Tathmini fupi mechi ya mc Alger Vs Yanga

Tathmini fupi mechi ya mc Alger Vs Yanga

Mkude hawezi kuwa replacement ya Aucho, Duke Abuya lilikua chaguo Sahihi kucheza kuliko Mkude.
Musonda anacheza kwa kufuata Maelekezo na alitakiwa atokee kule pembeni na ata alipo ingia Chama Bado Musonda alikua akitokea pembeni na Ata Gamond ndivyo alivyokua akimchezesha.
Shida Kubwa ni Wachezaji wamepoteza utimamu wa mwili katika kipindi kibaya.

Yanga walitakiwa wawe Aggressive kama wale waarabu maana walikua Wana Vamia na kufika Maungoni.
Kibaya zaidi wachezaji awa wamecheza mechi nyingi kuanzia timu ya Taifa kwaiyo wengi Wana uchovu mwingi.

Sijajua mtu mpya wa fitness aliye letwa atawezaje kuondoa uchovu wa wachezaji na apoapo kuwa Fanya wawena Nguvu na spidi kwa wakati mmoja.
Mkude. asubiri FA Cup iyo ata imudu.
Wachezaji wengi wanataka ku pambana ila miili Yao Ina wasaliti.

Aziz anahitajika kupumzika, amepoteza strength na Sharpness apewe nafasi Baleke na Musonda mfululizo kwakua hawajatumika sana
 
Kumbuka kipind cha kwanza yanga wamecheza vizur sana kuanzia dk 15 kipind cha pili bwana said alizidiwa mbinu zaid
 
Mkude hawezi kuwa replacement ya Aucho, Duke Abuya lilikua chaguo Sahihi kucheza kuliko Mkude.
Musonda anacheza kwa kufuata Maelekezo na alitakiwa atokee kule pembeni na ata alipo ingia Chama Bado Musonda alikua akitokea pembeni na Ata Gamond ndivyo alivyokua akimchezesha.
Shida Kubwa ni Wachezaji wamepoteza utimamu wa mwili katika kipindi kibaya.

Yanga walitakiwa wawe Aggressive kama wale waarabu maana walikua Wana Vamia na kufika Maungoni.
Kibaya zaidi wachezaji awa wamecheza mechi nyingi kuanzia timu ya Taifa kwaiyo wengi Wana uchovu mwingi.

Sijajua mtu mpya wa fitness aliye letwa atawezaje kuondoa uchovu wa wachezaji na apoapo kuwa Fanya wawena Nguvu na spidi kwa wakati mmoja.
Mkude. asubiri FA Cup iyo ata imudu.
Wachezaji wengi wanataka ku pambana ila miili Yao Ina wasaliti.

Aziz anahitajika kupumzika, amepoteza strength na Sharpness apewe nafasi Baleke na Musonda mfululizo kwakua hawajatumika sana
Tatizo lilianza pale alipopewa nafasi ya kumvalisha mtu jezi
 
Once Uto always Uto.

Eti mbinu...

Leo mnamkosoa Kocha kuwa ametumia mbinu za mechi ya mwisho na Namungo.

Wakati nyinyi wenyewe mlivyoshinda mechi ya Namungo mlijitapa kuwa gari imewaka timu imerudi.

Leo imekuwaje?

Halafu unamlaumu kuwa hajabadilisha mbinu.

Ukiwa na silaha duni aina ya rungu hata ubadilishe mtindo wa ushikaji bado huwezi uka battle na aliyeshika SMG

Utaonekana mjinga kujilaumu kuwa umedhibitiwa na mwenye SMG kwasababu haukuwa na mbinu sahihi ya utumiaji wa Rungu.

We una wachezaji wa kauka nikuvae wote umri umeenda afu mbaya zaidi wameandamwa na pancha.

Then unakuja kufungwa na timu iliyokuwa bora zaidi yako unaanza kumlaumu kocha kuwa tatizo ni mbinu. Akili za wapi hizo?

Hivi mechi ya leo mapungufu yameonekana kwenye mbinu au daraja la wachezaji ndio lililoamua matokeo?

Huyo Azizi Ki hakuwa na mechi nzuri kabisa na kocha alifanya jambo la muhimu kumtoa.

Kwa kiasi kikubwa timu yenu hata pale ambapo wachezaji wote wanakuwa na kiwango kibovu ila Pacome pekee ndio anayeonekana kuwa bora.

Labda na Chama kidogo. The rest ni mizigo tu sio kipa sio beki, wote wanaruka ruka kama makirikiri.

Huyo Diarra alijipa likizo mechi ya Namungo ajiulize wapi anakosea mpaka watu wanamfunga.

Leo waarabu wamekuja kupiga palepale akajiulize tena kwenye next match.
X-Mass sio mbali walisema hata Nabi hatukumjua hapo kabla hivi kocha hajawacheza hata Shirikisho leo mnampa timu tena kipindi kibaya acha waendelee kushenyentwa .....MTOTO KAUTAKA walituombea mno tusishiriki CL
 
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda

Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi

Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa

Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile

Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana

Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa

Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess

Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan

Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno

Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke

Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu

Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga

Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai

Yanga bingwa
Uliyoyasema ni uongo mtupu yanga hii inafunga yeyote!
 
Mkude hawezi kuwa replacement ya Aucho, Duke Abuya lilikua chaguo Sahihi kucheza kuliko Mkude.
Musonda anacheza kwa kufuata Maelekezo na alitakiwa atokee kule pembeni na ata alipo ingia Chama Bado Musonda alikua akitokea pembeni na Ata Gamond ndivyo alivyokua akimchezesha.
Shida Kubwa ni Wachezaji wamepoteza utimamu wa mwili katika kipindi kibaya.

Yanga walitakiwa wawe Aggressive kama wale waarabu maana walikua Wana Vamia na kufika Maungoni.
Kibaya zaidi wachezaji awa wamecheza mechi nyingi kuanzia timu ya Taifa kwaiyo wengi Wana uchovu mwingi.

Sijajua mtu mpya wa fitness aliye letwa atawezaje kuondoa uchovu wa wachezaji na apoapo kuwa Fanya wawena Nguvu na spidi kwa wakati mmoja.
Mkude. asubiri FA Cup iyo ata imudu.
Wachezaji wengi wanataka ku pambana ila miili Yao Ina wasaliti.

Aziz anahitajika kupumzika, amepoteza strength na Sharpness apewe nafasi Baleke na Musonda mfululizo kwakua hawajatumika sana
Me naonA coach ana mbinu butu
Pale katikati angecheza na Mkude pamoja na Aucho ambao wangekaba sana, halafu Mudathir akaanzia bench
Sasa ameacha uwazi sana pale katikati timu haiungani Kwa kifupi coach ni WA kawaida mno
 
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda

Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi

Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa

Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile

Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana

Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa

Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess

Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan

Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno

Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke

Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu

Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga

Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai

Yanga bingwa
Kazi imekuwa ngumu ukubwani mkuu! Nasema hivi Eng. Hersi ametuonesha upumbavu wake! Unaendaje kufukuza kocha katikati ya kazi ngumu kama hii? Gamondi hakustahili kufukuzwa alitakiwa kusimamiwa ili tumalize kwanza huu mzunguko sasa hiki ki kocha kisichoona mapungufu ya Kibabage katatufikisha wapi? Kibabage alitakiwa kufurushwa dakika 20 tu za mwanzo!
 
Mkude hawezi kuwa replacement ya Aucho, Duke Abuya lilikua chaguo Sahihi kucheza kuliko Mkude.
Mkude unampima kwa kipimo kidogo sana! Ningekuwa mimi kocha ningeanza na Mkude kama half back 6, Duke angekaa kwa Kibabage na Kibabage mwenyewe angeuma benchi!
 
Tatizo lilianza pale alipopewa nafasi ya kumvalisha mtu jezi
Zile zilikua mbwembwe za mpira wetu na halikua tatizo, ila Mchezaji binafsi kujitunza hasa kufanya Sana Ngono na ulevi vinaweza kukatisha kipaji chako.

Sisemi wachezaji wasifanye Ngono hapana, ila wawe na kiasi ila kwenye pombe na soka la kisasa linalo hitaji Nguvu na kasi ya maamuzi, pombe na Moshi ni sumu kubwa.

Mchezaji kuweza kukimbia uwanjani kilometa 10-12 kwa wiki mara 3 kwa miaka 3 sio jambo la mchezo.
Maana si kukimbia peke yake ila kufanya maamuzi sahihi ukiwa na mpira na ukiwa bila mpira
Kunahidaji Nidhamu ya kiwango Cha juu Cha utimamu wa mwili.

Bahati mbaya wachezaji Wana umri wa ujana na wanalipwa fedha nyingi Sana.
Kuweza ku balance mambo sio wengi wanao weza.
 
Zile zilikua mbwembwe za mpira wetu na halikua tatizo, ila Mchezaji binafsi kujitunza hasa kufanya Sana Ngono na ulevi vinaweza kukatisha kipaji chako.

Sisemi wachezaji wasifanye Ngono hapana, ila wawe na kiasi ila kwenye pombe na soka la kisasa linalo hitaji Nguvu na kasi ya maamuzi, pombe na Moshi ni sumu kubwa.

Mchezaji kuweza kukimbia uwanjani kilometa 10-12 kwa wiki mara 3 kwa miaka 3 sio jambo la mchezo.
Maana si kukimbia peke yake ila kufanya maamuzi sahihi ukiwa na mpira na ukiwa bila mpira
Kunahidaji Nidhamu ya kiwango Cha juu Cha utimamu wa mwili.

Bahati mbaya wachezaji Wana umri wa ujana na wanalipwa fedha nyingi Sana.
Kuweza ku balance mambo sio wengi wanao weza.
Unakumbuka Wachezaji wa spain walipewa siku moja ya kwenda kukutana na wenza wao siku moja kabla ya game nafikiri ni Euro this year waulize kilichotokea walipigwa vibaya
 
Mchezo ulikuwa mzuri timu zote zilicheza Kwa mipango mizuri
Coach Saed umekuja Kipindi kigumu, nashauri upweke muda

Nampongeza coach Saed Ramovic ameingia na mbinu nzuri kiufundi

Tatizo la coach anakosa mamlaka hajiamini kabisa

Nimeshangaa sub ya Aziz ki kutoka mapema vile

Coach Saed anisikilize Duke Abuya siyo namba 6 Haiwezi, kila akicheza Yanga itafungwa tu
Yaani coach Saed ana copy team iliyomfunga Namungo ndo anaipeleka CAFCL, umeniboa sana

Mechi ijayo mpe Mkude acheze acha ubishi, Mkude alicheza vizuri mechi zote za Mamelod na team haikufungwa kabisa

Kibabage huyu yumo uwanjani kutimiza idadi ya wachezaji, yaani ni kama under 17 anacheza kwenye senior team, hakabi, hashambulii Kwa kifupi kibabage hana hata hadhi ya kucheza Yanga Princess

Pacome amecheza ovyo sana.
Huyu kijana pombe na maisha yake Masaki yameua kipaji chake, hana fitness kabisa
Coach Saed mpige bench Pacome hana fitness japo ana talent kubwa mpo nafasi Farid au Shekhan

Max, Muda, Yao mmeonyesha game nzuri mno

Musonda ni mchezaji wa kawaida mno , hachezi kama striker anazulula tu, hasimami mbele, coach Saed mpe nafasi Baleke au alikuchukulia mke

Coach Saed jitahiti iwe na Mamlaka Pacome na Kibabage waweke bench Bora tucheze pungufu

Usajili leteni beki wa kushoto na huyo Boka na mambio yake kama farasi ana miguu ya vioo, mchezaji Gani anavunjika kama glass pia kiungo mkabaji
Sitaki kumwona Kibabage Yanga

Mwisho nasema Bado points 12 zipo mbele Nina Imani Yanga tunaenda Quarter finai

Yanga bingwa
Eng.Hersi anampenda sana kibabage, mapungufu ya kibabage tumeyasema humu na media zingine huwa nawasikia inawezejekana wao hawapendi mawazo mbadala
1. Huwa ana sahau kurudi kukaba
2.hua anapenda afunge wakati hana ujuzi wa kufunga
 
Mkude unampima kwa kipimo kidogo sana! Ningekuwa mimi kocha ningeanza na Mkude kama half back 6, Duke angekaa kwa Kibabage na Kibabage mwenyewe angeuma benchi!
Mkude sio mchezaji mbaya ila izi ni aina ya mechi zenye kasi na maamuzibya haraka, Mkude Mech na Mamelodi alikua akisaidiwa na watu wawili, Max na Mudathiri na Bado Almanusura achomeshe.
Uwezi kuwa na Duke Ambaye Yuko Mobile ukawa na mkude katikati ya kiwanja na umuwekee wasidizi pembeni ili wa msaidie.

Kwasasa wachezaji wengi Wana uchovu , kumweka mkude Tena kati na Asaidiwe na wengine ni sawa na kukimbia na mtungi kichwani.
Zipo mechi za FA izo zita mfaa hazintaji kasi ila maarifa na Nguvu kidogo.
 
Eng.Hersi anampenda sana kibabage, mapungufu ya kibabage tumeyasema humu na media zingine huwa nawasikia inawezejekana wao hawapendi mawazo mbadala
1. Huwa ana sahau kurudi kukaba
2.hua anapenda afunge wakati hana ujuzi wa kufunga
Ata kama Hersi asimpende Kibabage Bado Hersi sio Kocha, lakini kama iyo namba Kibabage Haifanyi vizuri na Boka anauguza Maumivu ulitaka nani acheze nafasi iyo!!
Kumbuka Gamondi hakua anautumia mawinga Asilia, yeye Mabeki wa pembeni ndio Ma winga wake na Kocha wa Sasa Mpaka Sasa anautumia mfumo uo.

Haiwezekani mfumo umtake Ki babage awe kama beki /winga alafu kwenye Counter za Mpinzani awe kwenye nafasi yake ya kuzuia.
Kumbuka Counter Attack zote ni pasi Chache za Mpinzani ili kwenda kushambulia eneo la wazi la timu inayo shambulia.
Kinacho tokea kwenye mfumo ni yule namba 6 anaye takiwa kuzuia Counter attack kwenye eneo ambalo mfumo ume mtaka beki wake kua katika eneo la ushambuliaji yeye kuchelewa kufika ili kuziba eneo ilo.

Kinacho tokea Beki wa kati lazima atoke kati aende kuzuia shambulizi ambalo namba sita na beki wa pembeni lime wapita.
Sasa washambuliaji wa counter wakiwa na namba nzuri Wana u shift mpira eneo Lingine inafanya Diffence kukatika na Goli kufungwa.

Kinacho hitajika si ku mlaumu ki babage au Hersi , kwakua tayari timu ipo kwenye mashindano na Ina majeruhi.
Inatakiwa Kibabage aongeze ufanisi akilikaribia lango la mpinzani au Kocha aje na mfumo utakao Fanya mabeki wote wawepo nyuma muda wote wa mchezo stail inayobtumiwa Ugenini.
Magoli tuliyofungwa Jana hasa la kwanza, timu yote ilikua inazuia kwaiyo ni Goli la timu.

Goli la pili Sina wa ku mlaumu kwakua Kibabage alizidiwa maarifa ,Mwam nyeto alizidiwa kasi kama alivyozidiwa baka na Hilal Dar, Kipa Diara asingeweza ku weka mikono kwenye mpira ambao mshambuliaji ameingiza mguu.
Ni kuweka Afya Yako rehani kwa kuikubali Ajali mbaya.
 
Dunga dunga fc.
Ujanjaujanja una mwisho mbaya sana.
Toka azamwa waweke majishindwano ni kufungwafungwa tu.
Dungadunga ni kuuwa watu wa mpira tu.
Yuko wapi mwambwa wa lusakwa.
Yuko wapi dude dubwe ?
Ndio Malaika wanajipanga waje kucheza nawo.
Mlifikia mahali pa kukufuru.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom