Tathmini ya mapato ya kilimo cha michungwa 1000 baada ya miaka 3

kama wapata burudani lipia kabisa ,halafu unasema nimetukana? nimemtukana nani? nimejibishana na unanilaumu mm je umeangalia huyo anekiuliza kauliza nn mpaka tukabishana wacha mambo yenu hayo hamutaki kufanya kazi kisha mnasingizia serikali hakuna serkali hata moja duniani inayogawa fedha! fanyeni kazi nyinyi!
 
Tatizo lako mkuu unataka hela za watu za shortcut bila kujuwa wapi wanapata, weka vielelezo vya kutosha watu walidhike na majibu yako waweze kutoa hela zao, eti mchungwa mmoja unauza 3000 still hapo hutoi maelezo ya kutosha watu wakakuelewa, am out kwenye hii project bora nife maskini ila siwezi kuingia kichwa kichwa kwenye issue kama hii ambayo unashindwa kuitolea ufafanuzi, zaidi ya kupigia debe michungwa yako unayouza..... watu wenye akili zao timamu na uzoefu wa kilimo wakina Malila hata hawajachangia coz wanajuwa hii kitu ni impossible......Umeulizwa maswali mengi maana nawasiwasi hata wewe mwenyewe hujalima maana kuna viswali vidogo vidogo vimeulizwa ambapo umeshindwa kujibu kabisaaaa
 
Last edited by a moderator:

Halafu inaonyesha hata shule hamna kunaserikali nyingi tu duniani zinatoa hela za bure kwa wananchi wake (Unemployment Benefits) na hata Africa Gadafi alikuwa anatoa kwa wananchi wake na acha kuwaambia watu hawataki kazi kisa wamekuchallenge kidogo tu unawajua hao watu humu unaosema hawataki kazi? au kazi ni kulima michungwa yenye uwezo wa kubeba machungwa mengi kuliko uzito wa mti wenyewe? Jipange dogo
 

kweli kabisa huyo ajalima kitu maana anasema mara rafiki yake inaonyesha dhahiri huyu ni dalali tu.
 
ww ndo hujaenda shule kama unasubiria kupewa pea na serikali basi utasubiri sana halafu ww unaonekana hata kazi huna ndio mana unapenda kuchallenge vitu vya kijinga kwani mm nimekuletea wazo uchallenge hapa nenda jukwaa la elimu hapa ni kibiashara zaidi!
 
yeye mwenyewe usimuone chizi kutochangia hapa yupo zake anajitafutia hizo mbegu tena anaenda sana resi kaa hapo useme hachangii wenye akili zao huanza kwa effort kwanza wacheni blaablaa zenu, mm nimeweka hili wazo kwa walio na pesa zao hawajui cha kufanya nyinyi kama mnamikopo yenu kutoka benki hiyo ni shauri zeu watu wenye pesa zao wameshaniona tumeshaongea na tumeshamaliza na wameshatoa hata oda ya hiyo micha
 
Kaka huyu dogo ni Pimbi sana ana majibu ya hovyo sijawahi ona na bado anatoa ideas za Kitapeli humu eti mchungwa unaweza kubeba machungwa makubwa 4000

Ndugu yangu Forum ya Ujasiria mali huwa inawatu wastaarabu kabisa huku watu hubadilishana mawazo kwa ukarimu na upendo wa ajabu, hii forum ilishanisisimua sana jinsi watu wanavyosimuliana matatizo na kupeana mawazo ya ufumbuzi, kamwe sikumbuki kusoma mtu akimdhihaki au kukebehi mwingine kama kwenye viwanja vingine huko! Lakini naona taratibu virusi wameanza kuingia huku naomba muweze kutambua mapema virusi kama hiki ili tusipotezeane channel!
 

Ni kweli mkuu inasikitisha huku ni kwa wastaarabu huwa hakuna Kashfa na kama hujui kitu unasema tu hujui na hata mkipishana mawazo hakuna Kashfa ila tutavishambulia tu hivi virusi vitoke huku
 
Siku zote huangaliwa mmalizaji ila mwanzilishi hamumuangalii ukichunguza nani alieleta virus hapa wacha kushutumi kitu ambacho hujakifanyia uchambuzi
 
He (Khatam) just a conman.. i dnt knw if xul is 'yes' there.. he fails even analys his projct.. Where is he BELIEVING??
 

Mkuu mwanzoni ulitaja bei ya miche ni 1500,naona kitu isha appreciate to 3000 over few days!
 


Hiyo irrigation ya 700 thou ikoje kiongozi, umefunga kwenye kila mche?
 

Am already a

 
Chungwa moja nimelipima sasa hivi lina gramu 200 machungwa 4,000 ni gramu 800,000 yaani kilo 800. Ni sawa na kumpakia Ng'ombe dume juu ya mchungwa. Huo mchungwa lazima uwe na matawi ya chuma

:confused2::confused2::confused2::confused2:
 

Mh, kwani kwenye red hapo si ndo aina yenyewe ya machungwa yanayonadiwa au...!!!? Mbona mleta mada kashayataja halafu akasema hayataji ng'oooo eti ni bidzshnesh...mh..! tusije tukawa tushavurugwa hapa...mwe...!!!
 
Watanzania tumezoea sana kilimo cha jembe la mkono. Mtu akija na mawazo kama haya tunaona hiawezekani. Natamani ningekuwa na ardhi ningeweza kuwekeza hizo Tsh. 15m
 
Mh, kwani kwenye red hapo si ndo aina yenyewe ya machungwa yanayonadiwa au...!!!? Mbona mleta mada kashayataja halafu akasema hayataji ng'oooo eti ni bidzshnesh...mh..! tusije tukawa tushavurugwa hapa...mwe...!!!

Tatizo uki google hiyo Ventore,huipati hata kwa bahti mbaya:confused2::confused2:
 
Tatizo uki google hiyo Ventore,huipati hata kwa bahti mbaya:confused2::confused2:

Mkuu ushapata jina lake, acha uvivu, nenda maduka ya kilimo utapata maelezo ya kina toka kwa wataalamu wa hiyo fani. Huyu ni mfanyabiashara. kama ulivoona kasema kashauza kwa Tshs 3,000 wakati kwenye tathmini ni Tshs 1,500! usishangae ukitaka kuweka oda kwake akakwambia ni 5,000! lazima itakuwa inapatikana kungine kwa bei chee tu, yeye hawezi kuwa wa kwanza na wa mwisho kwa teknolojia hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…