TARURA: Ni kweli Daraja la Mto Mngeta lilitumia Tsh. milion 31

Mbao ya mkarati ya 2x6 uku kwetu inauzwa elf40,, na nguzo moja ya futi 20 inauzwa elf15 adi elf 20.. ilo daraja zima ni around million 5 adi 8,,
Mlimba kwenyewe ukienda mlimba mjini KWENYE yard za mbao,
[emoji117]2× 6 Bei ya rejareja Ni elfu 8 (8,000)
[emoji117]Nguzo ya futi 20 Bei ya rejareja Ni elfu 20 (20,000)

Hizo Bei labda uko dar


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkarati ndio mti gani wadau?
Maana nime Google imekuja mkaratusi
 

Approximation inasema 15 years!

Pambana Chief! Nchi huru hii!
 
[emoji16][emoji3][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji38][emoji38][emoji2][emoji23][emoji16][emoji16]
Wakafanya Watakavyo Sasa Hivi

Ukipata mtu Anakuzidi kwa unafiki “term” hii......
Nishtue.....!!
 
Milioni 31?
 
Unajisifu kabisa umetoa comment ya msingi!?

You are a disease like any other!

You deserve to be contained !
Kuwa kwako Verified member sio kigezo cha kuhoji comments za msingi na zisizo za msingi, unaweza ukanipa kesi ya ugaidi ukiona comment yangu sio ya msingi.
Mama alisema wasomi walio nje ya nchi hawajaisaidia chochote nchi hii, na wewe huenda ni msomi wa ndani na hauna msaada humu JF.
 
Ndio tunakatwa tozo kubwa hivi ili kujenga hayo madaraja ya miti?
 
Wabongo kwa upigaji Wana PhD.
 
Mil 31 kidogo sana, nikajua Mil 310 hivi.

Si Tozo lipo...atumie tozo vizuri bana, alaah
 
Huu ujanja ujanja wa kupiga ulioletwa na ile awamu ya tano, sasa imetosha...
Hatuwezi kuendelea kufanywa wajinga kiasi hiki..na hivi vimiradi vya mihemko
Hiki kidaraja kimetengenezwa na mafundi seremala, mungu anawaona nyie....
 
Ela zimeishia kulipa perfdiem ya staff wa TARURA walioenda hapo kusimamia ujenzi
 
Haya madaraja zamani Moshi yalikua yanajengwa bure na wanakijiji na yalikua mazuri zaidi ya hili na yenye kingo kusaidia watembea kwa miguu kujishika, sijui nini kilikuja kuikumba Tanzania, hakuna ujamaa tena wala huruma kwenye hela za umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…