Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Isa amezaliwa wapi? Tuanzie hapo.
Usipate shida mkuu fungua akili tu,...

Issa amezaliwa na Bikra Maryam.

Vipi, Yesu hajazaliwa na Bikra Maryam?

Je, kuna Mwanamke mwingine Bikra aliyebeba mimba na kuzaa mtoto kwenye historia ya Dunia hii ukiachana na Maryam?
 
Usipate shida mkuu fungua akili tu,...

Issa amezaliwa na Bikra Maryam.

Vipi, Yesu hajazaliwa na Bikra Maryam?

Je, kuna Mwanamke mwingine Bikra aliyebeba mimba na kuzaa mtoto kwenye historia ya Dunia hii ukiachana na Maryam?
Acha kuzunguka jibu swali Isa amezaliwa wapi?.
 
Acha kuzunguka jibu swali Isa amezaliwa wapi?.
Sijibu hilo swali, halina maana yoyote,..kama hujaelewa nilichoandika hapo juu basi hutoelewa tena.

Ili ujifunze kitu kuwa free minded,.la sivyo utakataa 1+1 sio 2 Kwa kuwa tu umekariri majibu yako.

Ahsante.
 
Sijibu hilo swali, halina maana yoyote,..kama hujaelewa nilichoandika hapo juu basi hutoelewa tena.

Ili ujifunze kitu kuwa free minded,.la sivyo utakataa 1+1 sio 2 Kwa kuwa tu umekariri majibu yako.

Ahsante.
Lazima ukimbie kwasababu unaujua ukweli ila ulijaribu kuleta uhuni .
 
Hahh eti uhuni,... Sio uhuni bali sipendi ubishi kwenye vitu ambavyo vipo clear.

Tutapoteza muda tu.
Sikia ndugu sijakutusi elewa hilo. Isa hakuwa myahudi na hajazaliwa bethlehemu, yeye alizaliwa maqha ila Yesu alizaliwa bethlehemu. Sasa unanielezaje kuwa ni mtu 1?.
 
Were born of virgins
Well,... lakini haihuisiani na huyo Mwanamke aitwae Maryam aliyemzaa masihi.

Story yao nimeicheki naona ipo hivi⬇️
Both Attis and Horus are associated with divine births, but the details vary. Attis, in Phrygian mythology, was born of a virgin named Nana, who conceived him by placing a ripe almond or pomegranate on her bosom. On the other hand, in Egyptian mythology, Horus is often considered the son of the goddess Isis and the god Osiris, with the circumstances of his birth involving the resurrection of Osiris rather than a virgin birth.
 
Sikia ndugu sijakutusi elewa hilo. Isa hakuwa myahudi na hajazaliwa bethlehemu, yeye alizaliwa maqha ila Yesu alizaliwa bethlehemu. Sasa unanielezaje kuwa ni mtu 1?.
Usijali brother,.. okay, nani kakuambia Isa kazaliwa Makkah?
 
Well,... lakini haihuisiani na huyo Mwanamke aitwae Maryam aliyemzaa masihi.

Story yao nimeicheki naona ipo hivi⬇️
Both Attis and Horus are associated with divine births, but the details vary. Attis, in Phrygian mythology, was born of a virgin named Nana, who conceived him by placing a ripe almond or pomegranate on her bosom. On the other hand, in Egyptian mythology, Horus is often considered the son of the goddess Isis and the god Osiris, with the circumstances of his birth involving the resurrection of Osiris rather than a virgin birth.
Naongelea virgin. Mambo ya virgin birth yame exisist in many methodologies toka sehemu mbalimbali duniani
 
Sio kweli... Labda kama una ushahidi.
Bali Qur'an imeeleza kama ifuatavyo kuhusu Maryam na Mwanae Masihi.

Qur'an 3:45]"Behold! The angels said, 'O Mary! Allah gives you glad tidings of a Word from Him: his name will be Messiah Jesus, the son of Mary, held in honor in this world and the Hereafter and of those nearest to Allah.'"
 
Back
Top Bottom