Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

Che Malone? Ni jambo zuri kujipa moyo. Ukweli ni kwamba ukiona Yanga wanahangaika na wachezaji wa mkopo waliokosa nafasi kwenye timu watokazo ujue kabisa sera ya kubana matumizi imeingia klabuni. Ilianza taratibu kwa kumsainisha Kagoma mkataba wa miaka miwili kwa mil 30,ukiondoa kuongeza mkataba Azizi Ki, ni mchezaji gani wa Yanga amesajiliwa kwa hela nyingi? Abuya? Baleke? Chama? Andambwile? Ushahidi mzuri ni timu kushindwa kulipa madeni ya wachezaji kwa wakati hadi kufungiwa usajili.
Usajili mzuri lazima utoe pesa ndefu? Hivi mashabiki wa Simba kwanini mnapenda kuonesha ujinga wenu namna hii?

Kutoa pesa ndefu ni sifa? Hivi katika team ambayo inasajili wachezaji wa madafu majalalani kuna wanaoizidi simba kwa hilo? Hata mishahara tu ya kiwaki mnawalipa wachezaji .

Sasa malone buyout clouse yake hata million 300 haifiki yanga itamshindwa ikimtaka?

Sikuhizi team zinasajili kutokana na mahitaji kama mchezaji anapatikana kwa bei nafuu na mzuri kwanini asichukuliwe?

Mwenda amesaini na kutambulishwa tu ila dirisha la usajili bado ndiyo maana jina lake halijapelekwa kwenye system wewe unaleta mambo ya mikopo na madeni!

Jitathmini
 
Una tv au huwa unasikiliza mpira redioni? Kwamba bora Lawi kuliko Che malone!? Kama siyo mahaba ya usimba na uyanga basi umelewa. Mchukueni Lawi liwakute jambo
Jamaa nadhani hajamfuatilia Lawi siku nyingi anadhani lawi ni yule wa msimu jana

Lawi sio yule tena hapo yanga tutaumia
 
Usajili mzuri lazima utoe pesa ndefu? Hivi mashabiki wa Simba kwanini mnapenda kuonesha ujinga wenu namna hii?

Kutoa pesa ndefu ni sifa? Hivi katika team ambayo inasajili wachezaji wa madafu majalalani kuna wanaoizidi simba kwa hilo? Hata mishahara tu ya kiwaki mnawalipa wachezaji .

Sasa malone buyout clouse yake hata million 300 haifiki yanga itamshindwa ikimtaka?

Sikuhizi team zinasajili kutokana na mahitaji kama mchezaji anapatikana kwa bei nafuu na mzuri kwanini asichukuliwe?

Mwenda amesaini na kutambulishwa tu ila dirisha la usajili bado ndiyo maana jina lake halijapelekwa kwenye system wewe unaleta mambo ya mikopo na madeni!

Jitathmini
Malone hawezi kwenda kucheza utopolo,hizo stori zako unazochukua kwenye vijiwe vya kahawa ni bora ukawadanganye hao. Dalili zote zinaonesha kuwa Yanga imeishiwa pesa au Mdhamini ameona anapata hasara. Sijui hata kama unafahamu maana ya buy out clause. Kwa mujibu wa Magori, wachezaji wote wa Simba buy out clause yao inaanzia bilioni 1,hili alisema wazi kwa wamefanya hivyo kujilinda dhidi ya kupoteza wachezaji wazuri,tatizo lako hufuatilii habari rasmi zaidi ya vijiweni. Hata Israel Mwenda buy out clause yake ilikuwa bilioni 1,ndio maana alipotaka kwenda SBS aliwaangukia Simba nao wakamruhusu kama mtoto wao tu. Sasa kama Israel mlishindwa kumchukua Simba hadi mkapitia njia ndefu namna hii ndio mje kumsajili Che Malone. Jamaa hapo juu amekukwambia inaruhusiwa kuota.
 
alipotaka kwenda SBS aliwaangukia Simba nao wakamruhusu kama mtoto wao tu. Sasa kama Israel mlishindwa kumchukua Sim
Unatuona kama watoto eeh? Eti eeh?

Hizi zako ndiyo story za kijiweni sasa mzee hebu tupishe sawa? Mwisho wa siku tutaona
 
Malone hawezi kwenda kucheza utopolo,hizo stori zako unazochukua kwenye vijiwe vya kahawa ni bora ukawadanganye hao. Dalili zote zinaonesha kuwa Yanga imeishiwa pesa au Mdhamini ameona anapata hasara. Sijui hata kama unafahamu maana ya buy out clause. Kwa mujibu wa Magori, wachezaji wote wa Simba buy out clause yao inaanzia bilioni 1,hili alisema wazi kwa wamefanya hivyo kujilinda dhidi ya kupoteza wachezaji wazuri,tatizo lako hufuatilii habari rasmi zaidi ya vijiweni. Hata Israel Mwenda buy out clause yake ilikuwa bilioni 1,ndio maana alipotaka kwenda SBS aliwaangukia Simba nao wakamruhusu kama mtoto wao tu. Sasa kama Israel mlishindwa kumchukua Simba hadi mkapitia njia ndefu namna hii ndio mje kumsajili Che Malone. Jamaa hapo juu amekukwambia inaruhusiwa kuota.
Che Malon wa nini? Beki konokono
 
Unatuona kama watoto eeh? Eti eeh?

Hizi zako ndiyo story za kijiweni sasa mzee hebu tupishe sawa? Mwisho wa siku tutaona
Sasa wewe uko Nanyumbu hata hufuatilii habari unataka tukuamini wewe na Sio Magori? Msikilize hapa akihojiwa, tena mie nimekosea,buy out clause ya kila mchezaji wa Simba ni 1 million dollars na si bilioni 1,Nenda Youtube katizame hii habari. Mie siokotezi habari kama wewe. Eti buy out clause ya Che Malone ni mil 300.Nimekuuliza maksudi hapo juu unajua maana ya "buy out clause" Kwa akili ya unadhani bei iliyotumika kumnunua ndio "buy out clause"
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-172603.png
    Screenshot_20241211-172603.png
    1.4 MB · Views: 2
Malone hawezi kwenda kucheza utopolo,hizo stori zako unazochukua kwenye vijiwe vya kahawa ni bora ukawadanganye hao. Dalili zote zinaonesha kuwa Yanga imeishiwa pesa au Mdhamini ameona anapata hasara. Sijui hata kama unafahamu maana ya buy out clause. Kwa mujibu wa Magori, wachezaji wote wa Simba buy out clause yao inaanzia bilioni 1,hili alisema wazi kwa wamefanya hivyo kujilinda dhidi ya kupoteza wachezaji wazuri,tatizo lako hufuatilii habari rasmi zaidi ya vijiweni. Hata Israel Mwenda buy out clause yake ilikuwa bilioni 1,ndio maana alipotaka kwenda SBS aliwaangukia Simba nao wakamruhusu kama mtoto wao tu. Sasa kama Israel mlishindwa kumchukua Simba hadi mkapitia njia ndefu namna hii ndio mje kumsajili Che Malone. Jamaa hapo juu amekukwambia inaruhusiwa kuota.
Unachekesha kweli wewe,,hivi mbumbumbu uwa mna matatizo Gani? Kwamba wachezaji wa Simba wanalipwa pesa ndefu na wamesajiliwa kwa pesa ndefu? Ebu kwanza fatilia profile za timu walizotoka hao wachezaji wenu wote mliowasajili msimu huu,,alafu ufanye tathmini yako ya class za hao wachezaji utapata majibu ni kiwango Gani kimetumika kuwasajili hii sio mpaka umfate Magori akuelezee ni wewe tu na akili yako inatosha kufahamu!
Uwezi kuweka buy out clause isiyoendana na thamani ya mchezaji usiingie mkenge na siasa za Mpira za wakina magori utapotea!
 
Sasa wewe uko Nanyumbu hata hufuatilii habari unataka tukuamini wewe na Sio Magori? Msikilize hapa akihojiwa, tena mie nimekosea,buy out clause ya kila mchezaji wa Simba ni 1 million dollars na si bilioni 1,Nenda Youtube katizame hii habari. Mie siokotezi habari kama wewe. Eti buy out clause ya Che Malone ni mil 300.Nimekuuliza maksudi hapo juu unajua maana ya "buy out clause" Kwa akili ya unadhani bei iliyotumika kumnunua ndio "buy out clause"
Hebh acha kutuletea utoto sawa eeh?
Kumbe jemedari ndiyo alikwambia?

Sisi tunafatilia wenyewe ila wewe huko namtumbo ndio unawasha data kisha kumsoma jemedari na redioni kumsikiliza

Hao kina magori si ndo walisema watamleta manzoki? Yuko wapi?

Kweli wewe jinga eti ngara23 hivi huyu mshamba wa pori gani?
 
Che Malon wa nini? Beki konokono
But ndiye beki anayeongoza kwa magoli NBC league, ndiye mchezaji pekee aloyeingia kwenye kikosi bora cha wiki cha CAF, pia ndye beki pekee aliyeingia kwenye kikosi bora cha wachezaji wa ndani na wa nje wa Cameroon.Kama bado umamdegrade hadi sasa inabidi utathmini ufahamu wako juu ya soka
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-173515.png
    Screenshot_20241211-173515.png
    1.4 MB · Views: 2
Hebh acha kutuletea utoto sawa eeh?
Kumbe jemedari ndiyo alikwambia?

Sisi tunafatilia wenyewe ila wewe huko namtumbo ndio unawasha data kisha kumsoma jemedari na redioni kumsikiliza

Hao kina magori si ndo walisema watamleta manzoki? Yuko wapi?

Kweli wewe jinga eti ngara23 hivi huyu mshamba wa pori gani?
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
 
Sasa wewe uko Nanyumbu hata hufuatilii habari unataka tukuamini wewe na Sio Magori? Msikilize hapa akihojiwa, tena mie nimekosea,buy out clause ya kila mchezaji wa Simba ni 1 million dollars na si bilioni 1,Nenda Youtube katizame hii habari. Mie siokotezi habari kama wewe. Eti buy out clause ya Che Malone ni mil 300.Nimekuuliza maksudi hapo juu unajua maana ya "buy out clause" Kwa akili ya unadhani bei iliyotumika kumnunua ndio "buy out clause"
Pale Simba mtu wa kwanza ambae uwezi kumuamini anachokizungumza ni Try again na WA pili ni uyo magori wako,, awa ni viongozi ambao bado wanaoishi kwenye zama za propaganda,,labda wanaaminiwa na wanachama wasiojielewa,,
 
Unachekesha kweli wewe,,hivi mbumbumbu uwa mna matatizo Gani? Kwamba wachezaji wa Simba wanalipwa pesa ndefu na wamesajiliwa kwa pesa ndefu? Ebu kwanza fatilia profile za timu walizotoka hao wachezaji wenu wote mliowasajili msimu huu,,alafu ufanye tathmini yako ya class za hao wachezaji utapata majibu ni kiwango Gani kimetumika kuwasajili hii sio mpaka umfate Magori akuelezee ni wewe tu na akili yako inatosha kufahamu!
Uwezi kuweka buy out clause isiyoendana na thamani ya mchezaji usiingie mkenge na siasa za Mpira za wakina magori utapotea!
Huyu jamaa sio kuchekesha tu na anashangaza sana kwa kweli
Analeta mambo ya kitoto huku jf?

Hivi simba wamemchukua mchezaji gani kutoka klabu ya kueleweka pale kwa sasa?
Wameokota okota huko majalalani huko ndiyo hawa wanajifanananisha na yanga na azam kweli?
 
But ndiye beki anayeongoza kwa magoli NBC league, ndiye mchezaji pekee aloyeingia kwenye kikosi bora cha wiki cha CAF, pia ndye beki pekee aliyeingia kwenye kikosi bora cha wachezaji wa ndani na wa nje wa Cameroon.Kama bado umamdegrade hadi sasa inabidi utathmini ufahamu wako juu ya soka
Kikosi Bora cha shirikisho
 
Pale Simba mtu wa kwanza ambae uwezi kumuamini anachokizungumza ni Try again na WA pili ni uyo magori wako,, awa ni viongozi ambao bado wanaoishi kwenye zama za propaganda,,labda wanaaminiwa na wanachama wasiojielewa,,
Propaganda za kitoto sana
Halafu viongozi wao wanajua majamaa hazimo kichwani ndiyo maana kutwa kudanganywa hovyo hovyo kama huyu mkuu wetu yeye alishaingia kwenye mfumo
 
But ndiye beki anayeongoza kwa magoli NBC league, ndiye mchezaji pekee aloyeingia kwenye kikosi bora cha wiki cha CAF, pia ndye beki pekee aliyeingia kwenye kikosi bora cha wachezaji wa ndani na wa nje wa Cameroon.Kama bado umamdegrade hadi sasa inabidi utathmini ufahamu wako juu ya soka
Shirikisho eeh?
Sisi hatutaki porojo kama huko shirikisho tulikuwepo na tulishaingiza wachezaji mpaka mwamnyeto naye alishaingiaga kwenye hivyo vikosi vya week

Tunataka mfike tu final kabisa acha porojo
Malone tukimtaka hawezi kuchomoa kama ana kipaji cha kweli atakuja ila kama tia maji tia majj atabaki huko
 
S
Huyu jamaa sio kuchekesha tu na anashangaza sana kwa kweli
Analeta mambo ya kitoto huku jf?

Hivi simba wamemchukua mchezaji gani kutoka klabu ya kueleweka pale kwa sasa?
Wameokota okota huko majalalani huko ndiyo hawa wanajifanananisha na yanga na azam kweli?
Simba kaokota wachezaji kutoka timu ndogo ndogo wachezaji wao wote kwa nafuu,,akuna mchezaji pale waliemsajili msimu huu mwenye thamani inayozidi 300milioni,,ayupo!
 
Unachekesha kweli wewe,,hivi mbumbumbu uwa mna matatizo Gani? Kwamba wachezaji wa Simba wanalipwa pesa ndefu na wamesajiliwa kwa pesa ndefu? Ebu kwanza fatilia profile za timu walizotoka hao wachezaji wenu wote mliowasajili msimu huu,,alafu ufanye tathmini yako ya class za hao wachezaji utapata majibu ni kiwango Gani kimetumika kuwasajili hii sio mpaka umfate Magori akuelezee ni wewe tu na akili yako inatosha kufahamu!
Uwezi kuweka buy out clause isiyoendana na thamani ya mchezaji usiingie mkenge na siasa za Mpira za wakina magori utapotea!
Ungekuwa na akili japo kidogo ungeelewa nilichoandika,siwajibiki na ugumu wa kichwa chako katika kuelewa kwa kuwa nimejiridhisha kuwa una uelewa mdogo sana wa soka,huwezi kujadili kwa hoja, kule nyuma umejonasibu kuwa Simba imesajili magarasa, mie nimekutaka unitajie hata mchezaji mmoja wa Yanga mwenye takwimu bora (goals +assissts)kumzidi Ahoua umekimbia bila kujibu, ni kipa yupi mwenye clean sheets na saves nyingi NBC league kuliko Camara? Ni timu ipi ina magoli mengi? Ni timu ipi ina magoli machache? Ni timu ipi ina points nyingi kati ya Simba na Yanga. Hiyo ndio timu bora.
 
S

Simba kaokota wachezaji kutoka timu ndogo ndogo wachezaji wao wote kwa nafuu,,akuna mchezaji pale waliemsajili msimu huu mwenye thamani inayozidi 300milioni,,ayupo!
Tuheshimu Rage aliyeitwa mbumbumbu
 
Propaganda za kitoto sana
Halafu viongozi wao wanajua majamaa hazimo kichwani ndiyo maana kutwa kudanganywa hovyo hovyo kama huyu mkuu wetu yeye alishaingia kwenye mfumo
Nimemvua vyeo uyo jamaa alipotaja tu jina LA magori kwamba ndie alisema buy out clause ya wachezaji wao ni $milioni Moja nikajua tiyali alishaingia mkenge uyu wa propaganda uchwara za wakina magori!
 
Back
Top Bottom