Tathmini ya ndani ya aliyosema Mbowe: Mbivu na mbichi, nani malaika, nani kizingiti!

Tathmini ya ndani ya aliyosema Mbowe: Mbivu na mbichi, nani malaika, nani kizingiti!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Huu ndiyo ukweli mchungu na ndiyo maana labda hata TBC taifa ikawepo kuuhabarisha umma:

Mbowe anaashiria maridhiano yalikwama kwa sababu ya negative energy kutoka Chadema “team Lissu.”

Kwa sehemu kubwa ya hotuba ya Mbowe, Samia is just a pure soul.

Anasema wamenunua ofisi 1.6b kutokana na maridhiano wakapewa ruzuku. Ila anasema malimbikizo ya ruzuku ni kwa sababu wao walikataa kuipokea.

Pia anasema haiwezekani kubadili uongozi katikati ya mapambano. Strongman mentality.

Pia kwa hotuba yake msamiati wa term limit haipo kwenye kamusi yake.

Kwa ujumla Mbowe hajasema lolote kuhusu kubadili strategy ya mapambano wala kujibu hoja kuwa yeye ni mteremko wa CCM kufanya yake.

Walau inaonekana, ndani ya Chadema kuna kusigana kwa muda mrefu na hii ndio sababu hata kwenye operation za Chadema, Lissu anatumia gari yake binafsi.

Pia soma: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pia walau ni wazi kwa muda kuwa wakati Lissu akifanya peoples movement, wenzake wapo katikati ya movement na kushangilia mfumo wanaodai kuwatesa.

Nikiona vijana wanaharakati ambao kila siku wanasema free DEUSDEDITH SOKA
et al, wapo na Lissu na waliosema DEUSDEDITH SOKA anajitekenya wapo na mwamba (nusu-jiwe). This says much.

Wale akina mama 19 waliosemekana walipelekwa bungeni na Ndugai wapo na Mbowe…….

Balile anapata wapi nafasi ya ku moderate? Balile si ni CCM kabisa na kama ana la ziada ni wakala?

Ni ngumu sana kuamini kuwa utawala wa vyama vya upinzani haupo mikononi mwa mawakala wa mfumo tawala kuigiza kuna vyama vingi.

Namna CHADEMA establishment wanavyopambana na Lissu, CHADEMA sio siku nyingi ipo kwenye mserereko.

Lissu tu kutangaza kugombea uwenyekiti, imekuwa nongwa.

Kuna maneno kuwa mwenyekiti katikati ya kampeni 2020 alisema “Lissu anadhani atamshinda Magufuli “?……..

Anyway, kuna watu wanamtengenezea Samia ushindi bila kupora kura kama kawaida ya CCM.

"Kwa hisani ya Ole Shangay". Mwana harakati kule Loliondo.

Tungali tuna safari ndefu!
 
Hili jambo linahitaji werevu kwenye kulijadili.

Kwanza kwa nini walioonekana marafiki wa Lissu kama wamerudi nyuma ama wamesalimu Amri na kuingia Team Mbowe. Jee kuna nini?

Wameona labda Lissu hana ubora ule waliokuwa wanaamini anao. Au wameona watatakiwa kulipa gharama kubwa ndani na nje ya chama kwa kukaa upande wa Lissu?

Hisia za kutaka Mbowe atoke kwa Afya ya CHADEMA zinatokea ndani ya CHADEMA yenyewe ama ni nje ya chama?

Baada ya uchaguzi kwa mfano yeyote kati yao akashinda, wale wapambe wao wataweza kufanya kazi kwa pamoja?

Nani kwa hakika anazijua "Vision" na "mission" za hawa wagombea kuhusu CHADEMA kutokea hapo ilipo. Ushindani upo juu ya nani ashinde kwa vyovyote iwavyo ama ni juu ya hoja za nani ni bora kuliko mwenzie hivyo asaidiwe ashinde?

Tatizo mijadala mingi wakati wa chaguzi duniani kote, hujazwa Propaganda.
 
Hili jambo linahitaji werevu kwenye kulijadili.

Kwanza kwa nini walioonekana marafiki wa Lissu kama wamerudi nyuma ama wamesalimu Amri na kuingia Team Mbowe. Jee kuna nini?

Wameona labda Lissu hana ubora ule waliokuwa wanaamini anao. Au wameona watatakiwa kulipa gharama kubwa ndani na nje ya chama kwa kukaa upande wa Lissu?

Hisia za kutaka Mbowe atoke kwa Afya ya CHADEMA zinatokea ndani ya CHADEMA yenyewe ama ni nje ya chama?

Baada ya uchaguzi kwa mfano yeyote kati yao akashinda, wale wapambe wao wataweza kufanya kazi kwa pamoja?

Nani kwa hakika anazijua "Vision" na "mission" za hawa wagombea kuhusu CHADEMA kutokea hapo ilipo. Ushindani upo juu ya nani ashinde kwa vyovyote iwavyo ama ni juu ya hoja za nani ni bora kuliko mwenzie hivyo asaidiwe ashinde?

Tatizo mijadala mingi wakati wa chaguzi duniani kote, hujazwa Propaganda.

Sina hakika kwa nini jambo la wazi hili ungependa lihitaji werevu, ila liangaliwe kwa uangalifu labda kama yai au makombe kufunikwa kwenye kulijadili.

Sidhani kina Mandela, Tutu, Gandhi, Obama, Kennedy na wote aliowanukuu mwamba walikuwa na makando kando yenye kuhitaji uangalifu wa namna hiyo au hata makombe kufunikwa, kuwa wanaweza kuwa wanaharamu au mwanaharamu awaye yote apite.

Zaidi sana inatanabaisha huku address hoja yoyote katika zote ambazo zimeorodheshwa waziwazi kwenye mada.

Zingatia hoja zote kama zilivyo zilitoka mdomoni kwa mwamba na kila aliyejali kusikiliza alisikia.

Sasa hadi hapa sina hakika ulipenda tujadili kipi, mada kama nilivyoileta au haya uliyoandika wewe nje ya mada?

Mawazo yako tafadhali ndugu mjumbe.
 
Sina hakika kwa nini jambo la wazi hili ungependa lihitaji werevu, bila liangaliwe kwa uangalifu labda kama yai au makombe kufunikwa kwenye kulijadili.

Sidhani kina Mandela, Tutu, Gandhi, Obama, Kennedy na wote aliowanukuu mwamba walikuwa na makando kando yenye kuhitaji uangalifu was namba hiyo au hata makombe kufunikwa, kuwa wanaweza kuwa wanaharamu au mwanaharamu awaye yote apite.

Zaidi sana inatanabaisha huku address hoja yoyote katika zote ambazo imeorodheshwa waziwazi kwenye mada.

Zingatia hoja zote kama zilivyo zilitoka mdomoni kwa mwamba na kila aliyejali kusikiliza alisikia.

Sasa hadi hapa sina hakika ulipenda tujadili kipi, mada kama nilivyoileta au haya uliyoandika wewe nje ya mada?

Mawazo yako tafadhali ndugu mjumbe.
Aisee!!
 
Back
Top Bottom