Tathmini fupi mechi ya mc Alger Vs Yanga

Tathmini fupi mechi ya mc Alger Vs Yanga

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda

Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi

Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa

Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile

Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana

Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa

Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess

Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan

Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno

Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke

Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu

Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga

Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai

Yanga bingwa
 
Dunga dunga fc.
Ujanjaujanja una mwisho mbaya sana.
Toka azamwa waweke majishindwano ni kufungwafungwa tu.
Dungadunga ni kuuwa watu wa mpira tu.
Yuko wapi mwambwa wa lusakwa.
Yuko wapi dude dubwe ?
Ndio Malaika wanajipanga waje kucheza nawo.
Mlifikia mahali pa kukufuru.
 
Once Uto always Uto.

Eti mbinu...

Leo mnamkosoa Kocha kuwa ametumia mbinu za mechi ya mwisho na Namungo.

Wakati nyinyi wenyewe mlivyoshinda mechi ya Namungo mlijitapa kuwa gari imewaka timu imerudi.

Leo imekuwaje?

Halafu unamlaumu kuwa hajabadilisha mbinu.

Ukiwa na silaha duni aina ya rungu hata ubadilishe mtindo wa ushikaji bado huwezi uka battle na aliyeshika SMG

Utaonekana mjinga kujilaumu kuwa umedhibitiwa na mwenye SMG kwasababu haukuwa na mbinu sahihi ya utumiaji wa Rungu.

We una wachezaji wa kauka nikuvae wote umri umeenda afu mbaya zaidi wameandamwa na pancha.

Then unakuja kufungwa na timu iliyokuwa bora zaidi yako unaanza kumlaumu kocha kuwa tatizo ni mbinu. Akili za wapi hizo?

Hivi mechi ya leo mapungufu yameonekana kwenye mbinu au daraja la wachezaji ndio lililoamua matokeo?

Huyo Azizi Ki hakuwa na mechi nzuri kabisa na kocha alifanya jambo la muhimu kumtoa.

Kwa kiasi kikubwa timu yenu hata pale ambapo wachezaji wote wanakuwa na kiwango kibovu ila Pacome pekee ndio anayeonekana kuwa bora.

Labda na Chama kidogo. The rest ni mizigo tu sio kipa sio beki, wote wanaruka ruka kama makirikiri.

Huyo Diarra alijipa likizo mechi ya Namungo ajiulize wapi anakosea mpaka watu wanamfunga.

Leo waarabu wamekuja kupiga palepale akajiulize tena kwenye next match.
 
Once Uto always Uto.

Eti mbinu...

Leo mnamkosoa Kocha kuwa ametumia mbinu za mechi ya mwisho na Namungo.

Wakati nyinyi wenyewe mlivyoshinda mechi ya Namungo mlijitapa kuwa gari imewaka timu imerudi.

Leo imekuwaje?

Halafu unamlaumu kuwa hajabadilisha mbinu.

Ukiwa na silaha duni aina ya rungu hata ubadilishe mtindo wa ushikaji bado huwezi uka battle na aliyeshika SMG

Utaonekana mjinga kujilaumu kuwa umedhibitiwa na mwenye SMG kwasababu haukuwa na mbinu sahihi ya utumiaji wa Rungu.

We una wachezaji wa kauka nikuvae wote umri umeenda afu mbaya zaidi wameandamwa na pancha.

Then unakuja kufungwa na timu iliyokuwa bora zaidi yako unaanza kumlaumu kocha kuwa tatizo ni mbinu. Akili za wapi hizo?

Hivi mechi ya leo mapungufu yameonekana kwenye mbinu au daraja la wachezaji ndio lililoamua matokeo?

Huyo Azizi Ki hakuwa na mechi nzuri kabisa na kocha alifanya jambo la muhimu kumtoa.

Kwa kiasi kikubwa timu yenu hata pale ambapo wachezaji wote wanakuwa na kiwango kibovu ila Pacome pekee ndio anayeonekana kuwa bora.

Labda na Chama kidogo. The rest ni mizigo tu sio kipa sio beki, wote wanaruka ruka kama makirikiri.

Huyo Diarra alijipa likizo mechi ya Namungo ajiulize wapi anakosea mpaka watu wanamfunga.

Leo waarabu wamekuja kupiga palepale akajiulize tena kwenye next match.
Uzi ufungwe
 
Tatizo msemaji wao ali wajaza vichwa akawaaminisha kua mpira utakua gusa achia twende shida imeanzia hapa
GdptTYQX0AAmtMO.jpeg
 
Once Uto always Uto.

Eti mbinu...

Leo mnamkosoa Kocha kuwa ametumia mbinu za mechi ya mwisho na Namungo.

Wakati nyinyi wenyewe mlivyoshinda mechi ya Namungo mlijitapa kuwa gari imewaka timu imerudi.

Leo imekuwaje?

Halafu unamlaumu kuwa hajabadilisha mbinu.

Ukiwa na silaha duni aina ya rungu hata ubadilishe mtindo wa ushikaji bado huwezi uka battle na aliyeshika SMG

Utaonekana mjinga kujilaumu kuwa umedhibitiwa na mwenye SMG kwasababu haukuwa na mbinu sahihi ya utumiaji wa Rungu.

We una wachezaji wa kauka nikuvae wote umri umeenda afu mbaya zaidi wameandamwa na pancha.

Then unakuja kufungwa na timu iliyokuwa bora zaidi yako unaanza kumlaumu kocha kuwa tatizo ni mbinu. Akili za wapi hizo?

Hivi mechi ya leo mapungufu yameonekana kwenye mbinu au daraja la wachezaji ndio lililoamua matokeo?

Huyo Azizi Ki hakuwa na mechi nzuri kabisa na kocha alifanya jambo la muhimu kumtoa.

Kwa kiasi kikubwa timu yenu hata pale ambapo wachezaji wote wanakuwa na kiwango kibovu ila Pacome pekee ndio anayeonekana kuwa bora.

Labda na Chama kidogo. The rest ni mizigo tu sio kipa sio beki, wote wanaruka ruka kama makirikiri.

Huyo Diarra alijipa likizo mechi ya Namungo ajiulize wapi anakosea mpaka watu wanamfunga.

Leo waarabu wamekuja kupiga palepale akajiulize tena kwenye next match.
🔨 🔨 🔨
 
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda

Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi

Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa

Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile

Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana

Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa

Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess

Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan

Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno

Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke

Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu

Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga

Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai

Yanga bingwa
 

Attachments

  • VID-20241208-WA0005.mp4
    1.9 MB
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda

Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi

Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa

Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile

Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana

Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa

Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess

Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan

Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno

Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke

Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu

Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga

Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai

Yanga bingwa
Mchambuzi wa mchongo from Bonyokwa
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda

Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi

Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa

Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile

Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana

Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa

Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess

Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan

Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno

Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke

Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu

Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga

Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai

Yanga bingwa
Angefanya kama unavyopendekeza na timu ikafungwa ungekuja na ngonjera nyingine. Wachezaji ni walewale na kocha ndiye anayewafahamu vema katika uwanja wa mazoezi. Ukifungwa kubali matokeo na si kuja na ngonjera za sijui angefanya hivi ama vile. Vinginevyo omba nafasi hiyo ya ukocha mkuu.
 
Nd
Coach kimeo sana
Kwanini asichezeshe Mkude na Abuya Kwa wakati mmoja
Awe na wakabaji 2
Ndio maana yeye ni kocha wa timu ya ligi kuu na wewe huna sifa hiyo hata ya kuwa kocha wa chandimu. Uyasemayo yote ni ndoto za alinacha na wala haimaanishi kuwa angeshinda iwapo angepanga kadri ya maoni yako.
 
Back
Top Bottom