Tathmini: Sherehe za Christmas 2023 zadorola kuliko mwaka wowote. Wananchi wakabiliwa na dhiki kubwa, haijawahi kutokea

Tathmini: Sherehe za Christmas 2023 zadorola kuliko mwaka wowote. Wananchi wakabiliwa na dhiki kubwa, haijawahi kutokea

1. Hali mbaya ya uchumi

2. Vita huko Gaza. Taifa teule linawaangamiza wapalestina. Mauaji ni ya kutisha sana. Huko ndiko wanakodai alizaliwa Yesu ambaye ni Myahudi na wayahudi wanafanya mauaji ya halaiki huko ukanda wa Gaza.
Nani anasababisha hali mbaya ya uchumi
 
N ngumu kupata pesa bila kufanya kazi. Tunapotaka wananchi wapate pesa ni muhimu pia kuwakunbisha kufanya kazi hasa msimu kama huu mvua zinanyesha. Nchi itajengwa na wananchi wenyewe.
Ulichoongea kinafanana na hilo jina lako.
 
Back
Top Bottom