Tathmini: Uongozi wa Rais Samia Suluhu ndani ya mwaka mmoja

Umechambua kwelikweli ndugu ... Ila ukweli utabaki pale pale kila kiongozi atakaye pata nafasi ya kuongoza Taifa kwa ngazi ya Rais

Mimi na wananchi jukumu letu kubwa ni kuniombea na kuwaelimisha wananchi wenzetu dhana kamili ya uongozi na wajibu wa serikali kwa wananchi wake pamoja na wajibu wa raia kwa serikali yao ili kusukuma kwa pamoja gurudumu la maendeleo na kuilinda Aman, umoja na mshikamano, bidii na uzalendo .
 
Mama anaupiga mwingi sana kiukweli











 
Samia ni Rais dhaifu ambae ataacha historia mbaya Tanzania kuliko marais wote.

Ni rais ambae atajuta maisha yake yote kuwa Rais.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Hakuna Katiba ya kuwaingiza chadema madarakani,hiyo haipo na haitakuwepo.

Serikali itafanya marekebisho yatakayowanufaisha wananchi tuu.
Una akili fupi kupindukia.Ninyi ndiyo huwa nawaita kuwa ni Mapaka.

Wananchi walivyotoa maoni kwenye tume ya warioba kuwa wanahitaji katiba mpya walikuwa ni chadema?

Mzee warioba aliekusanya maoni hayo alikuwa ni chadema?Kikwete alieanzisha mchakato ule alikuwa ni chadema?
Your browser is not able to display this video.
 
Umekuwa na open mind, japo kwa mbali naona unaupenda ubepari zaidi na ndiyosababu ya kutoa mchango ambao ni positive.

Hata hivyo ni ukweli usiopingika, Mh. Rais amefanya kazi kwa ufanisi wa juu na pia kutoa demokrasia ya kweli kwa watu wa makundi yote.


Mh. Rais ameonyesha wazi ni mwanamke pekee anayependa kuinua wanawake wenzake tofauti kubwa sana na viongozi wengi wanawake wanapofanikiwa. Hili halija surface sana.

Na unaona kabisa upande wa kumwinua mwanamke anapata asilimia 100 ukilinganisha na wanawake ambao wameshika nafasi katika nchi hii, hongera sana Rais wetu na kila laheri katika juhudi zako hizi njema.

Kitu pekee ambacho napingana na Mh. Rais ni kuendelea kuwafanya watanzania kujiona hawawezi kitu chochote, huko tulishatoka na ni bahati mbaya sana alishindwa kuendeleza imani hiyo na badala yake akageuka 360 degeree kinyume na mtangulizi wake, kwahilo hapana.

Angeboresha namna tu na siyo kugeuka na kuturudisha ambapo ki mawazo tulishaanza kujiona tunaweza.
 


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 


Upo sahihi Mkuu. Ile mushi alitoa masomo ambaye Rais amepata A kulingana na mtazamo wake, nikamwambia nasubiri masomo aliyopata F.

Kama atashindwa nitayaandika hapa
 
Wananchi wa wapi? Utashi wa ccm ndio unaweza amua Katiba iwepo au isiwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…