Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Ilibidi iwe hivyo Ili unabii utumie....ulikuwa ni wakati sahihi wa kumaliza mission yake
Kwa hio ilikua movie tu ya kivita au sio? Kuna movie niliionaga eti jamaa wanatumia time flies alafu wanaenda miaka hio wanakutana na Yesu anakaribia kukamatwa wanaenda kumwambia utadakwa utapigwa ufe, akawa anawaangalia tu
 
Ndicho nachosema we waza mtu anaenda pale kanisa la St. Peter anaanza sukuma viti sukuma meza anasema wananajisi nyumba ya baba yake. Raia watasema huyu bangi zinamsumbua. Na ni wachache watakubaliana naye wengi wataona kapinda tu. So, ni ngumu kuamini si jambo rahisi.
Kwa kawaida ya enzi Ile kulikuwa na Kodi katika hekalu nina maanisha sadaka ili kuendesha hekalu la Ibada, shida waumini wakaanzisha biashara kidogo kidogo mpaka ikazoeleka. Huwezi panga mihogo msikitini au kanisani ili upate faida ndio utoe sadaka (Kodi) iliitwa hivyo. Yesu aliona sadaka Ile ni batili, hamuwezi kugeuza nyumba ya Baba yangu kuwa pango la wanyanganyi, Kuna kumwaga vitu chini na kupiga watu na wanyama, Yesu alimwaga na kuwatawanya TU.
 
Kwa hio ilikua movie tu ya kivita au sio? Kuna movie niliionaga eti jamaa wanatumia time flies alafu wanaenda miaka hio wanakutana na Yesu anakaribia kukamatwa wanaenda kumwambia utadakwa utapigwa ufe, akawa anawaangalia tu
🤣🤣🤣🤣Duh, director aliwaza mbali
 
Kwa kawaida ya enzi Ile kulikuwa na Kodi katika hekalu nina maanisha sadaka ili kuendesha hekalu la Ibada, shida waumini wakaanzisha biashara kidogo kidogo mpaka ikazoeleka. Huwezi panga mihogo msikitini au kanisani ili upate faida ndio utoe sadaka (Kodi) iliitwa hivyo. Yesu aliona sadaka Ile ni batili, hamuwezi kugeuza nyumba ya Baba yangu kuwa pango la wanyanganyi, Kuna kumwaga vitu chini na kupiga watu na wanyama, Yesu alimwaga na kuwatawanya TU.
Mkuu unajua mambo mengi yanayofanyika kanisani unakuta tu hata hayako kwenye maandiko basi ni utaratibu ulianza kimasihara ukageuka kuwa utamaduni. Sasa assume aje leo akute ni siku ya mnada ile watu wananunua hata miwa kwa laki, aanze imwaga huko na huku akisema wananajisi nyumba ya baba yake. Hilo tu litafanya watu wengi wasiamini kama huyu ni Yesu maana bila shaka mtazamo wa wengi juu yake ni aje akiwa so cool anaongea taratibu si kumwaga mwaga vitu.
 
Mkuu unajua mambo mengi yanayofanyika kanisani unakuta tu hata hayako kwenye maandiko basi ni utaratibu ulianza kimasihara ukageuka kuwa utamaduni. Sasa assume aje leo akute ni siku ya mnada ile watu wananunua hata miwa kwa laki, aanze imwaga huko na huku akisema wananajisi nyumba ya baba yake. Hilo tu litafanya watu wengi wasiamini kama huyu ni Yesu maana bila shaka mtazamo wa wengi juu yake ni aje akiwa so cool anaongea taratibu si kumwaga mwaga vitu.
Napenda watu wa aina yako umenielewa vizuri sana. Hii haikubaliki na nimwazo wa pango la wanyanganyi.
 
Sawa tuendelee kutafuta ila la Yesu lipo na Kila mwaka waumini wanaenda kuhani, ( kuhiji).
Kwa mujibu wa Qur'an Yesu alikua elevated to heaven,...so kwasasa yupo huko. Means bado yupo hai hakuuawa.
 
Ukisoma na kutafakari kwa umakini kuhusu Yesu unagundua kwamba alikuwa ni wale watu ambao jamii inawachukulia kwamba wamepinda yani outcast.

Hata wale wanafunzi wake aliokuwa akiongozana nao jamii inaonekaan ilikuwa inawachukulia kama watu wasiokuwa na maadili waliopotoka yani waliopinda.

Ndio maana kuna sehemu hadi anaulizwa, inakuaje anakula na kunywa na wenye dhambi? Hii bila shaka haina tofauti na sasa unamuuliza, we jamaa unaonekana ni mwenye ehshima inakuaje unashinda na wazinzi na walevi?

Hebu fikiria mtu unayemheshimu sana anakuja kahaba analia miguuni mwake anampangusa kwa nywele anambusu miguu, assume huyo jamaa anayefanyiwa hivyo ni hakimu na huyo kahaba ana kesi. Halafu baada ya kufanyiwa hivyo hakimu anamwambia kesi yako utashinda!

Bila shaka utasema hakimu kasema hayo kwa sababu kahaba kamtamanisha kwa kumshika shika na kumbusu miguu huenda watamalizana huko mebeleni. Hiki ndicho kilichotokea kwa yule kahaba na bila shaka wale jamaa walisema moyoni huyu jamaa amelegea kwa kahaba atakuwa msela tu anatuigizia.

Ukichukulia hali hii kwakweli hata angekuja leo hapa TZ bado watu wangemkataa. Wangemwona msela Fulani hivi mwenye group la watu waliopinda. Yani kipindi anajiita kwamba yeye ni mfalme wa Wayahudi, huenda wale viongozi walikuwa wanamchukulia kama Ney wa Mitego anavyojiita raisi wa masela au Madee anayejiita rais wa Manzese hawakuwa wakimchukulia serious kihivyo mpaka alipoanza wazingua.

Kama akirudi kwa style hiyo hiyo sijui ni wangapi wataamini kuwa ni Yesu.
Hivi waislamu mmelaaniwa na nani mbwa ninyi? Huu ujinga umeutoa wapi?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa Qur'an Yesu alikua elevated to heaven,...so kwasasa yupo huko. Means bado yupo hai hakuuawa.
Kimwili aliuacha na badae akauchukua, kiroho hata hapo ulipo yupo. Kumbuka aligoma asishikwe na mtu yoyote hata yule alie mpenda hakumpa nafasi ksb mwili ulitakasika .
 
Kwa mujibu wa Qur'an Yesu alikua elevated to heaven,...so kwasasa yupo huko. Means bado yupo hai hakuuawa.
Ukristo unatangazwa na wasio kuwa wakristo. Mwamposa piga kazi tunaona mambo yanavyo enda haswa kwa wenye jicho la 3 tunaona mambo yalivyo.
 
Ukisoma na kutafakari kwa umakini kuhusu Yesu unagundua kwamba alikuwa ni wale watu ambao jamii inawachukulia kwamba wamepinda yani outcast.

Hata wale wanafunzi wake aliokuwa akiongozana nao jamii inaonekaan ilikuwa inawachukulia kama watu wasiokuwa na maadili waliopotoka yani waliopinda.

Ndio maana kuna sehemu hadi anaulizwa, inakuaje anakula na kunywa na wenye dhambi? Hii bila shaka haina tofauti na sasa unamuuliza, we jamaa unaonekana ni mwenye ehshima inakuaje unashinda na wazinzi na walevi?

Hebu fikiria mtu unayemheshimu sana anakuja kahaba analia miguuni mwake anampangusa kwa nywele anambusu miguu, assume huyo jamaa anayefanyiwa hivyo ni hakimu na huyo kahaba ana kesi. Halafu baada ya kufanyiwa hivyo hakimu anamwambia kesi yako utashinda!

Bila shaka utasema hakimu kasema hayo kwa sababu kahaba kamtamanisha kwa kumshika shika na kumbusu miguu huenda watamalizana huko mebeleni. Hiki ndicho kilichotokea kwa yule kahaba na bila shaka wale jamaa walisema moyoni huyu jamaa amelegea kwa kahaba atakuwa msela tu anatuigizia.

Ukichukulia hali hii kwakweli hata angekuja leo hapa TZ bado watu wangemkataa. Wangemwona msela Fulani hivi mwenye group la watu waliopinda. Yani kipindi anajiita kwamba yeye ni mfalme wa Wayahudi, huenda wale viongozi walikuwa wanamchukulia kama Ney wa Mitego anavyojiita raisi wa masela au Madee anayejiita rais wa Manzese hawakuwa wakimchukulia serious kihivyo mpaka alipoanza wazingua.

Kama akirudi kwa style hiyo hiyo sijui ni wangapi wataamini kuwa ni Yesu.
Sasa quran mbn inadai hakuawa bali alihuishwa na atarudi na kuoa hapa duniani?kwanini apazwe kama mnavyodai?kwanini asipazwe yule mbakaji wa mtoto wa miaka 9?Hamas ndio outcast na ndio role models wenu wamekopi kwa mudy(war frontier).
 
Haha Elimu Duniya Nimeenda enda shule kidogo nina Vijiwe viwili...

Elimu ya kidini..
Kwenye ukristo nilisomaga theology na nikapata diploma..
Kwenye uislam nilisoma mpaka thanawi...

Kwenye Budhism,Hinduism na Other Mystesism nina certificate ila bado naendelea kusoma.....

Kwa hiyo mkuu Sijajua Lengo lako la kuuliza elimu
Shida ilianzia hapa.
 
Sasa wewe ndiyo unarusha maneno yake unayaingiza kinywani mwangu, hapo wewe ndiyo unaleta uzushi au sijuwi ni ushuzi.

Wewe unayesema kafanya muujiza, weka ushahidi wako kuwa kfanya muujiza tuuchambuwe. Mimi nasema hakufanya, sasa nani anayezuwa hapo?
وَرَسُولًا إِلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ أَنِّي قَدْ جِئْتُكُم بِآيَةٍ مِّن رَّبِّكُمْ ۖ أَنِّي أَخْلُقُ لَكُم مِّنَ الطِّينِ كَهَيْئَةِ الطَّيْرِ فَأَنفُخُ فِيهِ فَيَكُونُ طَيْرًا بِإِذْنِ اللَّهِ ۖ وَأُبْرِئُ الْأَكْمَهَ وَالْأَبْرَصَ وَأُحْيِي الْمَوْتَىٰ بِإِذْنِ اللَّهِ ۖ وَأُنَبِّئُكُم بِمَا تَأْكُلُونَ وَمَا تَدَّخِرُونَ فِي بُيُوتِكُمْ ۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لَّكُمْ إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ

[ AL I'MRAN - 49 ]
Na ni Mtume kwa Wana wa Israili kuwaambia: Mimi nimekujieni na Ishara kutoka kwa Mola Mlezi wenu, ya kwamba nakuundieni kwa udongo kama sura ya ndege. Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na ninawaponesha vipofu wa tangu kuzaliwa na wakoma, na ninawafufua maiti kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na ninakwambieni mnacho kila na mnacho weka akiba katika nyumba zenu. Hakika katika haya ipo Ishara kwenu ikiwi nyinyi ni wenye kuamini.

إِذْ قَالَ اللَّهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ اذْكُرْ نِعْمَتِي عَلَيْكَ وَعَلَىٰ وَالِدَتِكَ إِذْ أَيَّدتُّكَ بِرُوحِ الْقُدُسِ تُكَلِّمُ النَّاسَ فِي الْمَهْدِ وَكَهْلًا ۖ وَإِذْ عَلَّمْتُكَ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَالتَّوْرَاةَ وَالْإِنجِيلَ ۖ وَإِذْ تَخْلُقُ مِنَ الطِّينِ كَهَيْئَةِ الطَّيْرِ بِإِذْنِي فَتَنفُخُ فِيهَا فَتَكُونُ طَيْرًا بِإِذْنِي ۖ وَتُبْرِئُ الْأَكْمَهَ وَالْأَبْرَصَ بِإِذْنِي ۖ وَإِذْ تُخْرِجُ الْمَوْتَىٰ بِإِذْنِي ۖ وَإِذْ كَفَفْتُ بَنِي إِسْرَائِيلَ عَنكَ إِذْ جِئْتَهُم بِالْبَيِّنَاتِ فَقَالَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْهُمْ إِنْ هَـٰذَا إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ

[ AL - MAIDA - 110 ]
Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na utuuzimani. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!
 
Qur'an na YESU wapi na wapi?

Mtume Muhammad amezaliwa mwaka 570 AD, yaani zaidi ya miaka 537 baada ya YESU.

KIFUPI: Mtume Muhammad hajui hata SURA ya YESU inafananaje.

Ni kichekesho kumuuliza mtu aliyeota ndoto juu ya YESU, ukamwacha yule aliyemwona YESU.

Kwahiyo, Qur'an haina uwezo wa kumwelezea YESU Kwasababu waandishi wake hawakuwahi kumshuhudia YESU kwa namna yoyote Ile( SAUTI yake au SURA yake). Hivyo hawana EYE WITNESS TO JESUS hivyo hata mahakamani Hawa hawawezi kuwa mashahidi.
Achana naye huyo. Hawa ni wezi ma wapotoshaji tu.. Ndio maana mambo ya maana yanapojadiliwa wao wanatakiwa wafukuzwe..
 
Back
Top Bottom