Mlimba kwenyewe ukienda mlimba mjini KWENYE yard za mbao,Mbao ya mkarati ya 2x6 uku kwetu inauzwa elf40,, na nguzo moja ya futi 20 inauzwa elf15 adi elf 20.. ilo daraja zima ni around million 5 adi 8,,
Mbao zimetoka Cuba,
Magogo yametoka India,
Hata hivyo hizo gharama ni ndogo
Huyu Meneja wa TARURA nae hajielewi kbs. Kwanini asije na ufafanuzi ni gharama kiasi gani zilihitajika kutengeneza daraja la zege. Maana unaweza kukuta hilo daraja ni gharama ndogo endapo lingetumia sementi. Kwa hiyo baada ya miaka 10 mambo yanarudi kulekule.
[emoji16][emoji3][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji38][emoji38][emoji2][emoji23][emoji16][emoji16]
Wakafanya Watakavyo Sasa Hivi
Ukihesabu idadi ya mbao, saruji, mawe, milingoti, misumari, kifusi, ufundi na 10% inazidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1873657
Wahi Upate Johnson And JohnsonUkipata mtu Anakuzidi kwa unafiki “term” hii......
Nishtue.....!!
Milioni 31?SIKU Moja baada ya Mbunge wa Jimbo la Mlimba Mkoani Morogoro, Godwin Kunambi kutembelea Daraja la Mto Mngeta lililogharimu Sh Milioni 30 hatimaye Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi gharama za ujenzi huo.
Mhandisi Robert Magogo ambaye ni Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi wa Ujenzi wa mradi huo akisema gharama zilizotajwa ni sahihi huku akieleza kuwa lina uwezo wa kudumu kwa miaka 10 hadi 15.
Akifafanua ujenzi wa daraja hilo, Mhandisi Magogo amesema Daraja hilo lina urefu wa Mita 40, kina cha Mto kikiwa ni Mita 4, upana wake Mita 5 na hivyo kufanya gharama za Daraja kuwa Milioni 27.
Mhandisi Magogo ameeleza kuwa gharama ya barabara kuingia na kutoka darajani ni Sh Milioni 4 na kufanya jumla yake iwe Sh Milioni 31.
" Urefu wa wa nguzo zilizotumika ni Mita 7 na unene wake ni Mita 0.5, Mbao ni Inchi 3 kwa 8 na Inchi 3 kwa 10 na aina ya Mti ambao Mbao zake zimetumika ni za Mti aina ya Mkarati, niwahakikishie kuwa daraja hili ni imara na litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa miaka 10 hadi 15," Amesema Magogo.
Kwa upande wake Mbunge Kunambi amesema Daraja hilo litaokoa uhai wa wananchi ambao kwa muda mrefu wamekua wakipata changamoto ya kivuko kwani Mto huu una mamba ambao wamekua wakisababisha Vifo vya wananchi wetu," Amesema Kunambi.
Mbunge wa Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi (wa pili kutoka kushoto) akiwa kwenye Mtumbwi akivuka Mto Mngeta Februari mwaka huu ambapo aliitembelea Mto huo ukiwa hauna kivuko
Picha zikimuonesha Mbunge Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi akipita juu ya daraja la muda ambalo amefanikisha ujenzi wake. Daraja hili litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa muda wa miaka 10 hadi 15.
Wasiokubali waunde tumeUkihesabu idadi ya mbao, saruji, mawe, milingoti, misumari, kifusi, ufundi na 10% inazidi
Ni kwa ajili ya uremboMbona kama kuna vi pago vya manat?
Kuwa kwako Verified member sio kigezo cha kuhoji comments za msingi na zisizo za msingi, unaweza ukanipa kesi ya ugaidi ukiona comment yangu sio ya msingi.Unajisifu kabisa umetoa comment ya msingi!?
You are a disease like any other!
You deserve to be contained !
Ndio tunakatwa tozo kubwa hivi ili kujenga hayo madaraja ya miti?SIKU Moja baada ya Mbunge wa Jimbo la Mlimba Mkoani Morogoro, Godwin Kunambi kutembelea Daraja la Mto Mngeta lililogharimu Sh Milioni 30 hatimaye Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi gharama za ujenzi huo.
Mhandisi Robert Magogo ambaye ni Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilombero ametolea ufafanuzi wa Ujenzi wa mradi huo akisema gharama zilizotajwa ni sahihi huku akieleza kuwa lina uwezo wa kudumu kwa miaka 10 hadi 15.
Akifafanua ujenzi wa daraja hilo, Mhandisi Magogo amesema Daraja hilo lina urefu wa Mita 40, kina cha Mto kikiwa ni Mita 4, upana wake Mita 5 na hivyo kufanya gharama za Daraja kuwa Milioni 27.
Mhandisi Magogo ameeleza kuwa gharama ya barabara kuingia na kutoka darajani ni Sh Milioni 4 na kufanya jumla yake iwe Sh Milioni 31.
" Urefu wa wa nguzo zilizotumika ni Mita 7 na unene wake ni Mita 0.5, Mbao ni Inchi 3 kwa 8 na Inchi 3 kwa 10 na aina ya Mti ambao Mbao zake zimetumika ni za Mti aina ya Mkarati, niwahakikishie kuwa daraja hili ni imara na litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa miaka 10 hadi 15," Amesema Magogo.
Kwa upande wake Mbunge Kunambi amesema Daraja hilo litaokoa uhai wa wananchi ambao kwa muda mrefu wamekua wakipata changamoto ya kivuko kwani Mto huu una mamba ambao wamekua wakisababisha Vifo vya wananchi wetu," Amesema Kunambi.
Mbunge wa Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi (wa pili kutoka kushoto) akiwa kwenye Mtumbwi akivuka Mto Mngeta Februari mwaka huu ambapo aliitembelea Mto huo ukiwa hauna kivuko
Picha zikimuonesha Mbunge Jimbo la Mlimba Morogoro, Godwin Kunambi akipita juu ya daraja la muda ambalo amefanikisha ujenzi wake. Daraja hili litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa muda wa miaka 10 hadi 15.
Hivi milioni 31 inatumikaje kwenye hayo mabanzi reject na mirunda ya buku 2 hiyo?Ukihesabu idadi ya mbao, saruji, mawe, milingoti, misumari, kifusi, ufundi na 10% inazidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1873657
Wabongo kwa upigaji Wana PhD.Tena wanaokata ni wafungwa.
Serikali kuna michezo ya kishenzi sana, vidaraja kama hivi ni vya kupigia hela. Miaka mitatu ijayo, watasema mbap zimeoza, na italetwa habari mwananchi mmoja kaliwa na mamba, basi madiwani watalambishwa laki laki, na kupitisha hoja, daraja jipya lijengwe. Procurement Officer na team yake wanalamba hata 15 Mil, maisha yanasonga.
Ukihesabu idadi ya mbao, saruji, mawe, milingoti, misumari, kifusi, ufundi na 10% inazidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1873657