hili litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa muda wa miaka 10 hadi 15.

WhatsApp%2BImage%2B2021-07-29%2Bat%2B9.46.40%2BPM.jpeg
Seriously? TZS 31 million kwa ninachoona kwenye picha? Dah! Haya bwana, Kazi iendelee!
 
Bila kingo hatari sana kwa mtembea kwa miguu au gari itakayokuwa inavuka.

Isitoshe, hizo mbao zilivyokaa inabidi mtu awe makini sana kuhakikisha tairi za gari hazikanyagi pembeni; tofauti na hivyo ni rahisi sana kutumbukia mtoni.

Ni aibu sana kwa mhandisi kutetea kazi ya hovyo kiasi hicho.
Tena hasa mtembea kwa miguu akiwa amepata moja moto moja baridi 😀. Atajisikia tu anapaa mwishoni anadakwa na hao mamba wanaosemekana wapo kwenye huo mto
 
Back
Top Bottom