Tathimini yangu Kati ya Simba Day na Yanga Day

Tathimini yangu Kati ya Simba Day na Yanga Day

Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa ...mbeya (green city)

Tathimini kwa simba ( wakimataifa)

Tamasha la Simba day limekua Bora kuliko matamasha yote yaliyowahi kufanyika hapa nchini...kutokana na mpangilio wa matukio yaliyofanyika na kufanikiwa kuujaza uwanja zaidi Zaid ya wananchi ambapo kulikuwa na some gaps za viti...

Simba imecheza na timu kutoka Ethiopia..(timu ya waimba kwaya)..wote tunajua kuwa Ethiopia hamna soka bali Kuna wanariadha zaidi, pia Kuna Vita so hakikuwa kipimo sahihi kwa mnyama .....

Kwasisi wataalamu tunasema Simba kapiga bomu mochwari.....( Kaingia kwenye pango la popo bawa kinyume nyume) ....Kama unabisha Tukutane tareh 13

Tathimini kwa YANGA ( wananchi)

Yanga imecheza na vipers kutoka Uganda ......nadhani Uganda inajulikana kwa soka hapa kuwa kinara wa EAC....Kama unabisha refer to FIFA ranks..then wamefungwa so wamepata pa kurekebisha na kijifunza mengi. Ambayo impact yake itaanza kuonekana August 13 na kuendelea Hadi fainali ya CAF champions ( najua mtabisha).So yanga wamejifunza mengi ( congratulations kwao)

Mapato ( gate collections)

SIMBA=. 313, 860,000

YANGA = 521, 460,000

Kwa upande wa mapato yanga bado hakamatiki pamoja na Simba kuujaza uwanja wa mkapa

Je!!! ni ipi tathimini yako kwa hizi timu mbili?View attachment 2318693
Mwana Uto, akiisifia Uto kwa Uto wao wa wachezaji wa Utopolo. Na bado, kaaeni vizuri mpakwe dawa
 
Hao waimba kwaya wako nafasi ya 60 kwenye rank za caf ila nyie vinuka mavi mko nafasi 75 mnazidiwa hata na namungo
Simba kwetu lilikuwa tamasha la kukutanisha mashabiki,wachezaji,viongozi, pamoja na wapenzi wa simba walioko nje ya nchi suala kuingiza kipato cha gate collection sio muhimu kwetu sisi tulitaka burudani
Ila nyie mmejali kukusanya pesa za kuendesha timu na kulipa mishahara ya kina toto tundu na aziza nipe
 
Fanya research tena ya kitu kingine kuhusu simba, ukimaliza kunywa maji ya uvugu vugu, afu pumzikaaaaaaaah

Byuti byuti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simba ina washabiki watu wa kelele tu na kusumbuana Yanga ina mashabiki wengi wenye vipato na wanaojitambua

Angalia wanavyonunua kadi, jezi na hawaji uwanjani kwa mihemko wanakuja kwa mapenzi ya timu

Yanga sio watu wa lawama ndio maana hata timu ilivyofanya vby miaka minne bado walisimama na timu yao.

Simba kazengua mwaka mmoja tu tayari kelele zishaanza na mwaka huu asipochukua ubingwa sijui hali itakiwaje .

Eti mzungu tumepigwa wakati hana hata wiki.

Tujifunze kuvumilia tuache mihemko tujifunze kuwa na heshima kwa wenzetu wakifanya vzr.

Huu ni utawala wa Yanga ukubali ukatae ndio ukweli wenyewe.
Wewe bakia kwenye siasa huku unatoa maboko sana
Hii nakala ikufikie
 

Attachments

  • IMG-20220725-WA0006.jpg
    IMG-20220725-WA0006.jpg
    26.3 KB · Views: 3
Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa ...mbeya (green city)

Tathimini kwa simba ( wakimataifa)

Tamasha la Simba day limekua Bora kuliko matamasha yote yaliyowahi kufanyika hapa nchini...kutokana na mpangilio wa matukio yaliyofanyika na kufanikiwa kuujaza uwanja zaidi Zaid ya wananchi ambapo kulikuwa na some gaps za viti...

Simba imecheza na timu kutoka Ethiopia..(timu ya waimba kwaya)..wote tunajua kuwa Ethiopia hamna soka bali Kuna wanariadha zaidi, pia Kuna Vita so hakikuwa kipimo sahihi kwa mnyama .....

Kwasisi wataalamu tunasema Simba kapiga bomu mochwari.....( Kaingia kwenye pango la popo bawa kinyume nyume) ....Kama unabisha Tukutane tareh 13

Tathimini kwa YANGA ( wananchi)

Yanga imecheza na vipers kutoka Uganda ......nadhani Uganda inajulikana kwa soka hapa kuwa kinara wa EAC....Kama unabisha refer to FIFA ranks..then wamefungwa so wamepata pa kurekebisha na kijifunza mengi. Ambayo impact yake itaanza kuonekana August 13 na kuendelea Hadi fainali ya CAF champions ( najua mtabisha).So yanga wamejifunza mengi ( congratulations kwao)

Mapato ( gate collections)

SIMBA=. 313, 860,000

YANGA = 521, 460,000

Kwa upande wa mapato yanga bado hakamatiki pamoja na Simba kuujaza uwanja wa mkapa

Je!!! ni ipi tathimini yako kwa hizi timu mbili?View attachment 2318693
C086746E-D888-4B35-B36F-96BABD890B98.jpeg
 
Mbona Congo Drc vita haijawahi kuisha lakini wana mpira na vilabu bora kuliko Tanzania [emoji1241] na wachezaji wa vilabu vyetu tunasajili kutoka huko. Jenga hoja ama futa uzi.
Congo ni nchi kubwa ....hivyo Ina population kubwa .....ambayo kutokana na Vita, ukosefu wa ajira watu wengi hujikita kwenye michezo.....
Tofauti na wabongo .....mtoto wako anakula anashiba Hawezi kukumbuka kuchezea mpira......

Nadhani hata wewe unachukia unapoona mwanao ana base kwny mpira badala ya shule[emoji28][emoji28]
 
Hao waimba kwaya wako nafasi ya 60 kwenye rank za caf ila nyie vinuka mavi mko nafasi 75 mnazidiwa hata na namungo
Simba kwetu lilikuwa tamasha la kukutanisha mashabiki,wachezaji,viongozi, pamoja na wapenzi wa simba walioko nje ya nchi suala kuingiza kipato cha gate collection sio muhimu kwetu sisi tulitaka burudani
Ila nyie mmejali kukusanya pesa za kuendesha timu na kulipa mishahara ya kina toto tundu na aziza nipe
Mkuu unadhani kulingana na hizi mechi Nani ataibuka na ushindi tareh 13
 
Fanya research tena ya kitu kingine kuhusu simba, ukimaliza kunywa maji ya uvugu vugu, afu pumzikaaaaaaaah

Byuti byuti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Research gaps zimeisha .....labda tufanyeje research ya kwann Simba itatolewa mapema michuano ya CAF kuliko yanga [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom