Tathmini fupi mechi ya mc Alger Vs Yanga

Nilishasema, Yanga hataifunga timu yoyote ktk hili group na itakuwa ya mwisho.
 
Yanga kipindi cha pili anachoka sana. Asipobadilika anapigwa mechi zote mpaka za ndani. Hii inadhibitisha alikuwa anatumia sindano. Maana kabla ya kugundulika ndio alikuwa moto
Mwasibu fake 🤥 Leo unatamba
 
Yote kayataka Hers na genge lake haya.
 
Yanga kipindi cha pili anachoka sana. Asipobadilika anapigwa mechi zote mpaka za ndani. Hii inadhibitisha alikuwa anatumia sindano. Maana kabla ya kugundulika ndio alikuwa moto
Kwahiyo Yanga alikuwa anahonga ili ashinde au alikuwa anatumia sindano?
 
Jifariji na ndoto zako za alinacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…