Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

S

Simba kaokota wachezaji kutoka timu ndogo ndogo wachezaji wao wote kwa nafuu,,akuna mchezaji pale waliemsajili msimu huu mwenye thamani inayozidi 300milioni,,ayupo!
Hata million 200 pale hakuna achilia mbali hiyo 300
Malone alikuwa mchezaji wa kawaida huko ubora ameupatia simba hapo aliletwa kwa pesa mbuzi kabisa

Hata kateam kake walikuwaga CAFCl wakaburuza mkia kwa point 0 walikuwaga group moja Al ahly

Pengine asingekuja Tanzania asingefikia hapa alipo Cameroon hakuna ligi pale na huko West Africa
 
Nimemvua vyeo uyo jamaa alipotaja tu jina LA magori kwamba ndie alisema buy out clause ya wachezaji wao ni $milioni Moja nikajua tiyali alishaingia mkenge uyu wa propaganda uchwara za wakina magori!
Mtu mzima ana familia anakubali kudanganywa kitoto namna hiyo?
 
Ungekuwa na akili japo kidogo ungeelewa nilichoandika,siwajibiki na ugumu wa kichwa chako katika kuelewa kwa kuwa nimejiridhisha kuwa una uelewa mdogo sana wa soka,huwezi kujadili kwa hoja, kule nyuma umejonasibu kuwa Simba imesajili magarasa, mie nimekutaka unitajie hata mchezaji mmoja wa Yanga mwenye takwimu bora (goals +assissts)kumzidi Ahoua umekimbia bila kujibu, ni kipa yupi mwenye clean sheets na saves nyingi NBC league kuliko Camara? Ni timu ipi ina magoli mengi? Ni timu ipi ina magoli machache? Ni timu ipi ina points nyingi kati ya Simba na Yanga. Hiyo ndio timu bora.
Mzee mbona unapenda kujiaibisha?
Msimu uliopita matampi si alibeba tuzo ya kipa bora ina maana amemzidi diara ubora haya yuko wapi msimu huu?

Form is temporary and class is permanent.
Ligi bado mbichi kabisa wewe unaconclude kama vile imeisha tayari?

Uzuri tunajua mwisho wa msimu bingwa nani tunajua msimu wa nne mnaanzaga hivi hivi na mwisho yanga bingwa.

Hebu ngoja tumuite mwanasimba mwenzio makaveli10 amzungumzie huyo Ahoua maneno matatu tu ndiyo ujue wewe unakurupuka sana
 
Che malon ni beki mbovu kabisa, hana kasi, mzito na hakabi vizuri, Yanga makini haiwezekani kumleta beki wa ovyo kama che malon
Umepota kwenye akili yangu. Sijawahi kumuelewa huyu che malone, naona ni beki wa kawaida sana hawezi kuleta ushindani wa namba pale yanga
 
Ungekuwa na akili japo kidogo ungeelewa nilichoandika,siwajibiki na ugumu wa kichwa chako katika kuelewa kwa kuwa nimejiridhisha kuwa una uelewa mdogo sana wa soka,huwezi kujadili kwa hoja, kule nyuma umejonasibu kuwa Simba imesajili magarasa, mie nimekutaka unitajie hata mchezaji mmoja wa Yanga mwenye takwimu bora (goals +assissts)kumzidi Ahoua umekimbia bila kujibu, ni kipa yupi mwenye clean sheets na saves nyingi NBC league kuliko Camara? Ni timu ipi ina magoli mengi? Ni timu ipi ina magoli machache? Ni timu ipi ina points nyingi kati ya Simba na Yanga. Hiyo ndio timu bora.
Babu class ya wachezaji inabaki pale pale aiondoki,,kuongoza kwa timu yako ligi na hizo clean sheet unazotaja za Camara sijui vitu Gani aiondoi class waliyonayo yanga hapa Tanzania lielewe hilo acha kushupaza shingo,,Icho walichonacho Simba kwa sasa ni form na sio class,,Class ya wachezaji wa yanga utalinganisha na wachezaji wa Simba? Kipa anayedaka first eleven ya timu ya taifa ya mali utamlinganisha na uyo wa guinea?
Na vipi timu yako ni wachezaji wangapi wanaitwa timu za taifa nje ya Tanzania?
Uyo ahou licha ya takwimu zake ebu kafatilie amezipata kwenye timu za aina Gani,,anzia Tabora united, fountain gate na zilizofata utapata majibu kwamba ni mchezaji wa kawaida sana!
 
Che malon ni beki mbovu kabisa, hana kasi, mzito na hakabi vizuri, Yanga makini haiwezekani kumleta beki wa ovyo kama che malon

Lawi ni mzuri sema Coast union wanataka million 250 ambao ni mkwanja mrefu

Huyo Makame ndo iyo kabisa

Mmmh!! ili wamuache mumnyakue kama kawaida yenu
 
Shirikisho eeh?
Sisi hatutaki porojo kama huko shirikisho tulikuwepo na tulishaingiza wachezaji mpaka mwamnyeto naye alishaingiaga kwenye hivyo vikosi vya week

Tunataka mfike tu final kabisa acha porojo
Malone tukimtaka hawezi kuchomoa kama ana kipaji cha kweli atakuja ila kama tia maji tia majj atabaki huko
Kijana, uwe unasoma vizuri na kuelewa kabla ya kujibu, nimesema Che Malone aliingia kwenye kikosi bora cha wiki cha CAF, maana yake Shirikisho na Klabu Bingwa.Tazama hiki kikosi halafu useme kama Percy Tau anacheza shirikisho.
Mzee mbona unapenda kujiaibisha?
Msimu uliopita matampi si alibeba tuzo ya kipa bora ina maana amemzidi diara ubora haya yuko wapi msimu huu?

Form is temporary and class is permanent.
Ligi bado mbichi kabisa wewe unaconclude kama vile imeisha tayari?

Uzuri tunajua mwisho wa msimu bingwa nani tunajua msimu wa nne mnaanzaga hivi hivi na mwisho yanga bingwa.

Hebu ngoja tumuite mwanasimba mwenzio makaveli10 amzungumzie huyo Ahoua maneno matatu tu ndiyo ujue wewe unakurupuka sana
Ndio maana nakuasa kusoma vizuri kabla ya kujibu,wengi wenu hukurupuka, Matampi alimzidi Diara clean sheets na sio saves, mie nimesema ni kipa yupi aliyemzidi Camara both saves and clean sheets. Ukiwa mkweli utaelewa kuwa form ya diara kwa sasa imeshuka maana magoli anayofungwa ni ya uzembe. Hii inatokana na beckline kushuka ubora, Baca wa msimu huu siye wa msimu uliopita.Sasa wewe kama unaiona Yanga hii ni sawa na msimu uliopita huo utakuwa ni muono wa kishabiki.Ubora wa Ahoua huwezi kuupima kishabiki pia, mie mwenyewe huwa namponda Ahoua kwa sababu najua anaweza kufanya zaidi ya akifanyacho, ni kama washabiki wa Yanga wabavyolalamika Aziz Ki ameshuka kiwango
 

Attachments

  • Screenshot_20241211-175451.png
    Screenshot_20241211-175451.png
    891 KB · Views: 2
Babu class ya wachezaji inabaki pale pale aiondoki,,kuongoza kwa timu yako ligi na hizo clean sheet unazotaja za Camara sijui vitu Gani aiondoi class waliyonayo yanga hapa Tanzania lielewe hilo acha kushupaza shingo,,Icho walichonacho Simba kwa sasa ni form na sio class,,Class ya wachezaji wa yanga utalinganisha na wachezaji wa Simba? Kipa anayedaka first eleven ya timu ya taifa ya mali utamlinganisha na uyo wa guinea?
Na vipi timu yako ni wachezaji wangapi wanaitwa timu za taifa nje ya Tanzania?
Uyo ahou licha ya takwimu zake ebu kafatilie amezipata kwenye timu za aina Gani,,anzia Tabora united, fountain gate na zilizofata utapata majibu kwamba ni mchezaji wa kawaida sana!
Huyo ahoua juzi tu wakawa wanamtukana kule Algeria hao hao mashabiki zake.

Form is a temporary and class is permanent
Mali wachezaji 90% wanacheza europe ma diara anacheza Africa bado anaitwa na kipa namba moja
Duke- Kenya
Aziz ki.- Burkina faso
Dube-zimbambwe
Musonda,chama-zambia

Muda,job,bacca,mwamnyeto,mzize,kibabage,mshery, hawa wamekuwa wakiitwa team ya taifa mara kwa mara

Aucho-uganda

Hawa wote ni wanaitwa team ya taifa mara kwa mara sio bahati mbaya ila ni class yao.

Njoo simba sasa sidhani kama wachezaji wa nje hata 6 kama wanafika wanaoitwa team zao za taifa
 
Kijana, uwe unasoma vizuri na kuelewa kabla ya kujibu, nimesema Che Malone aliingia kwenye kikosi bora cha wiki cha CAF, maana yake Shirikisho na Klabu Bingwa.Tazama hiki kikosi halafu useme kama Percy Tau anacheza shirikisho.
Ndio maana nakuasa kusoma vizuri kabla ya kujibu,wengi wenu hukurupuka, Matampi alimzidi Diara clean sheets na sio saves, mie nimesema ni kipa yupi aliyemzidi Camara both saves and clean sheets. Ukiwa mkweli utaelewa kuwa form ya diara kwa sasa imeshuka maana magoli anayofungwa ni ya uzembe. Hii inatokana na beckline kushuka ubora, Baca wa msimu huu siye wa msimu uliopita.Sasa wewe kama unaiona Yanga hii ni sawa na msimu uliopita huo utakuwa ni muono wa kishabiki.Ubora wa Ahoua huwezi kuupima kishabiki pia, mie mwenyewe huwa namponda Ahoua kwa sababu najua anaweza kufanya zaidi ya akifanyacho, ni kama washabiki wa Yanga wabavyolalamika Aziz Ki ameshuka kiwango
Umeambiwa tofautisha form na class lakini bado unajifanya huelewi kabisa

Sasa CAF si ukicheza labda tuseme mechi mbili kwa ubora hapo si unaingia kwenye kikosi bora cha week,?

Halafu baada ya hapa unavurunda tena
Sisi tunachokwambia yanga sio mbovu kama unavyotaka ila ni swala la form imeshuka tu ila watarudi tena

Yanga hii hii mbovu msimu mmeifunga hata goli la kuotea? Simba si bora sana mbona hamjaifunga yanga mbovu hii?

Unatupotezea muda tu hapa
 
Babu class ya wachezaji inabaki pale pale aiondoki,,kuongoza kwa timu yako ligi na hizo clean sheet unazotaja za Camara sijui vitu Gani aiondoi class waliyonayo yanga hapa Tanzania lielewe hilo acha kushupaza shingo,,Icho walichonacho Simba kwa sasa ni form na sio class,,Class ya wachezaji wa yanga utalinganisha na wachezaji wa Simba? Kipa anayedaka first eleven ya timu ya taifa ya mali utamlinganisha na uyo wa guinea?
Na vipi timu yako ni wachezaji wangapi wanaitwa timu za taifa nje ya Tanzania?
Uyo ahou licha ya takwimu zake ebu kafatilie amezipata kwenye timu za aina Gani,,anzia Tabora united, fountain gate na zilizofata utapata majibu kwamba ni mchezaji wa kawaida sana!
Ndio maana nimekwambia una uelewa mdogo sana kwenye soka, mmekaririshwa na wachambuzi uchwara kuwa "class is permanent" bila kuangalia factors nyingine,msimu ulioisha Simba walikuwa na wachezaji wa class ya juu kuliko Yanga lakini matokeo yake msimu uliishaje?Nitajie wachezaji wa Yanga waliokuwa na class ya juu kuwashinda Kapombe,Shabalala,Inonga,Ngoma,Saido,Chama na Miquisone?Baca,Job,Pacome,Azizi Ki na Max wanaifikia class ya hao wachezaji wa Simba niliokutajia hapo juu?
 
Kijana, uwe unasoma vizuri na kuelewa kabla ya kujibu, nimesema Che Malone aliingia kwenye kikosi bora cha wiki cha CAF, maana yake Shirikisho na Klabu Bingwa.Tazama hiki kikosi halafu useme kama Percy Tau anacheza shirikisho.
Ndio maana nakuasa kusoma vizuri kabla ya kujibu,wengi wenu hukurupuka, Matampi alimzidi Diara clean sheets na sio saves, mie nimesema ni kipa yupi aliyemzidi Camara both saves and clean sheets. Ukiwa mkweli utaelewa kuwa form ya diara kwa sasa imeshuka maana magoli anayofungwa ni ya uzembe. Hii inatokana na beckline kushuka ubora, Baca wa msimu huu siye wa msimu uliopita.Sasa wewe kama unaiona Yanga hii ni sawa na msimu uliopita huo utakuwa ni muono wa kishabiki.Ubora wa Ahoua huwezi kuupima kishabiki pia, mie mwenyewe huwa namponda Ahoua kwa sababu najua anaweza kufanya zaidi ya akifanyacho, ni kama washabiki wa Yanga wabavyolalamika Aziz Ki ameshuka kiwango
Nafikiri umeshaufunga mjadala umekiri mwenyewe kwamba Camara Yuko kwenye form kwa sasa na sio class,,class ndio ubora wenyewe wa wachezaji,,mchezaji anaweza kushuka kiwango lakini aiondoi class yake,,tofauti na form Leo inaweza kuwepo kutokana na mazingira mbalimbali lakini aiwezi kudumu,,na yule mwenye class mda wowote anarudi kwenye ubora wake!
Na umekiri back line ya yanga imeshuka ubora na sio kuondoa class yao!
Hizo save unazozisema Camara kafanya mbona diarra keshafanya hizo za kutosha tu kabla ya sasa,,ebu mfatilie vizuri utapata majibu!
 
Ndio maana nimekwambia una uelewa mdogo sana kwenye soka, mmekaririshwa na wachambuzi uchwara kuwa "class is permanent" bila kuangalia factors nyingine,msimu ulioisha Simba walikuwa na wachezaji wa class ya juu kuliko Yanga lakini matokeo yake msimu uliishaje?Nitajie wachezaji wa Yanga waliokuwa na class ya juu kuwashinda Kapombe,Shabalala,Inonga,Ngoma,Saido,Chama na Miquisone?Baca,Job,Pacome,Azizi Ki na Max wanaifikia class ya hao wachezaji wa Simba niliokutajia hapo juu?
Mzee hebu acha kutupotezea muda wetu sawa fanya mambo mengine tu unaongea vitu nonsense kabisa
Bacca, job, pacome,aziz ki,max wa msimu uliopita ndiyo walizidiwa ubora na hizo takataka kweli?

Hata simba wenzako wakiona hili watakushangaa
Kwanza mwenye lile bango la 7-2 aweke hapa
 
Umeambiwa tofautisha form na class lakini bado unajifanya huelewi kabisa

Sasa CAF si ukicheza labda tuseme mechi mbili kwa ubora hapo si unaingia kwenye kikosi bora cha week,?

Halafu baada ya hapa unavurunda tena
Sisi tunachokwambia yanga sio mbovu kama unavyotaka ila ni swala la form imeshuka tu ila watarudi tena

Yanga hii hii mbovu msimu mmeifunga hata goli la kuotea? Simba si bora sana mbona hamjaifunga yanga mbovu hii?

Unatupotezea muda tu hapa
Msimu uliopita kuna wachezaji wa Yanga waliokuwa na class ya juu kuwazidi Chama, Saido, Ngoma,Miquison, Inonga, Kapombe na Shabalala? Msimu uliishaje? Ukijibu hili ndio utaelewa kuwa unaweza kuwa kwenye class ya juu but ukazidiwa na timu iliyo kwenye form.Pacome,Max na Aziz Ki wanafikia class ya akina Chama, Saido na Miquisone? Vipi Yao Yao kafika class ya Kapombe? Baca amelikuwa kwenye class ya Inonga?
 
Ndio maana nimekwambia una uelewa mdogo sana kwenye soka, mmekaririshwa na wachambuzi uchwara kuwa "class is permanent" bila kuangalia factors nyingine,msimu ulioisha Simba walikuwa na wachezaji wa class ya juu kuliko Yanga lakini matokeo yake msimu uliishaje?Nitajie wachezaji wa Yanga waliokuwa na class ya juu kuwashinda Kapombe,Shabalala,Inonga,Ngoma,Saido,Chama na Miquisone?Baca,Job,Pacome,Azizi Ki na Max wanaifikia class ya hao wachezaji wa Simba niliokutajia hapo juu?
Yanga wamekuwa kwenye peak kwa misimu minne mfululizo!
Yaanj hiyo ndiyo class sasa ina ikawapa mataji yote hayo

Sasa hiyo class ya kina ngoma unayoisemea ilizalisha product gani? Hebu acha mahaba mzee Simba haijawahi kuwa kwenye form misimu minne hii yote na ndiyo maana imefukuza makocha kibao kuliko team nyingi tu hapa nchini
 
Mzee hebu acha kutupotezea muda wetu sawa fanya mambo mengine tu unaongea vitu nonsense kabisa
Bacca, job, pacome,aziz ki,max wa msimu uliopita ndiyo walizidiwa ubora na hizo takataka kweli?

Hata simba wenzako wakiona hili watakushangaa
Kwanza mwenye lile bango la 7-2 aweke hapa
Ebu achana nae uyo tunapoteza mda wetu Bure hapa inawezekana ni mangungu mwenyewe anatetea uenyekiti wake na wachezaji wake aliowasajili wa Bei za mafungu!
 
Mzee hebu acha kutupotezea muda wetu sawa fanya mambo mengine tu unaongea vitu nonsense kabisa
Bacca, job, pacome,aziz ki,max wa msimu uliopita ndiyo walizidiwa ubora na hizo takataka kweli?

Hata simba wenzako wakiona hili watakushangaa
Kwanza mwenye lile bango la 7-2 aweke hapa
Ndio maana nimekwambia wewe ni mgumu wa kuelewa,unasoma na kujibu nisichouliza, sijazungumzia ubora. Ukisoma haya majibu yako utaelewa kuwa hujui tofauti kati ya "class" na "form" Soma kwanza kabla ya kujibu
 
Msimu uliopita kuna wachezaji wa Yanga waliokuwa na class ya juu kuwazidi Chama, Saido, Ngoma,Miquison, Inonga, Kapombe na Shabalala? Msimu uliishaje? Ukijibu hili ndio utaelewa kuwa unaweza kuwa kwenye class ya juu but ukazidiwa na timu iliyo kwenye form.Pacome,Max na Aziz Ki wanafikia class ya akina Chama, Saido na Miquisone? Vipi Yao Yao kafika class ya Kapombe? Baca amelikuwa kwenye class ya Inonga?
Class ni nini kwanza?
Inapimwa na nini
Jibu ni kuwa inapimwa kwa kukaa kwenye form kwa muda mrefu ndiyo inazalisha class

Hao uliowataja wengi walishaisha wanacheza kwa kulazimisha na uzoefu tu akiwemo huyo ngoma na kapombe hata chama anacheza kwa uzoefu tu

Kukaa misimu minne mfululizo kwenye peak bila kushuka nayo ni class ambayo ndiyo hao kina aziz ki na wengine kama Aucho na form zao zikaleta matunda yaani makombe


Sasa hizo class za kina ngoma tangu aje kaambulia mapinduzi cup na ngao ya jamii, ameshaisha alikuja Simba akiwa kashachoka na katumika sana hata sasa ngoma anacheza sababu ya uzoefu tu lakini wanamkimbiza huyo ngoma hawezi kumkuta kwa sasa hata yusuph kagoma hawezi!
 
Ndo kilichobakia Simba iache wachezaji yanga muwabebe. Ndo kusema Hela ya kuvunja mikataba hamna!?.
 
Yanga wamekuwa kwenye peak kwa misimu minne mfululizo!
Yaanj hiyo ndiyo class sasa ina ikawapa mataji yote hayo

Sasa hiyo class ya kina ngoma unayoisemea ilizalisha product gani? Hebu acha mahaba mzee Simba haijawahi kuwa kwenye form misimu minne hii yote na ndiyo maana imefukuza makocha kibao kuliko team nyingi tu hapa nchini
Misimu minne mfululizo na upi? Simba ndio walikuwa kwenye peak misimu minne mfulululizo ndio maana walichukua kombe la ligi misimu minne mfululizo. Wewe ingawa umeanzisha mada but umevamia mjadala wa class na form ambao hata huuwezi maana unadhani unanipinga kumbe unakubaliana nami, mie nimesema ingawa wachezaji wa Simba akina Ngoma, Saido, Chama na Miquisone walikuwa na class ya juu kuliko akina Pacome,Max na Aziz Ki waliokuwa kwenye form but Yanga walikuwa mabingwa.Wewe bila kuelewa umeleta hoja ubora ambao mie sikuzungumzia
 
Ndio maana nimekwambia wewe ni mgumu wa kuelewa,unasoma na kujibu nisichouliza, sijazungumzia ubora. Ukisoma haya majibu yako utaelewa kuwa hujui tofauti kati ya "class" na "form" Soma kwanza kabla ya kujibu
Unajikanyaga sana sana
Kuna tume ulisema wachezaji wa yanga form imeshuka, kisa simba wanaongoza ligi na camara kafanya saves nyingi na ahoua ana assist kuwazidi sawa eeh?

Halafu tukakwambia ni form imeshuka sio class , class itarudi anytime bado ukakaza fuvu mzee shida nini?

Umeleta hayo unayoona mafanikio ya simba kwa sasa lakini bado unadaj msimu ule uliopita wachezaji wa Simba walikuwa na class kubwa kuliko wale wa yanga kwa mafanjkio gani walioleta?

Anzia kuhesabu msimu wa nne huu class ya simba imeleta nini? Kuizidi ile ya yanga?

Unajichanganya mwenyewe mzee wetu
 
Back
Top Bottom