TARURA: Ni kweli Daraja la Mto Mngeta lilitumia Tsh. milion 31

Kwa hiyo wahandisi wameshindwa hata kupanga hizo fito kwa elimu yao
Kwa kweli tuna dosari mahali
Nchi zingine hilo daraja linajengwa na wana kijiji na sio wahandisi
 
Hivi mnafikiri Mhandisi MAGOGO atashindwa kutetea garama zilizo tumika za daraja la MAGOGO?
 
Tukahesabu mbao na mirunda jombaa hii wizi mtupu alafu utakuta wananchi waliambiwa wake na mirunda wizi mtupu
 
Hii TARURA ni questionable, pale Morogoro mjini walipewa 300 Mil kutengeneza barabara zote ze mjini, lakini barabara hizo zimerudikiwa vifusi na kutelekezwa, tutaleta picha wahusika waone
 
Ni kweli limetumia mil 31 mchanganuo wa hesabu ni kwamba gharama za ujenzi wa daraja zima ni mil 4 na mil 27 zilitumika kuwalipa mamba ili wakae mbali na eneo hilonwakati daraja likijengwa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asante kwa elimu
 
Ni kweli limetumia mil 31 mchanganuo wa hesabu ni kwamba gharama za ujenzi wa daraja zima ni mil 4 na mil 27 zilitumika kuwalipa mamba ili wakae mbali na eneo hilonwakati daraja likijengwa.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mbao ya mkarati ya 2x6 uku kwetu inauzwa elf40,, na nguzo moja ya futi 20 inauzwa elf15 adi elf 20.. ilo daraja zima ni around million 5 adi 8,,
 
Ni kweli limetumia mil 31 mchanganuo wa hesabu ni kwamba gharama za ujenzi wa daraja zima ni mil 4 na mil 27 zilitumika kuwalipa mamba ili wakae mbali na eneo hilonwakati daraja likijengwa.
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] Karibu Tanzania
 
Ni kweli limetumia mil 31 mchanganuo wa hesabu ni kwamba gharama za ujenzi wa daraja zima ni mil 4 na mil 27 zilitumika kuwalipa mamba ili wakae mbali na eneo hilonwakati daraja likijengwa.
Daah!!!
 
Vidaraja kama hivyo huwa ni vya dharura kama mko vitani kwa ajili ya ya kupitishia Askari kuna kipindi unaweza kusema Nchi hii haina wenyewe.
 
Ukipita na lori la tani 10 hapo ni sawa na kujitoa muhanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…