pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Gari imewaka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sindano fc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini unakumbuka kuwa Yanga inafungwaje?😂😂😂Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda
Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi
Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa
Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile
Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana
Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa
Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess
Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan
Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno
Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke
Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu
Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga
Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai
Yanga bingwa
Wakishindwa wanarudi ligi kuu, hakuna Best loser safari hii.Si vibaya mkishindwa huko mrudi kwenye kombe letu la shirikisho [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
huko Kuna wenyewe
Kwanini yanga wana namba 6 moja.ndiyo maana tunasema yanga hawakujipangaAta kama Hersi asimpende Kibabage Bado Hersi sio Kocha, lakini kama iyo namba Kibabage Haifanyi vizuri na Boka anauguza Maumivu ulitaka nani acheze nafasi iyo!!
Kumbuka Gamondi hakua anautumia mawinga Asilia, yeye Mabeki wa pembeni ndio Ma winga wake na Kocha wa Sasa Mpaka Sasa anautumia mfumo uo.
Haiwezekani mfumo umtake Ki babage awe kama beki /winga alafu kwenye Counter za Mpinzani awe kwenye nafasi yake ya kuzuia.
Kumbuka Counter Attack zote ni pasi Chache za Mpinzani ili kwenda kushambulia eneo la wazi la timu inayo shambulia.
Kinacho tokea kwenye mfumo ni yule namba 6 anaye takiwa kuzuia Counter attack kwenye eneo ambalo mfumo ume mtaka beki wake kua katika eneo la ushambuliaji yeye kuchelewa kufika ili kuziba eneo ilo.
Kinacho tokea Beki wa kati lazima atoke kati aende kuzuia shambulizi ambalo namba sita na beki wa pembeni lime wapita.
Sasa washambuliaji wa counter wakiwa na namba nzuri Wana u shift mpira eneo Lingine inafanya Diffence kukatika na Goli kufungwa.
Kinacho hitajika si ku mlaumu ki babage au Hersi , kwakua tayari timu ipo kwenye mashindano na Ina majeruhi.
Inatakiwa Kibabage aongeze ufanisi akilikaribia lango la mpinzani au Kocha aje na mfumo utakao Fanya mabeki wote wawepo nyuma muda wote wa mchezo stail inayobtumiwa Ugenini.
Magoli tuliyofungwa Jana hasa la kwanza, timu yote ilikua inazuia kwaiyo ni Goli la timu.
Goli la pili Sina wa ku mlaumu kwakua Kibabage alizidiwa maarifa ,Mwam nyeto alizidiwa kasi kama alivyozidiwa baka na Hilal Dar, Kipa Diara asingeweza ku weka mikono kwenye mpira ambao mshambuliaji ameingiza mguu.
Ni kuweka Afya Yako rehani kwa kuikubali Ajali mbaya.
Huwezi ukawa bingwa wa Mchongo ukafanya vzr champions League naiona YANGA ikimaliza mechi ikiwa mkiani na ikiturudisha kwenye Timu moja kweli hii ni aibu ya KarneMchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda
Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi
Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa
Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile
Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana
Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa
Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess
Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan
Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno
Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke
Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu
Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga
Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai
Yanga bingwa
Msimu uliopita hadi raundi ya pili Yanga alikuwa mkiani akiwa na point moja tu lakini mwisho wa siku alifuzuMmekaa mkiani mwa kundi, nakuambia Yanga haiwezi kupata zaidi ya points 3 kwenye hili kundi acha matarajio yasiyo na miguu wala kichwa.
Weeekundu wa msimbazi?DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
Duh umewahi hata kucheza cha ndimu? Hivi upo sawa kichwani mpaka useme eti yanga alikuwa bingwa wa mchongo? Kwahiyo nani alistahili kuwa bingwa msimu uliopita?Huwezi ukawa bingwa wa Mchongo ukafanya vzr champions League naiona YANGA ikimaliza mechi ikiwa mkiani na ikiturudisha kwenye Timu moja kweli hii ni aibu ya Karne
Wewe mama mstaafu....huko tulikuwepoo na tulipitaHii ni club bingwa sio mashindano ya akina mama
Yanga kipindi cha pili anachoka sana. Asipobadilika anapigwa mechi zote mpaka za ndani. Hii inadhibitisha alikuwa anatumia sindano. Maana kabla ya kugundulika ndio alikuwa motoMimi nadhani tatizo kubwa ni kutotumika kwa SINDANO.