Tatizo alianzisha bifu na Kila mtu ndio maana anapigwa au kupondwa kila Kona

Tatizo alianzisha bifu na Kila mtu ndio maana anapigwa au kupondwa kila Kona

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Yule mwamba wenu alianzisha bifu na kila mtu na kuwaita majina yasiyomithirika. Aliwananga Sana wastafu wakati wao ndio walikuwa wazuri kumzidi yeye ila akajiona yeye ndio anawazidi kwa akili zake fupi.

Alifika hatua ya kuredi mpaka sauti zao kwenye mitandao mbalimbali kinyume kabisa na sheria za privacy.

Sasa hii ni zamu ya watu kutema nyingi na hakuna mtu wa kumfichia madhaifu yake Maana hata yeye hakuwa na muda huo.

Next time msirudie kuchagua walimu kuwa Marais Maana hawana akili isipokuwa Nyerere tu. Mbona Mkapa hasemwi Wala kupondwa?
 
Ondoka usemwe
1661876992733.jpg
 
Haya sawa ila umesikia kuwa milioni 480 zimetumika kutangaza matokeo ya Sensa..??😃😃😃
Acha watu wapate ajira japo temporary. Kuna waimbaji wamepata pes, wapambaji wamepata pesa, mawaziri perdiem na wengine wengi. Hii ndo namna ya kuluza mzunguko wa pesa siyo enzi zile unazika pesa zote Bank kuu wanabaki wanazitafuna akina sabaya na makonda tu
 
Jiwe alikuwa mwanaume,kiprotokali hakuna mstaafu mkubwa zaidi ya Rais.
Sasa wastaafu wenyewe wakina Yusuf Makamba,Kinana,JK,Membe et al ndiyo wa kuwasikiliza!!🤣🤣🤣.Ata Mimi ukinipa Urais leo,hao siwezi kuwasikiliza.Labda Kama nataka kujifunza uwizi wa malinza Umma sawa nitawasikiliza.
Urais hauna ubia Mjomba na ndiyo maana kipindi fulani ata JK alikuwa anasema Urais wake hauna ubia!
Mama Msafiri kaingia nao ubia,nchi inayumba Sasa,tutaelewana baadaye!
 
Nchi chini ya mama inakwend vizuri Sana kila kitu kinakwenda in positive direction unlike the machinga regime of jpm. Every educated was prepared to be a machinga. This was a disaster.
Jiwe alikuwa mwanaume,kiprotokali hakuna mstaafu mkubwa zaidi ya Rais.
Sasa wastaafu wenyewe wakina Yusuf Makamba,Kinana,JK,Membe et al ndiyo wa kuwasikiliza!!🤣🤣🤣.Ata Mimi ukinipa Urais leo,hao siwezi kuwasikiliza.Labda Kama nataka kujifunza uwizi wa malinza Umma sawa nitawasikiliza.
Urais hauna ubia Mjomba na ndiyo maana kipindi fulani ata JK alikuwa anasema Urais wake hauna ubia!
Mama Msafiri kaingia nao ubia,nchi inayumba Sasa,tutaelewana baadaye!
 
Nchi chini ya mama inakwend vizuri Sana kila kitu kinakwenda in positive direction unlike the machinga regime of jpm. Every educated was prepared to be a machinga. This was a disaster.
Jiwe alikuwa mwanaume,kiprotokali hakuna mstaafu mkubwa zaidi ya Rais.
Sasa wastaafu wenyewe wakina Yusuf Makamba,Kinana,JK,Membe et al ndiyo wa kuwasikiliza!!🤣🤣🤣.Ata Mimi ukinipa Urais leo,hao siwezi kuwasikiliza.Labda Kama nataka kujifunza uwizi wa malinza Umma sawa nitawasikiliza.
Urais hauna ubia Mjomba na ndiyo maana kipindi fulani ata JK alikuwa anasema Urais wake hauna ubia!
Mama Msafiri kaingia nao ubia,nchi inayumba Sasa,tutaelewana baadaye!
 
Back
Top Bottom