Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.

Viongozi nawapongeza sana kwa kuwa na jicho makini safari hii .
Kumleta Mwenda mchezaji mwenye kujituma na versatile player .

Mwenda anajua kucheza kulia na kushoto pia winga anacheza tu .

STRENGTH ZAKE.
-ni versatile player,
Anaweza cheza both left and right.
-Ana uwezo mkubwa wa kukaba
-mbishi na mvumilivu dakika zote
-energetic
-unaweza kumtumia kwenye mifumo mingi tofauti

Huyu atatusaidia, wamefanya kuepusha gharama za kuimport foreign player pia nafasi yake kama mzawa haiwezi kuathiri nafasi za kigeni kujaa yanga.

UDHAIFU
-huwa mara nyingine anakuwa off position sana hasa dakika za mwishoni
-Sio mzuri sana katika kushambulia, uwiano wa kupanda na kushuka ni mzuri lakini kushambulia sio sana
Hilo linafundishika.

KUHUSU SAKATA LA BEKI WA KATI KATI YA LAWI,CHE MALONE,MAKAME.
habari za uhakika ni kuwa ,huko msimbazi maji yamezidi unga

Beki che malone fondo yuko katika mgogoro na team yake kuhusu swala la mkataba .
Amedai mkataba wake uongezwe maslahi hasa ukizingatia unaisha na umebaki miezi nane!

Hivyo akifikisha miezu 6 anakuwa free kusaini pre contract sehemu nyingine na anavutiwa na yanga ambao uongozi umeshampa ofa aifikirie..

Na kama akiamua kuja yanga basi tutakuwa tumemaliza na kufunga swala la beki wa kati kwani kutakuwa na uwiano sawa sawa .

Tumeshuhudia mara kwa mara kukosekana kwa mabeki tegemeo yanga na nchini Bacca, Job, Mwamnyeto pia kulivyopelekea tukapoteza michezo kadhaa hapa kati.


Hivyo malone ataleta uwiano sawa kwamba akitoka Job basi yeye ataingia au akitoka Bacca basi yeye atacheza..

Kuhusu Lawi tafadhali viongozi msiingie mkenge kabisa kwa huyu kijana, dau wanalodai coastal la milioni 250 ni nyingi kuliko kiwango chake halisi,

Lawi ameshuka kiwango kwa kiasi kikubwa sana tangu sakata lake la simba na coastal na amecheza mara chache sana zaidi ya kushinda ofisini kukimbizana na viongozi kwenye simu! Hatufai na coastal wanatufanyia biashara ya kutukomoa ..

KUHUSU LAURIAN MAKAME.
Huyu ni beki wa kati pale Fountain Gate.

Nadhani badala ya kumchukua lawi ni afadhali huyu anafaa sana
Licha ya Fountain ukuta wao kufungwa sana bado makame ni mzuri sana anaangushwa na kiungo kibovu pale kati lakini ana sifa za kucheza yanga

STRENGTH ZAKE.
-Utulivu mkubwa akiwa na mpira na hata akiwa off the ball
-kiongozi mzuri akiwa uwanjani
-nidhamu kubwa, ni ngumu kupewa kadi au kujihusisha na ugomvi
-uwezo mkubwa wa kupiga pasi hasa long pass .
-man to man marking.

Huyu anatufaa hata umri wake pia ni sahihi sana.

Its Pancho
 
I salute you kinsmen.

Viongozi nawapongeza sana kwa kuwa na jicho makini safari hii .
Kumleta Mwenda mchezaji mwenye kujituma na versatile player .

Mwenda anajua kucheza kulia na kushoto pia winga anacheza tu .

STRENGTH ZAKE.
-ni versatile player,
Anaweza cheza both left and right.
-Ana uwezo mkubwa wa kukaba
-mbishi na mvumilivu dakika zote
-energetic
-unaweza kumtumia kwenye mifumo mingi tofauti

Huyu atatusaidia, wamefanya kuepusha gharama za kuimport foreign player pia nafasi yake kama mzawa haiwezi kuathiri nafasi za kigeni kujaa yanga.

UDHAIFU
-huwa mara nyingine anakuwa off position sana hasa dakika za mwishoni
-Sio mzuri sana katika kushambulia, uwiano wa kupanda na kushuka ni mzuri lakini kushambulia sio sana
Hilo linafundishika.

KUHUSU SAKATA LA BEKI WA KATI KATI YA LAWI,CHE MALONE,MAKAME.
habari za uhakika ni kuwa ,huko msimbazi maji yamezidi unga

Beki che malone fondo yuko katika mgogoro na team yake kuhusu swala la mkataba .
Amedai mkataba wake uongezwe maslahi hasa ukizingatia unaisha na umebaki miezi nane!

Hivyo akifikisha miezu 6 anakuwa free kusaini pre contract sehemu nyingine na anavutiwa na yanga ambao uongozi umeshampa ofa aifikirie..

Na kama akiamua kuja yanga basi tutakuwa tumemaliza na kufunga swala la beki wa kati kwani kutakuwa na uwiano sawa sawa .

Tumeshuhudia mara kwa mara kukosekana kwa mabeki tegemeo yanga na nchini Bacca, Job, Mwamnyeto pia kulivyopelekea tukapoteza michezo kadhaa hapa kati.


Hivyo malone ataleta uwiano sawa kwamba akitoka Job basi yeye ataingia au akitoka Bacca basi yeye atacheza..

Kuhusu Lawi tafadhali viongozi msiingie mkenge kabisa kwa huyu kijana, dau wanalodai coastal la milioni 250 ni nyingi kuliko kiwango chake halisi,

Lawi ameshuka kiwango kwa kiasi kikubwa sana tangu sakata lake la simba na coastal na amecheza mara chache sana zaidi ya kushinda ofisini kukimbizana na viongozi kwenye simu! Hatufai na coastal wanatufanyia biashara ya kutukomoa ..

KUHUSU LAURIAN MAKAME.
Huyu ni beki wa kati pale Fountain Gate.

Nadhani badala ya kumchukua lawi ni afadhali huyu anafaa sana
Licha ya Fountain ukuta wao kufungwa sana bado makame ni mzuri sana anaangushwa na kiungo kibovu pale kati lakini ana sifa za kucheza yanga

STRENGTH ZAKE.
-Utulivu mkubwa akiwa na mpira na hata akiwa off the ball
-kiongozi mzuri akiwa uwanjani
-nidhamu kubwa, ni ngumu kupewa kadi au kujihusisha na ugomvi
-uwezo mkubwa wa kupiga pasi hasa long pass .
-man to man marking.

Huyu anatufaa hata umri wake pia ni sahihi sana.

Its Pancho
Kwa Makame naungana na wewe, Lawi yupo raw sana, hiyo bei ya kukomoana walah
 
Che malon ni beki mbovu kabisa, hana kasi, mzito na hakabi vizuri, Yanga makini haiwezekani kumleta beki wa ovyo kama che malon

Lawi ni mzuri sema Coast union wanataka million 250 ambao ni mkwanja mrefu

Huyo Makame ndo iyo kabisa
Sawa ni maoni yako sikupingi
Umemkariri lawi wa zamani
 
Sawa ni maoni yako sikupingi
Umemkariri lawi wa zamani
Makame ni sababu tu ya ukuta mzima ule wa fountain Gate ndiyo kama ilivyokuwa kwa che malone kipindi hamza hajafika na karaboue.

Ukicheki sisi na simba wao wameruhusu magoli machache sababu sasa hivi uwiano wa mabeki kati upo vizuri shida ni kulia na kushoto kwa wale wawili hawatabiriki
 
Che Malone? Ni jambo zuri kujipa moyo. Ukweli ni kwamba ukiona Yanga wanahangaika na wachezaji wa mkopo waliokosa nafasi kwenye timu watokazo ujue kabisa sera ya kubana matumizi imeingia klabuni. Ilianza taratibu kwa kumsainisha Kagoma mkataba wa miaka miwili kwa mil 30,ukiondoa kuongeza mkataba Azizi Ki, ni mchezaji gani wa Yanga amesajiliwa kwa hela nyingi? Abuya? Baleke? Chama? Andambwile? Ushahidi mzuri ni timu kushindwa kulipa madeni ya wachezaji kwa wakati hadi kufungiwa usajili.
 
Malone huwa namkubali sana, ndio mchezaji pekee Simba anayenivutia.

So, yeah. Aje tu Jangwani.
Ndiyo a complete CB
Haina haja ya kuanza kuwa na mashaka na huyu tayari alishaonesha ubora wake na bado anauonesha mpaka sasa kuliko kubeba lawi yule

Pale simba sisi wote mashahidi Malone anacheza na Hamza au karaboue ila yeye kukaa banch ngumu sana na soo injury prone, fit when needed..
 
Ndiyo a complete CB
Haina haja ya kuanza kuwa na mashaka na huyu tayari alishaonesha ubora wake na bado anauonesha mpaka sasa kuliko kubeba lawi yule

Pale simba sisi wote mashahidi Malone anacheza na Hamza au karaboue ila yeye kukaa banch ngumu sana na soo injury prone, fit when needed..
Hahaha
inafurahisha kuona mtani ukiwatamani wachezaji wetu
 
I salute you kinsmen.

Viongozi nawapongeza sana kwa kuwa na jicho makini safari hii .
Kumleta Mwenda mchezaji mwenye kujituma na versatile player .

Mwenda anajua kucheza kulia na kushoto pia winga anacheza tu .

STRENGTH ZAKE.
-ni versatile player,
Anaweza cheza both left and right.
-Ana uwezo mkubwa wa kukaba
-mbishi na mvumilivu dakika zote
-energetic
-unaweza kumtumia kwenye mifumo mingi tofauti

Huyu atatusaidia, wamefanya kuepusha gharama za kuimport foreign player pia nafasi yake kama mzawa haiwezi kuathiri nafasi za kigeni kujaa yanga.

UDHAIFU
-huwa mara nyingine anakuwa off position sana hasa dakika za mwishoni
-Sio mzuri sana katika kushambulia, uwiano wa kupanda na kushuka ni mzuri lakini kushambulia sio sana
Hilo linafundishika.

KUHUSU SAKATA LA BEKI WA KATI KATI YA LAWI,CHE MALONE,MAKAME.
habari za uhakika ni kuwa ,huko msimbazi maji yamezidi unga

Beki che malone fondo yuko katika mgogoro na team yake kuhusu swala la mkataba .
Amedai mkataba wake uongezwe maslahi hasa ukizingatia unaisha na umebaki miezi nane!

Hivyo akifikisha miezu 6 anakuwa free kusaini pre contract sehemu nyingine na anavutiwa na yanga ambao uongozi umeshampa ofa aifikirie..

Na kama akiamua kuja yanga basi tutakuwa tumemaliza na kufunga swala la beki wa kati kwani kutakuwa na uwiano sawa sawa .

Tumeshuhudia mara kwa mara kukosekana kwa mabeki tegemeo yanga na nchini Bacca, Job, Mwamnyeto pia kulivyopelekea tukapoteza michezo kadhaa hapa kati.


Hivyo malone ataleta uwiano sawa kwamba akitoka Job basi yeye ataingia au akitoka Bacca basi yeye atacheza..

Kuhusu Lawi tafadhali viongozi msiingie mkenge kabisa kwa huyu kijana, dau wanalodai coastal la milioni 250 ni nyingi kuliko kiwango chake halisi,

Lawi ameshuka kiwango kwa kiasi kikubwa sana tangu sakata lake la simba na coastal na amecheza mara chache sana zaidi ya kushinda ofisini kukimbizana na viongozi kwenye simu! Hatufai na coastal wanatufanyia biashara ya kutukomoa ..

KUHUSU LAURIAN MAKAME.
Huyu ni beki wa kati pale Fountain Gate.

Nadhani badala ya kumchukua lawi ni afadhali huyu anafaa sana
Licha ya Fountain ukuta wao kufungwa sana bado makame ni mzuri sana anaangushwa na kiungo kibovu pale kati lakini ana sifa za kucheza yanga

STRENGTH ZAKE.
-Utulivu mkubwa akiwa na mpira na hata akiwa off the ball
-kiongozi mzuri akiwa uwanjani
-nidhamu kubwa, ni ngumu kupewa kadi au kujihusisha na ugomvi
-uwezo mkubwa wa kupiga pasi hasa long pass .
-man to man marking.

Huyu anatufaa hata umri wake pia ni sahihi sana.

Its Pancho
Che malone hauzwi wala hakopeswi
 
Mchezaji anayecheza namba nyingi sijawahi kumuamini. Naamini Israel mwenda ni mzuri akichezeshwa kwenye namba yake asilia vinginevyo ni yaleyale ya Aziz Andambwile.
Aziz alisajiliwa kimakosa
 
Hahaha
inafurahisha kuona mtani ukiwatamani wachezaji wetu
Mwenda alikuwa sio wenu tena
Na malone tutamchukua tukitaka sababu tunabeba mchezaji kama anatufaa hatucheki na wowote sisi
 
Che malon ni beki mbovu kabisa, hana kasi, mzito na hakabi vizuri, Yanga makini haiwezekani kumleta beki wa ovyo kama che malon

Lawi ni mzuri sema Coast union wanataka million 250 ambao ni mkwanja mrefu

Huyo Makame ndo iyo kabisa
Una tv au huwa unasikiliza mpira redioni? Kwamba bora Lawi kuliko Che malone!? Kama siyo mahaba ya usimba na uyanga basi umelewa. Mchukueni Lawi liwakute jambo
 
Back
Top Bottom