Mlimani health center
JF-Expert Member
- Nov 25, 2021
- 595
- 1,490
TANZANIA [emoji1241] NI NCHI TAJIRI CHAPA KAZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa kama una sikio la kusikia nisikilize! Pamoja na ukweli ya kwamba uliyoyasema ni kweli, lakini Yesu alijitofautisha na kuwa mtu wa ajabu kuwahi kutokea kwa miujiza, busara, maarifa, unyenyekevu, huruma, n.k. kuliko binadamu yeyote aliyewahi kuishi! Alithibitisha torati ya Musa ya kuwa yule aliyetabiriwa kwa torati na manabii ndiye na kitendo cha kutomwamini kinawatia hatiani ya kwanini hawakumwamini! Baadhi ya miujiza aliyoitenda kuthibitisha Ndiye ni pamoja na:Ukisoma na kutafakari kwa umakini kuhusu Yesu unagundua kwamba alikuwa ni wale watu ambao jamii inawachukulia kwamba wamepinda yani outcast...
Wala hujakosea, upo sahihi kabisa, Qur'an ni "criterion" imekuja kubainisha ukweli.Qur'an na YESU wapi na wapi?
Mtu Muhammad amezaliwa mwaka 570 AD, yaani zaidi ya miaka 537 baada ya YESU...
Walikuwepo akiwa hai.Hivi mkuu unajua Marko, Luka hawakuwepo wakati yesu yuko hai? Ajabu Maria Magdalena aliyekuwepo kitabu chake walikiondoa kwenye list ya vitabu vya biblia.
Nahisi hata hukuelewa my point.Wee jamaa kama una sikio la kusikia nisikilize! Pamoja na ukweli ya kwamba uliyoyasema ni kweli, lakini Yesu alijitofautisha na kuwa mtu wa ajabu kuwahi kutokea kwa miujiza...
HakikaQuran sio source sahihi ya kujua maisha ya Yesu Bali ya Nabii Issa
Luke hakuwahi kumfahamu Yesu wala kumwona. Alifundishwa Gospel na Paul. Kati ya hao waandishi wa gospel ya Yesu wawili kati yao hawakumfahamu Yesu personally labda mathew. Unless kama unaweza kunipa source inayosema otherwise mkuuWalikuwepo akiwa hai.
LUKA aliongozana na PAULO katika safari mbalimbali...
Bado uelewi! Kuongozana na walevi yeye alikuwa analewa? Kuongozana na makahaba yeye alikuwa kahaba? Kuongozana na majobless, je! yeye alikuwa ni jobless? Aliwapa ajira, chakula, uponyaji, n.k! Kijana okoka!Nahisi hata hukuelewa my point.
My point ni kwamba, lifestyle yake kwa jamii ile ilikuwa ni kama outcast. Kuanzia watu aliokuwa anaongozana nao, misimamo yake iliyokuwa dhidi ya kanuni na maisha ya watu wa kipindi kile...
Wewe naye umepuyangaYESU alikuwa anafanya ISHARA na MIUJIZA mbalimbali.
Kama: kuponya viwete, kuponya vipofu, kufufua wafu, kutoa Pepo wachafu, Kuamuru dhoruba, kuongeza vyakula, kutakasa wakoma, n.k...
Hata sasa bado sana! Hizi dini zinamwamini Yesu lakini hazimtegemei na hivyo kuwadisqualify! Unatakiwa umwamini na umtegemee! Wengi yakiwakuta ya kuwakuta wanaenda kutambika na waganga wa kienyeji ndani ya dini hizo hizo!Hata mimi niliwahi kuwaza hilo mkuu, kwa watu wa kipindi kile ilikua ni ngumu kuamini tofauti na sisi.
Wewe ndiye huelewi sasa.Bado uelewi! Kuongozana na walevi yeye alikuwa analewa? Kuongozana na makahaba yeye alikuwa kahaba? Kuongozana na majobless, je! yeye alikuwa ni jobless? Aliwapa ajira, chakula, uponyaji, n.k! Kijana okoka!
Kuna waliomkubali ndio baadhi wakawa bado wanashangaa mbona jamaa huyu bado anazunguka na hawa watu waliopinda?Kwamba alikuwa kama mtu aliyepinda halafu hapo hapo unamfananisha na mtu mwenye heshima zake anayeshangawa na wengine kwa kula na wenye dhambi!!!!embu nawa maji uso kwanza...
Mkuu kweli we soma historia yake utaona.We jamaa wewe!!! Sijui unavuta ya wapi.
Kuna waliomkubali ndio baadhi wakawa bado wanashangaa mbona jamaa huyu bado anazunguka na hawa watu waliopinda?
Ndio maana mpaka leo hao Wayahudi ambao alijitambulisha kuwa mfalme wao hawamfuati wala kumkubali. Nasikia wanaamini bado hajaja. Huenda taswira waliokuwa nayo juu ya ujio wake ilikuwa tofauti.
Hebu na wewe fikiria, anatokea mtu anatembea na wavuta bangi na walevi, halafu anakwambia yeye ndiye masiah. Itakuwa vigumu kuamini hata kama yeye si mvuta bangi wala mlevi.
Tuki-react,mnadai tuna lugha Kali,matusiNdo limuhamad la kweli
Maria Magdalene ndiye aliyeachiwa Imani na alikua mke wa mwamba,wakaja wanaume na mfumo dume,wakamuondoa kwenye equationHivi mkuu unajua Marko, Luka hawakuwepo wakati yesu yuko hai? Ajabu Maria Magdalena aliyekuwepo kitabu chake walikiondoa kwenye list ya vitabu vya biblia.
Nafikiri wewe ndo hujamuelewa jamaa. Anachomaanisha ni kuwa Yesu kwa hadhi yake na jinsi jamii ilivokua inamchukulia na kutarajia aweje kwenye jamii yeye tena watu aliokua ana interact nao walikua sio jamii ilitarajia. Mafarisayo waliamini ukiwa unasali basi hutakiwi kupishana hata na kahaba sasa kwa Yesu ikawa tofauti thus why iliwashangaza watu na ndiyo mana ilikua vigumu kwa wayahudi kuamini kua ndiye Masihi muhubiriwa na ndivyo hivyo hivyo inaweza kua vigumu kwa jamii ya leo. Isipo kuwa His second coming itakua in different fashion. This time there will never be Mercy.Bado uelewi! Kuongozana na walevi yeye alikuwa analewa? Kuongozana na makahaba yeye alikuwa kahaba? Kuongozana na majobless, je! yeye alikuwa ni jobless? Aliwapa ajira, chakula, uponyaji, n.k! Kijana okoka!