Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Ndio maana nikasema Yesu ndio mwenye BC na AD yake au ilifanywa rejea ya mtemi isike???
Dah umenichekesha Sana 😅🤣🤣
Eti mtemi isike...Umesahau kuhusu Wafalme na koo za kifalme na Era zao au rejea zao...
Kama kina mfalme dario na wengine...
Nchi zote ASIA wanatumia huu mfumo,leo dunia nzima inahesabu 2023 au hutaki???
Inahesabu 2023 lakini kama nilivyosema wanatumia maneno BCE na CE na sio BC na AD
Naona hukunielewa
Ukristo una madhehehu mengi tu,uislam si ktk madhehebu hayo,wapo wanaoamini huo mwendelezo hao mormones.
Kwanini wewe usiamini katika mormones
Uislamu ni dini Nyingine mkuu
 
Sasa mtafute Roho Mtakatifu zaidi...

Omba Toba na Rehema, kwako na familia baba na mama...

Jitakase kwa damu yake...

Muombee Roho Mtakatifu aje akujulishe juu ya Yesu na atakuja kwako...
Domatil haya mambo ni makubwa kuliko Uwezo wako 🤣🤣 ndo maana huwa nafurah kuona mtu anayazungumzia kwa wepesi tu
 
Tatzo wewe hauna roho mtakatifu ndio maana unamchukulia ni msela[emoji2][emoji2][emoji2]
Yani mnashindwa kuona point. Point yangu naongelea physical life alilokuwa akiishi na akina Petrol. Life lake linaloonekana kwa macho ya nyama ambalo hata asiye na imani anaona huyu hapa Yesu, yule ni magdalena, yule pale Simon, hapa kakaa kijiweni na wana ndicho nachozungumzia.
 
Baada ya kusoma nimekuwa huru sana nimegundua vingi sana hata hivyo Phylosophy na Dini yaani Theology niliisoma miaka mingi sna ilopita kama 20 hivi sema nilikataa kuwa mtumwa baada ya kuwa mchungaji kwa mda mchache...
Na baadaye nilisoma elimu zingine na nimekuwa huru kutokana na akili yangu kupanuka na Kuwa huru nje ya box (Raha sana )
Weka wazi mkuu tuelewe na tujifunzi kupitia wewe
 
Domatil haya mambo ni makubwa kuliko Uwezo wako [emoji1787][emoji1787] ndo maana huwa nafurah kuona mtu anayazungumzia kwa wepesi tu
Kwanini ni mambo makubwa?

Mungu hachagui, unakumbuka Yeremia alipotokewa na Mungu alisema yeye ni mdogo...

Mi mwenzio nikekua kiroho, unajua unatakiwa uwe unakua kiroho...
 
Dah umenichekesha Sana 😅🤣🤣
Eti mtemi isike...Umesahau kuhusu Wafalme na koo za kifalme na Era zao au rejea zao...
Kama kina mfalme dario na wengine...
Sijasahau bali siwajui kabisa.
Wapo watu mashuhuri sana lakini imekuwa ngumu kuwarejea kama hesabu katika miaka.
Inahesabu 2023 lakini kama nilivyosema wanatumia maneno BCE na CE na sio BC na AD
Naona hukunielewa
2023 ni miaka toka kuzaliwa kwa Yesu.
Nikadhani ulipoandika vile utakuja na maelezo kwamba india wanatumia miaka 3600 baada yakrishna,kumbe hapana.
Kwanini wewe usiamini katika mormones
Uislamu ni dini Nyingine mkuu
Kwa sababu sibahatishi.
 
Kwanini ni mambo makubwa?

Mungu hachagui, unakumbuka Yeremia alipotokewa na Mungu alisema yeye ni mdogo...

Mi mwenzio nikekua kiroho, unajua kukua unatakiwa uwe unakua kiroho...
Haha nakuelewa kwa upande wako vizuri sana..
 
Yani mnashindwa kuona point. Point yangu naongelea physical life alilokuwa akiishi na akina Petrol. Life lake linaloonekana kwa macho ya nyama ambalo hata asiye na imani anaona huyu hapa Yesu, yule ni magdalena, yule pale Simon, hapa kakaa kijiweni na wana ndicho nachozungumzia.
Mimi binafsi nimekuelewa sana namimi hili nalifahamu sana mkuu, kama aliamua kukaa na watu kawaida kula na kulala ni mtu kama sisi ila alikuwa na iQ kubwa mno.
 
Yeah kwa 90%
Kwa sababu uhuru wakweli upo kaburini kma wanaphylosophy wanavyosema il kwa akili kupanuka 100% nina hakika na hilo
Hauko huru,ila unadhani uko huru.

Akili kupanuka hili nalo hapana,hujapanua akili ila umeongeza ambavyo hukuwa unavijua(ufahamu).

Shida ya kuongeza ufahamu kuna madharana faida pia.
 
Mimi binafsi nimekuelewa sana namimi hili nalifahamu sana mkuu, kama aliamua kukaa na watu kawaida kula na kulala ni mtu kama sisi ila alikuwa na iQ kubwa mno.
Yah hao ambao kwenye jamii ile kwa muda ule ilikuwa kama ni watu ambao mtu mwenye status yake hafai kuambatana nao.
Mawazo ya wengi hata sasa akija aambatane na akina mwakasege ila akija akaambatana na walevi, malaya watu waliopinda kama masha love bila shaka raia mtaanza haiwezekani akawa mwenyewe huyu
 
Sijasahau bali siwajui kabisa.
Wapo watu mashuhuri sana lakini imekuwa ngumu kuwarejea kama hesabu katika miaka.
ok Basi ndo maana!
Kuna zama za kila falme na koo iliyokuwa ikitawala ..
Kuna zama za pharao
Kuna zama za herode ima miaka yake
Zama Za Utumwani babeli
Zama za mfalme Dario
Na zama za wengi sana kwa sababu kila zama ilikuwa na miaka yake ukitaka hili somo nitakupa pia...

Na rejea ya Miaka yao yote ipo..
Jitahidi ukiwe, Soma Church history au Biblical History..

2023 ni miaka toka kuzaliwa kwa Yesu.
Nikadhani ulipoandika vile utakuja na maelezo kwamba india wanatumia miaka 3600 baada yakrishna,kumbe hapana.

Kwa sababu sibahatishi.
Unajua nilivyotoa maelezo nikafikiri unajua hata maana Ya BCE Na CE (Before common Era na in Common Era)
Mwanzoni Miaka ilikuwa inarudi Nyuma ilipofika kwenye Moja ikaanza kwenda mbele na hiyo ndo ilikuwa Common era..
Na mind you kwamba Calendar inayotumika Sio christ Calendar ila ni gregorian Calendar
 
Hauko huru,ila unadhani uko huru.

Akili kupanuka hili nalo hapana,hujapanua akili ila umeongeza ambavyo hukuwa unavijua(ufahamu).

Shida ya kuongeza ufahamu kuna madharana faida pia.
Kwani unajua maana ya kupanuka kwa akili 🤣🤣
Kuna kazi sana kukuelimisha Kijana
 
ok Basi ndo maana!
Kuna zama za kila falme na koo iliyokuwa ikitawala ..
Kuna zama za pharao
Kuna zama za herode ima miaka yake
Zama Za Utumwani babeli
Zama za mfalme Dario
Na zama za wengi sana kwa sababu kila zama ilikuwa na miaka yake ukitaka hili somo nitakupa pia...
Zama tulizopo ni za Yesu ama za nani??
Maana ni miaka 2000 sasa na watu wengi watawala wamekuja nyuma yake
Na rejea ya Miaka yao yote ipo..
Jitahidi ukiwe, Soma Church history au Biblical History..
Sina tatizo na hilo.
Unajua nilivyotoa maelezo nikafikiri unajua hata maana Ya BCE Na CE (Before common Era na in Common Era)
Mh sasa ulitoa maelezo ukiwa na lengo gani kama ulidhani najua maana yake!!
Mkuu inaonekana ni wale watu mmesoma sana mpaka mnakaribia kuchanganyikiwa😄😄.
Mwanzoni Miaka ilikuwa inarudi Nyuma ilipofika kwenye Moja ikaanza kwenda mbele na hiyo ndo ilikuwa Common era..
Hapa sasa maelezo yanahitajika,ilianazia nyuma wapi mpaka kufikia hiyo 1??
Maana hapa BC ni simple tu kwamba ni kabla ya Siku yesu amezaliwa ndio 0.alipozaliwa ndio rasmi 1/1/1.
Na mind you kwamba Calendar inayotumika Sio christ Calendar ila ni gregorian Calendar
 
Zama tulizopo ni za Yesu ama za nani??
Maana ni miaka 2000 sasa na watu wengi watawala wamekuja nyuma yake
Yesu ni nani? India kwenye Uhindu? Yesu ni nani kwenye ubudha na yesu ni nani kwa shinto?

Sina tatizo na hilo.

Mh sasa ulitoa maelezo ukiwa na lengo gani kama ulidhani najua maana yake!!
Mkuu inaonekana ni wale watu mmesoma sana mpaka mnakaribia kuchanganyikiwa😄😄.

Hapa sasa maelezo yanahitajika,ilianazia nyuma wapi mpaka kufikia hiyo 1??
Maana hapa BC ni simple tu kwamba ni kabla ya Siku yesu amezaliwa ndio 0.alipozaliwa ndio rasmi 1/1/1.
Yesu hajazaliwa Mwaka 0 nenda kasome kijana ..
Yesu kazaliwa Mwaka 6 BCE na kasulubiwa 27 CE Akiwa na Miaka 33
 
Kwani unajua maana ya kupanuka kwa akili [emoji1787][emoji1787]
Kuna kazi sana kukuelimisha Kijana

Hili nalo ni somo pana.

Nikurahisishie,wanaojua akili zako zimepanuka ni watu wengine sio wewe mwenyewe.[emoji3][emoji3]
 
Yesu ni nani? India kwenye Uhindu? Yesu ni nani kwenye ubudha na yesu ni nani kwa shinto?
Hindu,budha na shinto Yesu ni kati ya waalimu bora kuwahi kutokea.
Yesu hajazaliwa Mwaka 0 nenda kasome kijana ..
Yesu kazaliwa Mwaka 6 BCE na kasulubiwa 27 CE Akiwa na Miaka 33
Si tunazungumzia hesabu??au umesahau tunachojadili mzee???

Achana na story za (kasome).nipo nawewe hapa unieleze ulichosoma.
 
Ukitaka kumfahamu Yesu wa kweli isome Qur'an.

Au tuulize tunaoisoma tukufahamishe.
Ilio andikekwa wapi? Wakati huyo wa kiarabu alizaliwa maka akafia Madina sasa tuekeze ni yupi wa Bethlehem au makha.
 
Hindu,budha na shinto Yesu ni kati ya waalimu bora kuwahi kutokea.
Kwenye hii mada hatutafika popote maana naona umeamua kuwa mbishi..
Si tunazungumzia hesabu??au umesahau tunachojadili mzee???

Achana na story za (kasome).nipo nawewe hapa unieleze ulichosoma.
Ok then,
Miaka ilianza kuhesabiwa na kutunziwa kumbukumbu baada ya Israel/Wayahudi kuachiwa Huru huko babilon /bebel na walianza na Mwaka 2000 wakishuka chini na ilipofika 1 ikaendelea 2 na hakuna mwaka 0..

Na ndo maana hakuna mwaka 1 ambao ni BCE au CE ...
Kwahiyo miaka hiyo iliyoishia kabla ya Hii iliitwa miaka ya Babilon na pia kuna miaka ya Kutolewa utumwani israel...ambayo ilikuwa kabla ya babilon...

Baada ya kuisha miaka ya babilon ikaja miaka ya kawaida na ikaanza kuhesabiwa Kawaida kwa sababu tayri sayansi na hesabu ilikuwa tayari iko well inveted na Pythagoras
 
Back
Top Bottom