Tathmini fupi mchezo wa Yanga dhidi ya Namungo

Tathmini fupi mchezo wa Yanga dhidi ya Namungo

Kwani Baleke anakoseaga wapi?
Inawezekana kuna viongozi labda wana wachezaji wao pale Yanga. Ila hata mimi nikiwa kama mshabiki wa Yanga, sijaona sababu ya kumchezesha Prince Dube kwenye kila mechi! Huku akiwa hana impact yoyote ile.

Baleke kwenye mechi chache alizocheza, tayari amefunga! Lakini kila mechi anaachwa nje, huku Dube ambaye kimsingi hayuko fit kwa sasa, akipewa nafasi zaidi ya kucheza.


Baleke ni mshambuliaji wa kati aliyekamilika! Ana nguvu, na pia ni msumbufu kwa walinzi! Hivyo anatakiwa apewe nafasi zaidi ya kucheza, kuliko Prince Dube.
 
Mechi ilikuwa nzuri
Wachezaji wa Yanga wameonyesha ukomavu na uvumilivu hadi nafasi za kufunga zikapatikana

Wachezaji wetu hawana fitness nzuri sana.

Nadhani labda uchovu kushinda ubingwa mara 3 siochezo, hii inasabisha mechi kukosa kasi tuliyozoea

Duke Abuya ni Mchezaji mzuri mno, ametimiza majukumu yake Kwa usahihi.

Azizi ki anahitaji mechi zisizo na pressure ili kurudisha confidence yake, ila Bado yuko poa

Kennedy Musonda amecheza vizuri hapa anadai mkataba mpya, Coach amwamini Musonda ili kumpunguzia Dube pressure ya kuwa striker namba 1

Kibabage amegoma kubadilika, amecheza vibaya sana,
Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,
Eng Hersi dirisha dogo ingia sokoni tuletee beki mzawa wa kushoto

Chama fundi huyu sisemi sana, hapaswi kukaa bench anataka mkataba zaidi ya kubakia Yanga

Max, Muda, Dube, Mwamnyeto, Komen, Yao kiwango kizuri mmeonyesha kama kawaida na ndo yalikuwa matarajio yangu

Timu kubwa imechezwa kikubwa, magoli hayana mbambamba kama wale wengine wanaoshiriki mashindano ya akina mama

Yanga bingwa 🏆
Wachezaji wetu hawana fitness nzuri sana.📌🔨
 
Baleke ni mshambuliaji wa kati aliyekamilika! Ana nguvu, na pia ni msumbufu kwa walinzi! Hivyo anatakiwa apewe nafasi zaidi ya kucheza, kuliko Prince Dube.
Maisha yanaenda kasi sana. Leo Baleke, Chama na Mkude ni lulu pale vyurani, wanaliliwa waanze wakati tulikuwa tunaambiwa hakuna mchezaji wa Simba anaweza pata namba utopoloni
 
Maisha yanaenda kasi sana. Leo Baleke, Chama na Mkude ni lulu pale vyurani, wanaliliwa waanze wakati tulikuwa tunaambiwa hakuna mchezaji wa Simba anaweza pata namba utopoloni
Shida ya mashabiki wengi wa simba ndiyo hii hapa! Kila kitu wanachoambiwa, basi wanakichukua kama kilivyo!
Sasa nimegundua kwa nini mliitwa mbumbumbu. Wakati mwingine muwe na akili kama za mbayuwayu! Msiwe kama kasuku.
 
Shida ya mashabiki wengi wa simba ndiyo hii hapa! Kila kitu wanachoambiwa, basi wanakichukua kama kilivyo!

Sasa nimegundua kwa nini mliitwa mbumbumbu. Wakati mwingine muwe na akili kama za mbayuwayu! Msiwe kama kasuku.
Kauli mnazitoa wenyewe kwa mihemko yenu halafu mnakuja kuzikataa wenyewe baada ya mambo kwenda ndivyo sivyo. Jifunzeni kuongea kwa kiasi.
 
Kauli mnazitoa wenyewe kwa mihemko yenu halafu mnakuja kuzikataa wenyewe baada ya mambo kwenda ndivyo sivyo. Jifunzeni kuongea kwa kiasi.
Kwa hiyo kila kauli inayotolewa na mtu, unaiamini kwa 100%!!! Kwa hali hii basi hakuna umuhimu wa kutumia ubongo kufikiri.
 
Kwa hiyo kila kauli inayotolewa na mtu, unaiamini kwa 100%!!! Kwa hali hii basi hakuna umuhimu wa kutumia ubongo kufikiri.
Hata kauli yako hii siiamini hata kwa 2%. Punguzeni mhaho.

Hadi mkarekodi wimbo na kuusajili BASATA mkiimba Uto hii unaifungaje, few moments later mnajikataa wenyewe...
 
Hata kauli yako hii siiamini hata kwa 2%. Punguzeni mhaho.

Hadi mkarekodi wimbo na kuusajili BASATA mkiimba Uto hii unaifungaje, few minutes later mnajikataa wenyewe...
Lakini Kijili siku ilipofika alifanya jambo kubwa
 
Yanga inarudi ila kwa taratibu mno kama kinyonga!!

Kibabage alikuwa akijiposition vizuri na kupewa mipira kosa alilofanya ni kujipigia tu makrosi bila umakini mipira yake yote Namungo wakawa wanablock, wakati mwingine basi hata atishie kupiga jamaa waruke kisha ndo apige. Ye akili yake ni kupiga tu hata mabeki walishamjulia ajifunze kwa Chama anafinya mno.

Yanga bado haiko njema sana iko slow hasa kwenye counter attack wachezaji hawarudi kwa kasi, na wengine wanategea kurudi kukaba. Hili ni bomu litatulipukia tukicheza na timu kubwa!

Ukabaji wa Yanga umerudi vizuri, wachezaji watatu wa Yanga wanamzunguka mpinzani alie na mpira wachukue mpira wao.

Mabeki wa Yanga wakipigiana mipira kama hawana nguvu vile, very slow , wanapigiana kichovu unasema huu mpira utafika kweli bila kunaswa. Wanapiga mpira kama wamelazimishwa vile!!

Bado tabia ya kurudisha mipira nyuma wanayo sana baadhi ya wachezaji wetu uto na hii maana yake ni kocha kukosa mbinu za kupasua ngome ya wapinzani. Kocha arekebishe Yanga daima mbele nyuma mwiko!!

Yanga bingwa!
 
Yanga inarudi ila kwa taratibu mno kama kinyonga!!

Kibabage alikuwa akijiposition vizuri na kupewa mipira kosa alilofanya ni kujipigia tu makrosi bila umakini mipira yake yote Namungo wakawa wanablock, wakati mwingine basi hata atishie kupiga jamaa waruke kisha ndo apige. Ye akili yake ni kupiga tu hata mabeki walishamjulia ajifunze kwa Chama anafinya mno.

Yanga bado haiko njema sana iko slow hasa kwenye counter attack wachezaji hawarudi kwa kasi, na wengine wanategea kurudi kukaba. Hili ni bomu litatulipukia tukicheza na timu kubwa!

Ukabaji wa Yanga umerudi vizuri, wachezaji watatu wa Yanga wanamzunguka mpinzani alie na mpira wachukue mpira wao.

Mabeki wa Yanga wakipigiana mipira kama hawana nguvu vile, very slow , wanapigiana kichovu unasema huu mpira utafika kweli bila kunaswa. Wanapiga mpira kama wamelazimishwa vile!!

Bado tabia ya kurudisha mipira nyuma wanayo sana baadhi ya wachezaji wetu uto na hii maana yake ni kocha kukosa mbinu za kupasua ngome ya wapinzani. Kocha arekebishe Yanga daima mbele nyuma mwiko!!

Yanga bingwa!
Umeichambua vyema
 
Back
Top Bottom