Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

Tathmini: ujio wa Mwenda ni sawa, ila lameck lawi hatufai ni bora che malone au makame..!

Misimu minne mfululizo na upi? Simba ndio walikuwa kwenye peak misimu minne mfulululizo ndio maana walichukua kombe la ligi misimu minne mfululizo. Wewe ingawa umeanzisha mada but umevamia mjadala wa class na form ambao hata huuwezi maana unadhani unanipinga kumbe unakubaliana nami, mie nimesema ingawa wachezaji wa Simba akina Ngoma, Saido, Chama na Miquisone walikuwa na class ya juu kuliko akina Pacome,Max na Aziz Ki waliokuwa kwenye form but Yanga walikuwa mabingwa.Wewe bila kuelewa umeleta hoja ubora ambao mie sikuzungumzia
Mzee unajichanganya sana huu msimu wa nne yanga bado yuko na class

Aziz ana class sio form msimu wa ngapi anacheza ligi kuu kwa kiwango bora? Kwako class ni nini? Mbona unajikanyaga sana baba eeh?

Labda useme pacome na Max ndiyo walikuwa kwenye form sio aziz yeye ameshaonesha class yake tayari

Class bila mafanikio hiyo class gani? Labda class darasa la kusomea hebu ngoja nikuache sababu umekunywa maji ya bendera hueleweki unabishania kipi hasa
 
Class ni nini kwanza?
Inapimwa na nini
Jibu ni kuwa inapimwa kwa kukaa kwenye form kwa muda mrefu ndiyo inazalisha class

Hao uliowataja wengi walishaisha wanacheza kwa kulazimisha na uzoefu tu akiwemo huyo ngoma na kapombe hata chama anacheza kwa uzoefu tu

Kukaa misimu minne mfululizo kwenye peak bila kushuka nayo ni class ambayo ndiyo hao kina aziz ki na wengine kama Aucho na form zao zikaleta matunda yaani makombe


Sasa hizo class za kina ngoma tangu aje kaambulia mapinduzi cup na ngao ya jamii, ameshaisha alikuja Simba akiwa kashachoka na katumika sana hata sasa ngoma anacheza sababu ya uzoefu tu lakini wanamkimbiza huyo ngoma hawezi kumkuta kwa sasa hata yusuph kagoma hawezi!
Hapa ndio unakuja kwenye hoja yangu, hao akina Aziz Ki, Pacome, Baca, Diara, Aucho baada ya kukaa muda mrefu sasa viwango vimeshuka, ndio maana unaona Baca analambishwa mchanga na akipitwa anavuta na kusababisha penati, Baca wa msimu jana hakuwa hivyo, Aziz Ki ndio kashuka sana, hadi kufukia mechi 11 Aziz Ki msimu jana alikuwa na magoli 10,sasa hivi analo 1 tena la penati.Kucheza mechi nyingi kwa nguvu kunazalisha majeruhi na kushuka viwango, Aucho, Yao na Mudathir wameshuka viwango. Sasa kama huelewi hata kwa takwimu zilizo wazi utaelewa nini?
 
Mzee unajichanganya sana huu msimu wa nne yanga bado yuko na class

Aziz ana class sio form msimu wa ngapi anacheza ligi kuu kwa kiwango bora? Kwako class ni nini? Mbona unajikanyaga sana baba eeh?

Labda useme pacome na Max ndiyo walikuwa kwenye form sio aziz yeye ameshaonesha class yake tayari

Class bila mafanikio hiyo class gani? Labda class darasa la kusomea hebu ngoja nikuache sababu umekunywa maji ya bendera hueleweki unabishania kipi hasa
Usidanganye, Yanga kachukua kombe mara 3 mfululizo, Simba walichukua mara 4 mfululizo. Wewe ndio unajichanganganya. Sasa hivi Yanga imedrop maana wachezaji wake muhimu viwango vimeshuka
 
nimesema ingawa wachezaji wa Simba akina Ngoma, Saido, Chama na Miquisone walikuwa na class ya juu kuliko akina Pacome,Max na Aziz Ki waliokuwa kwenye form but Yanga walikuwa mabingwa.Wewe bila kuelewa umeleta hoja ubora ambao mie sikuzungumzia
Hao uliowataja hawakuwa kwenye class wakati mara zote hizo yanga inachukua ubingwa sio kweli acha uongo

Miquisone alikuwa kwenye form kabla hajauzwa kwenda Al ahly sasa huyu aliyerudi akacheza na kina saido hiyo class yake ilikuwa wapi? Hebu tupe number zake tangu aliporudi kutoka Egypt! Weka hapa na mpaka sasa huko kwao kaenda bado hajajipata class gani hiyo na wakati tunasema class Is permanent? Kaporomoka huyo sio kushuka tu.

Hapo angalau ni chama unaweza kusema bado anaendelea na class yake ya juu hao wengine hawajawahi kuwa kwenye class halafu yanga huku yanga inachukua ubingwa bali walikuwa na uwezo mdogo sio class ila uwezo wao mdogo uliishia hapo!

Full stop
 
Mzee unajichanganya sana huu msimu wa nne yanga bado yuko na class

Aziz ana class sio form msimu wa ngapi anacheza ligi kuu kwa kiwango bora? Kwako class ni nini? Mbona unajikanyaga sana baba eeh?

Labda useme pacome na Max ndiyo walikuwa kwenye form sio aziz yeye ameshaonesha class yake tayari

Class bila mafanikio hiyo class gani? Labda class darasa la kusomea hebu ngoja nikuache sababu umekunywa maji ya bendera hueleweki unabishania kipi hasa
Uyo jamaa nadhani ni muha wa kigoma,,unaweza kubishana na muha mpaka keshokutwa ni wabishi balaa!
 
Hao uliowataja hawakuwa kwenye class wakati mara zote hizo yanga inachukua ubingwa sio kweli acha uongo

Miquisone alikuwa kwenye form kabla hajauzwa kwenda Al ahly sasa huyu aliyerudi akacheza na kina saido hiyo class yake ilikuwa wapi? Hebu tupe number zake tangu aliporudi kutoka Egypt! Weka hapa na mpaka sasa huko kwao kaenda bado hajajipata class gani hiyo na wakati tunasema class Is permanent? Kaporomoka huyo sio kushuka tu.

Hapo angalau ni chama unaweza kusema bado anaendelea na class yake ya juu hao wengine hawajawahi kuwa kwenye class halafu yanga huku yanga inachukua ubingwa bali walikuwa na uwezo mdogo sio class ila uwezo wao mdogo uliishia hapo!

Full stop
Nimejiridhisha kuwa hujui maana ya class na form, pia nimejirithisha bila mashaka yoyote kuwa kati yenu wawili hayupo JK wala mzee Sunday Manara ambao nina uhakika ningewaambia kuwa Yanga hii imeshuka kiwango kulinganisha na misimu mitatu nyuma wangenielewa
 
Hapa ndio unakuja kwenye hoja yangu, hao akina Aziz Ki, Pacome, Baca, Diara, Aucho baada ya kukaa muda mrefu sasa viwango vimeshuka, ndio maana unaona Baca analambishwa mchanga na akipitwa anavuta na kusababisha penati, Baca wa msimu jana hakuwa hivyo, Aziz Ki ndio kashuka sana, hadi kufukia mechi 11 Aziz Ki msimu jana alikuwa na magoli 10,sasa hivi analo 1.Kucheza mechi nyingi kwa nguvu kunazalisha majeruhi na kushuka viwango, Aucho, Yao na Mudathir wameshuka viwango. Sasa kama huelewi hata kwa takwimu zilizo wazi utaelewa nini?
Hiyo nj form imeshuka kidogo ila watarudi muda wowote ule wao ni class walishaionyesha lakini bado ukaambiwa ukawa unambishia Makavuli naye alikwambia kitu hiko hiko ..

Mudathir ameshuka kiwango na Aucho hapo ndio unalazimisha upeo wako mdogo kwa watu kama sisi tukuamini kumbe unajidanganya ..

Mudathir hajashuka kiwango wala Aucho jla wametumika sana pamoja na fatique inawachosha

Wakati simba asilimia kubwa wachezaji nj wapya kwani hatujui mliacha wachezaji zaidi ya 12 msimu uliopita? Wakati yanga wachezaji ni wale wale misimu mitatu sasa je hawachoki? Mbona unakuwa kama na akili za bata mzee?


Mimi naishia hapa siwezi kujisumbua tena kukuelewesha am done with you
 
Nimejiridhisha kuwa hujui maana ya class na form, pia nimejirithisha bila mashaka yoyote kuwa kati yenu wawili hayupo JK wala mzee Sunday Manara ambao nina uhakika ningewaambia kuwa Yanga hii imeshuka kiwango kulinganisha na misimu mitatu nyuma wangenielewa
Umepanick mzee wewe tulia kila mmoja huko ukoloni atachanganyikiwa kwa wakati wake kama wewe hivi .

Kwani Rage alipowatukana lile jina unadhani alikuacha na wewe? Alikujumuisha pia.

Kakojoe ukalale
Form is a temporary and class is permanent kwa mwenye akili anajua tu hapa nimemaanisha nini tofauti ya class na form..
 
Uyo jamaa nadhani ni muha wa kigoma,,unaweza kubishana na muha mpaka keshokutwa ni wabishi balaa!
Huyu mzee nadhani anatoka kigoma kweli maana hapa utaenda mpaka kesho aisee halafu anazunguka zunguka haelweki anaenda huku anarudi kule ..!🤣🤣
 
Usidanganye, Yanga kachukua kombe mara 3 mfululizo, Simba walichukua mara 4 mfululizo. Wewe ndio unajichanganganya. Sasa hivi Yanga imedrop maana wachezaji wake muhimu viwango vimeshuka
Ni fatique wewe zee jinga sio viwango hivi tukutandike fimbo ndiyo utaelewa?

Misimu yote hiyo wachezaji wanacheza hao hao tu je wao ni machine? Wakati. huo huo simba mnatimua wachezaji kila msimu mnaleta wapya mfano msimu uliopita mmetimua wachezaji zaidi ya 12! Na hawa wa sasa ni wapya almost nusu yake!

Wakati wa yanga ni wale wale tu wameachana na wachache sana lakini kwa kuwa bichwa lako gumu kuelewa kama shoka basi nakuacha au ngoja nimuite huyu mama Nifah akueleweshe labda utaelewa kwanza hata huyu sio size yako kakuzidi upeo
 
Na inashangaza sana wako hoi bin taaban hadi kumchukua Isra aliyesugua benchi miaka 3 bila mafanikio.
Si alipigwa bench sababu ya uchawi wenu na machezajj yenu yanapigana misumari na fitna?
Ngoja aje akiwashe halafu tusikie mtasema nini
 
I salute you kinsmen.

Viongozi nawapongeza sana kwa kuwa na jicho makini safari hii .
Kumleta Mwenda mchezaji mwenye kujituma na versatile player .

Mwenda anajua kucheza kulia na kushoto pia winga anacheza tu .

STRENGTH ZAKE.
-ni versatile player,
Anaweza cheza both left and right.
-Ana uwezo mkubwa wa kukaba
-mbishi na mvumilivu dakika zote
-energetic
-unaweza kumtumia kwenye mifumo mingi tofauti

Huyu atatusaidia, wamefanya kuepusha gharama za kuimport foreign player pia nafasi yake kama mzawa haiwezi kuathiri nafasi za kigeni kujaa yanga.

UDHAIFU
-huwa mara nyingine anakuwa off position sana hasa dakika za mwishoni
-Sio mzuri sana katika kushambulia, uwiano wa kupanda na kushuka ni mzuri lakini kushambulia sio sana
Hilo linafundishika.

KUHUSU SAKATA LA BEKI WA KATI KATI YA LAWI,CHE MALONE,MAKAME.
habari za uhakika ni kuwa ,huko msimbazi maji yamezidi unga

Beki che malone fondo yuko katika mgogoro na team yake kuhusu swala la mkataba .
Amedai mkataba wake uongezwe maslahi hasa ukizingatia unaisha na umebaki miezi nane!

Hivyo akifikisha miezu 6 anakuwa free kusaini pre contract sehemu nyingine na anavutiwa na yanga ambao uongozi umeshampa ofa aifikirie..

Na kama akiamua kuja yanga basi tutakuwa tumemaliza na kufunga swala la beki wa kati kwani kutakuwa na uwiano sawa sawa .

Tumeshuhudia mara kwa mara kukosekana kwa mabeki tegemeo yanga na nchini Bacca, Job, Mwamnyeto pia kulivyopelekea tukapoteza michezo kadhaa hapa kati.


Hivyo malone ataleta uwiano sawa kwamba akitoka Job basi yeye ataingia au akitoka Bacca basi yeye atacheza..

Kuhusu Lawi tafadhali viongozi msiingie mkenge kabisa kwa huyu kijana, dau wanalodai coastal la milioni 250 ni nyingi kuliko kiwango chake halisi,

Lawi ameshuka kiwango kwa kiasi kikubwa sana tangu sakata lake la simba na coastal na amecheza mara chache sana zaidi ya kushinda ofisini kukimbizana na viongozi kwenye simu! Hatufai na coastal wanatufanyia biashara ya kutukomoa ..

KUHUSU LAURIAN MAKAME.
Huyu ni beki wa kati pale Fountain Gate.

Nadhani badala ya kumchukua lawi ni afadhali huyu anafaa sana
Licha ya Fountain ukuta wao kufungwa sana bado makame ni mzuri sana anaangushwa na kiungo kibovu pale kati lakini ana sifa za kucheza yanga

STRENGTH ZAKE.
-Utulivu mkubwa akiwa na mpira na hata akiwa off the ball
-kiongozi mzuri akiwa uwanjani
-nidhamu kubwa, ni ngumu kupewa kadi au kujihusisha na ugomvi
-uwezo mkubwa wa kupiga pasi hasa long pass .
-man to man marking.

Huyu anatufaa hata umri wake pia ni sahihi sana.

Its Pancho
Nafurahi kuwa kwa miaka mingi Yanga imekuwa ikitamani kuwa kama Simba na mnajitahidi sana hasa katika kupata wachezaji walioitumikia Simba. Ila kiukweli kwa sera yenu ya usajili sasa hivi mchezaji ambaye mtampata kutoka Simba ni yule aliyeandoka akaenda timu nyingine ndiyo mtamchukua ama ambaye sisi hatuna mahitaji nae. Kwa Che Malone mnaota ndiyo za mchana
 
vyovyote vile ila mwamnyeto afai aaminiki
Mnamchukulia sana powa huyu sababu ni mbongo
Katusaidia sana sana

Mnasubiri akosee ndiyo mseme ila akiperfome mnanyamaza
Bado ataendelea kutumika yanga huyu bado muda wake yanga upo
 
Che Malone Fondoh alisaini mkataba wa miaka mitatu na nusu wala si miwili kama waandishi wengi wanavyodhani
 
Back
Top Bottom