Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Ilio andikekwa wapi? Wakati huyo wa kiarabu alizaliwa maka akafia Madina sasa tuekeze ni yupi wa Bethlehem au makha.
Hakuba Yesu aliyezaliwa Makkah wala madina.

Mie nafahamu kuhusu Yesu mwana wa Mariam ametajwa yeye ma mama'ke kwenye Qur'an.
 
Hakuba Yesu aliyezaliwa Makkah wala madina.

Mie nafahamu kuhusu Yesu mwana wa Mariam ametajwa yeye ma mama'ke kwenye Qur'an.
Swali alizaliwa wapi? Maana wa qran ni makha na WA Israel ni Bethlehem. Kuna watu wawili tofauti je wewe unamzungumzia yupi?.
 
Hakuba Yesu aliyezaliwa Makkah wala madina.

Mie nafahamu kuhusu Yesu mwana wa Mariam ametajwa yeye ma mama'ke kwenye Qur'an.
Wa qraan ni chini ya mtende wa bible ni kwenye hori la n'gombe, kumbuka ni binadamu 2 tofauti.
 
Kwenye hii mada hatutafika popote maana naona umeamua kuwa mbishi..

Ok then,
Miaka ilianza kuhesabiwa na kutunziwa kumbukumbu baada ya Israel/Wayahudi kuachiwa Huru huko babilon /bebel na walianza na Mwaka 2000 wakishuka chini na ilipofika 1 ikaendelea 2 na hakuna mwaka 0..

Na ndo maana hakuna mwaka 1 ambao ni BCE au CE ...
Kwahiyo miaka hiyo iliyoishia kabla ya Hii iliitwa miaka ya Babilon na pia kuna miaka ya Kutolewa utumwani israel...ambayo ilikuwa kabla ya babilon...

Baada ya kuisha miaka ya babilon ikaja miaka ya kawaida na ikaanza kuhesabiwa Kawaida kwa sababu tayri sayansi na hesabu ilikuwa tayari iko well inveted na Pythagoras
Wacha fix, buthist ilikuwepo Toka mwaka 35 shida hawakujitangaza kama Kristian na Islam.
 
Umetohoa kwenye lugha ipi?
Kasome kwanza hiyo link niliyotuma kabla sijakueleza zaidi..
Maaana nimejibu Hori ni nini maana yake

Hori ni sehemu ya mwambao wa bahari au ziwa inayozungukwa na nchi kavu pande tatu. Ni kidogo kuliko ghuba, mara nyingi husababishwa na mdomo mto kwenye bahari na kuelekea ndani ya bara.
 
Kasome kwanza hiyo link niliyotuma kabla sijakueleza zaidi..
Maaana nimejibu Hori ni nini maana yake

Hori ni sehemu ya mwambao wa bahari au ziwa inayozungukwa na nchi kavu pande tatu. Ni kidogo kuliko ghuba, mara nyingi husababishwa na mdomo mto kwenye bahari na kuelekea ndani ya bara.
English sio kiyunani tuelewane hapo.
 
Quran habari za Yesu ilizipataje? Maana Yesu kitambo sana kuliko quran.

Ili
Kwani mzee habari za UUMBAJi biblia ilizipataje wakati Musa ndo mwandishi wa kwanza wa biblia na amezaliwa miaka 3500 baada ya Uumbaji?
 
Kuna Yesu wa akina Toni Kapora, wa akina Mwamposa, Makanisa ya kiroho na yale ya RC/KKKT hawa ni Yesu tofauti ujue
 
Back
Top Bottom