Nimependa mtiririko wa mawazo yako.
Kwa hapa itoshe kunukuu sura ya kwanza ya kitabu ambacho nime-attach hapa chini.
Tunasoma:
"When one wants to bring down a dictatorship most effectively and with the least cost then one has four immediate tasks: One must strengthen the oppressed population themselves in their determination, self-confidence, and resistance skills; One must strengthen the independent social groups and institutions of the oppressed people; One must create a powerful internal resistance force; One must develop a wise grand strategic plan for liberation and implement it skillfully." (tazama attachment, sura ya kwanza, chini ya sub-heading hii: "Facing the hard truth ")
Pointi yangu ni kwamba, katika "grand strategic plan for liberation" inayotakiwa tunapaswa kuwa na jukumu la kupeleka wabunge wa viti maalum bungeni, na sio kuwazuia. Hawa watakuwa na kazi nyingi.
Mojawapo ni kwamba watakuwa maafisa vipenyo wetu. Pili, watakiwezesha chama kuwa na nguvu ya kiuchumi kuendeleza mapambano.
Lakini, nisema kwamba, wabunge wa viti maalum wanaweza kutikisa kuliko unavyofikiria.
Baadhi wanazo shahada za uzamivu.
Wengine ni wanasheria.
Wengine ni wabunge wzoefu.
Chadema wachangamke, kijua ndio hichi!