ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda
Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi
Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa
Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile
Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana
Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa
Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess
Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan
Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno
Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke
Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu
Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga
Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai
Yanga bingwa
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda
Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi
Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa
Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile
Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana
Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa
Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess
Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan
Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno
Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke
Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu
Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga
Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai
Yanga bingwa