Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

naona kimya ngoja nitag mmoja mmoja ila ukijistukia jibu mapema pro nato Nyamizi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo sahihi kabisa Mwl, hawa Pro -Putin ni vyema wajisomee kuhusu Urusi na Putin ili waelewe kinachoendelea hapo Ukraine sio ustaarabu na sio haki.
Kichuguu Jackal
Tsh Root
Kalamu1
Frank Wanjiru
dudus
 
Umesahau lile jambo lao la masuala ya jinsia.
 
Lakini hii siyo sababu ya msingi ya huu mgogoro au Putin aliiweka pia katika sababu za kuivamia Ukraine?
Labda NATO wanataka kuiweka urusi kinganjani ili waendelee kiulaini ueneza mambo Yao?na mambo yako ni kina ushoga na mengine maovu si walitaka waichukue Ukraine ili waweke military base yao ili wawe na uwezo wa kuipiga urusi? of course hamuwezi kuelewa mmeshikiwa akili.
 
Kuna thread nilichangia mada kuna mrusi akani quote "naona shoga unawatetea mashoga wenzako" sikupenda kabisa ikabidi nimblock tu. Sijajua kwa nini mtu ukitoa mawazo yako huru mtu ana ku attack na jambo ambalo anajua litakukwaza!
heheeee pole MKUU
maana nimecheka kama mazuri kwakweli asee
ila kwa hapo wanayumba sana pro RUSSO wenzangu nawaona wengi wanahio kawaida
ingawaje west wanaunga mkono hayo mambo ila sidhanii kama nihalali kuwabandika wenziwao humu ambao hata hamujuani
 
Mbona hujamlizia kusema kwa na wewe pro Ukraine kindakindaki Bora wakuue.

Russia & USA wote ni monster sisi wote tumechagua upaande wa kusabikia, stick to your side hio democracy unaiona na huruma mnayo jitiisha, Kuna watu Dunia wanahitaji huruma kama hio lkn hamjawah hata siku moja kuwaonea huruma .
 
Hazikuingii akilini either ni kwa sababu umeshachagua upande wa kushabikia au akili hizo za kuelewa sababu zao hazipo au vyote kwa pamoja
 
Pro Ukraine hawajuagi kitu yaani Wana mihemko wakati pro Russia ni watu wa facts.mfano wewe huna facts hapo.
facts , kwa kushanibikia Urusi kisa USA aliivamia Mashariki ya kati , mnasahau inayovamiwa ss hv ni Ukraine , kiufup Pro Russia huws dish limeyumba
 
kwahiyo kama USA akikosea basi ndo Mataifa mengine yaendelee kukosea ? USA ndo kipimo cha usahihi ? mkiambiwa mnaiabudu USA mnalia lia
 
ndio maana tunapinga uvamiz , ww ndo kiumbe cha ajabu unashabikia uvamiz wkt nchi yako haiwez hata kuunda mshale
kupinga uvamizi ndio fact pekee naomba japo fact nne zenye mashiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…