Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Luke hakuwahi kumfahamu Yesu wala kumwona. Alifundishwa Gospel na Paul. Kati ya hao waandishi wa gospel ya Yesu wawili kati yao hawakumfahamu Yesu personally labda mathew. Unless kama unaweza kunipa source inayosema otherwise mkuu

Matthew siyo Mathew kama watu wengi wanavyoandika kama wewe!
 
Wewe ndiye huelewi sasa.

Jamii ya kipindi hicho ilikuwa inajitenga na watu wa namna fulani ambao yeye ndio alikuwa anazunguka nao. Haijalishi alikuwa hafanyi wanachofanya lakini ndio ilikuwa kampani yale.

So machoni mwao alikuwa kama outcast ndio maana hata walikuwa wanamshangaa inakuwaje anazunguka na watu kama wale.

Ingekuwa zama hizi angeonekana msela tu akiwa na masela wake

Hilo neno ‘outcast’ limetumiwa sana humu na pengine linachanganya watu pia! Andika kiswahili cha outcast.
 
Kwenye quran, visa ama matukio ya yesu yameandikwa kama matukio ya ajabu ajabu sana. Matukio yasiyo na kichwa wala miguu. Childish ambayo hata mtoto mdogo asingeweza kuyafikiria akiachilia mbali kuandikw akwenye kitabu cha watoto lakini yameandikwa kwenye kutabu cha Allah SAW. Ni vituko.
Ni kama Cha The diary of whimp kid?
 
Ukisoma na kutafakari kwa umakini kuhusu Yesu unagundua kwamba alikuwa ni wale watu ambao jamii inawachukulia kwamba wamepinda yani outcast.

Hata wale wanafunzi wake aliokuwa akiongozana nao jamii inaonekaan ilikuwa inawachukulia kama watu wasiokuwa na maadili waliopotoka yani waliopinda.

Ndio maana kuna sehemu hadi anaulizwa, inakuaje anakula na kunywa na wenye dhambi? Hii bila shaka haina tofauti na sasa unamuuliza, we jamaa unaonekana ni mwenye ehshima inakuaje unashinda na wazinzi na walevi?

Hebu fikiria mtu unayemheshimu sana anakuja kahaba analia miguuni mwake anampangusa kwa nywele anambusu miguu, assume huyo jamaa anayefanyiwa hivyo ni hakimu na huyo kahaba ana kesi. Halafu baada ya kufanyiwa hivyo hakimu anamwambia kesi yako utashinda!

Bila shaka utasema hakimu kasema hayo kwa sababu kahaba kamtamanisha kwa kumshika shika na kumbusu miguu huenda watamalizana huko mebeleni. Hiki ndicho kilichotokea kwa yule kahaba na bila shaka wale jamaa walisema moyoni huyu jamaa amelegea kwa kahaba atakuwa msela tu anatuigizia.

Ukichukulia hali hii kwakweli hata angekuja leo hapa TZ bado watu wangemkataa. Wangemwona msela Fulani hivi mwenye group la watu waliopinda. Yani kipindi anajiita kwamba yeye ni mfalme wa Wayahudi, huenda wale viongozi walikuwa wanamchukulia kama Ney wa Mitego anavyojiita raisi wa masala au Madee anayejiita rais wa Manzese hawakuwa wakimchukulia serious kihivyo mpaka alipoanza wazingua.

Kama akirudi kwa style hiyo hiyo sijui ni wangapi wataamini kuwa ni Yesu.
Umeshiba mapera unakuja kuandika ujinga humu!?
 
Ukichukulia hali hii kwakweli hata angekuja leo hapa TZ bado watu wangemkataa. Wangemwona msela Fulani hivi mwenye group la watu waliopinda. Yani kipindi anajiita kwamba yeye ni mfalme wa Wayahudi, huenda wale viongozi walikuwa wanamchukulia kama Ney wa Mitego anavyojiita raisi wa masala au Madee anayejiita rais wa Manzese hawakuwa wakimchukulia serious kihivyo mpaka alipoanza wazingua.
Alikwenda Kenya akawaambia wamchangie mabati ya kuezekea nyumba
 
Qur'an na YESU wapi na wapi?

Mtume Muhammad amezaliwa mwaka 570 AD, yaani zaidi ya miaka 537 baada ya YESU.

KIFUPI: Mtume Muhammad hajui hata SURA ya YESU inafananaje.

Ni kichekesho kumuuliza mtu aliyeota ndoto juu ya YESU, ukamwacha yule aliyemwona YESU.

Kwahiyo, Qur'an haina uwezo wa kumwelezea YESU Kwasababu waandishi wake hawakuwahi kumshuhudia YESU kwa namna yoyote Ile( SAUTI yake au SURA yake). Hivyo hawana EYE WITNESS TO JESUS hivyo hata mahakamani Hawa hawawezi kuwa mashahidi.
Quran imemuandika nabii Issa, siyo Yesu
 
Wee jamaa kama una sikio la kusikia nisikilize! Pamoja na ukweli ya kwamba uliyoyasema ni kweli, lakini Yesu alijitofautisha na kuwa mtu wa ajabu kuwahi kutokea kwa miujiza, busara, maarifa, unyenyekevu, huruma, n.k. kuliko binadamu yeyote aliyewahi kuishi! Alithibitisha torati ya Musa ya kuwa yule aliyetabiriwa kwa torati na manabii ndiye na kitendo cha kutomwamini kinawatia hatiani ya kwanini hawakumwamini! Baadhi ya miujiza aliyoitenda kuthibitisha Ndiye ni pamoja na:

1. Kufufua mtu aliyekufa siku 3 kaburini (lazaro),

2. Kutembea juu ya maji,

3. Kulisha mamillioni ya watu kwa mkate mmoja na samaki wawili,

4. Kujua maandiko yote ya torati bila kufundishwa,

5. kuponya viwete, vipofu, ukoma, nk, n.k, n.k; kwa ushahidi huu pamoja na unyenyekevu wa kukaa na watu waliotengwa na jamii kwa kuonekana hawafai sijui wana dhambi; vilimtofautisha na binadamu yeyote na hawakuwa na udhuru kwanini hawakumwamini?

Sababu nyingine kubwa ni kufufuka katika wafu na kuwatokea watu wengi pia mwili wake kutoonekana kaburini licha ya kuweka walinzi kulilinda kaburi. Sababu nyingine ni hile hali ya kustahimili mateso kwa masaa zaidi ya tisa ya kupigwa mijeredi na kujeruhiwa kuliko binadamu yeyote aliyewahi kuishi kwa kuchubuliwa na kubeba msalaba mzito! Hapakuwahi kutokea binadamu wa kuteswa kama Yesu alafu asife!

Binadamu wa kawaida ndani ya dakika au saa moja lazima ufe! Yesu alistahimili mateso ya kila namna ili binadamu tunapopitia magumu tusiwe na sababu ya kupinga wokovu! Naishia hapa kwa ujasiri mkubwa ya kwamba maisha ya Yesu hayakuwa maisha ya binadamu wa kawaida. By the way!

Akirudi atarudi kama mfalme na wala hatakanyaga ardhi na walokole atawanyakua juu na kukutana nao mawinguni! Hata hivyo nguvu za kuwezesha walokole kupaa na kunyakuliwa zitakuwa ndani yao kutokana na kazi za utumishi alizowapa wamtumikie!

Kuna walokole watashindwa kupaa na kubaki hapa duniani na kupitia mateso kama wale ambao hapo mwanzo walibeza maandiko!

Maisha ya sasa duniani walokole bado ni wachache! Wengi ni mapandikizi ya mpinga Kristo! Hata hivyo wanayohubiri ni kweli ya neno la Mungu! Mungu anaangalia Neno bila kujali linahubiriwa na nani?
Umeeleweka mkuu. bila shaka mleta mada kaelewa.
 
Hapana mkuu mimi nimeongelea maisha yake. Hebu fikiria jinsi alivyokuwa anapingana na sheria zao. Ni sawa leo uje uanze pingana na kanuni na sheria kibao za serikali.

Kuna watakaosema wewe chizi, vyombi vya dola vitakuita muasi au hata gaidi. Wengine watasema bangi inamsumbua huoni hata watu anaoongozana nao
Kama anavyoonekana Tundu Lissu
 
Stori zilizokuja na majahazi ilibmuibiwe mali kamwe huwezi zielewa mwafrika. Ww labda ukaelewe mizimu na kuabudu miembe
 
Qur'an na YESU wapi na wapi?

Mtume Muhammad amezaliwa mwaka 570 AD, yaani zaidi ya miaka 537 baada ya YESU.

KIFUPI: Mtume Muhammad hajui hata SURA ya YESU inafananaje.

Ni kichekesho kumuuliza mtu aliyeota ndoto juu ya YESU, ukamwacha yule aliyemwona YESU.

Kwahiyo, Qur'an haina uwezo wa kumwelezea YESU Kwasababu waandishi wake hawakuwahi kumshuhudia YESU kwa namna yoyote Ile( SAUTI yake au SURA yake). Hivyo hawana EYE WITNESS TO JESUS hivyo hata mahakamani Hawa hawawezi kuwa mashahidi.
Katika wote uliowataja kwenye biblia nzima hakuna aliyemwona yesu Period..
Agano jipya lote limeandkkwa na third person watu wote waliosimuliwa kuhusu Yesu....na sio Eye witness accounts kwa hiyo hawana tofauti na Mohamed..
 
Nimeisoma Quran. Haina Yesu. Usitake mdanganya jamaa... QURAN HAINA YESU. Ukitaka tuanze kushuka maandiko hapa tuanze tumzungumzie Muhamad na Yesu na Issa. Huwa haya ndo mambo ninayoyapenda.
Na mimi pia nayapenda Japo sipo upanxe wwote nilishajitoa Gerezani na siko katika utumwa japo nimepita magereza yote vizuri...
Na nakuambia kuwa Huwezi kusimiliwa yesu wa kweli kwa sbabu hakuna aliyewahi kumuoma akaandika habari zake
 
Unavyofikiria ni sawa na mtu anayefikiria kwanini Mungu anaruhusu mvua inyeshe baharini
 
Ukisoma na kutafakari kwa umakini kuhusu Yesu unagundua kwamba alikuwa ni wale watu ambao jamii inawachukulia kwamba wamepinda yani outcast.

Hata wale wanafunzi wake aliokuwa akiongozana nao jamii inaonekaan ilikuwa inawachukulia kama watu wasiokuwa na maadili waliopotoka yani waliopinda.

Ndio maana kuna sehemu hadi anaulizwa, inakuaje anakula na kunywa na wenye dhambi? Hii bila shaka haina tofauti na sasa unamuuliza, we jamaa unaonekana ni mwenye ehshima inakuaje unashinda na wazinzi na walevi?

Hebu fikiria mtu unayemheshimu sana anakuja kahaba analia miguuni mwake anampangusa kwa nywele anambusu miguu, assume huyo jamaa anayefanyiwa hivyo ni hakimu na huyo kahaba ana kesi. Halafu baada ya kufanyiwa hivyo hakimu anamwambia kesi yako utashinda!

Bila shaka utasema hakimu kasema hayo kwa sababu kahaba kamtamanisha kwa kumshika shika na kumbusu miguu huenda watamalizana huko mebeleni. Hiki ndicho kilichotokea kwa yule kahaba na bila shaka wale jamaa walisema moyoni huyu jamaa amelegea kwa kahaba atakuwa msela tu anatuigizia.

Ukichukulia hali hii kwakweli hata angekuja leo hapa TZ bado watu wangemkataa. Wangemwona msela Fulani hivi mwenye group la watu waliopinda. Yani kipindi anajiita kwamba yeye ni mfalme wa Wayahudi, huenda wale viongozi walikuwa wanamchukulia kama Ney wa Mitego anavyojiita raisi wa masala au Madee anayejiita rais wa Manzese hawakuwa wakimchukulia serious kihivyo mpaka alipoanza wazingua.

Kama akirudi kwa style hiyo hiyo sijui ni wangapi wataamini kuwa ni Yesu.
Yaan ukianza kutumia COMMON SENSE kwenye mambo ya kiroho unapotoka....

Naona umeshiba + Kiburi Cha uzima unajikuta unaanza ku challenge dini (YESU KRISTO WA NAZARETH)

Acha kumtizama YESU KRISTO WA NAZARETH katika hiyo perception (Angle)uliyo mtizama Kuna mengi aliyo anayo yafanya mpaka muda huu ....

Wasalaam
 
Yaan ukianza kutumia COMMON SENSE kwenye mambo ya kiroho unapotoka....

Naona umeshiba + Kiburi Cha uzima unajikuta unaanza ku challenge dini (YESU KRISTO WA NAZARETH)

Acha kumtizama YESU KRISTO WA NAZARETH katika hiyo perception (Angle)uliyo mtizama Kuna mengi aliyo anayo yafanya mpaka muda huu ....

Wasalaam
Hapa sasa ndipo ndipo shida inapoanzia.
Hakuna sehemu nilipochallenge ila nimeongea uhalisia ukisoma story ya maisha yake. Tofautisha uhalisia na kuchallenge. By the way yeye mwenyewe aliwajibu kwanini ana mingle na watu hao.
Hivi hivi ndivyo mnawaambuiwa shetani ni jitu la kutisha linaogopesha, wakati mambo mengi ya shetani ndiyo yenye kumvutia binadamu, mfano: ulevi, uzinzi, yani starehe starehe. Kuna maandiko yanasema shetani alikuwa malaika mzuri kwa mwonekano kuliko wote.
In short, mimi nilichokiandika sio kuchallenge ila nimeongelea namna ambavyo jamii ya kipindi kile ilivyokuwa ikimchukulia. Swali kwako mkuu: Kwanini mpaka leo Wayahudi hawamkubali Yesu?
 
Na mimi pia nayapenda Japo sipo upanxe wwote nilishajitoa Gerezani na siko katika utumwa japo nimepita magereza yote vizuri...
Na nakuambia kuwa Huwezi kusimiliwa yesu wa kweli kwa sbabu hakuna aliyewahi kumuoma akaandika habari zake
Une Elimu gani? Ilimu Duniya.
 
Back
Top Bottom