Tatizo alianzisha bifu na Kila mtu ndio maana anapigwa au kupondwa kila Kona

Tatizo alianzisha bifu na Kila mtu ndio maana anapigwa au kupondwa kila Kona

Hawa Three Musketeers wamesema, hatokaa itokee tena, kuliweka limbulula jingine....

1667240975782.png
 
Mkuu tuombe radhi

Sisi wapenda MAENDELEO
Yani maza anabalans vema kabisa. Easy going and just let it flow like a river down the stream. Kikubwa ni amani na utulivu ili mtanzania apate anachopenda ngono na umbea kwenye mazingira siyo ya uwoga na kutishwatishwa
 
Yani maza anabalans vema kabisa. Easy going and just let it flow like a river down the stream. Kikubwa ni amani na utulivu ili mtanzania apate anachopenda ngono na umbea kwenye mazingira siyo ya uwoga na kutishwatishwa
Uwii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
 
Yule mwamba wenu alianzisha bifu na kila mtu na kuwaita majina yasiyomithirika. Aliwananga Sana wastafu wakati wao ndo walikuwa wazuri kumzidi yeye ila akajiona yeye ndo anawazidi kwa akili zake fupi.

Alifika hatua ya kuredi mpaka sauti zao kwenye motandaobalimbali kinyume kabisa na sheria za privacy.

Sasa hii ninzamu ya watu kutema nyingi na hakuna mtu wa kumfichia madhaifu yake Mana hata yeye hakuwa na mda huo.

Next time msirudie kuchagua walimu kuwa Marais Mana hawana akiri ispokuwa nyerere tu. Mbona mkapa hasemwi Wala kupondwa?
HV kweli alikuwa Mwalimu Kisha ubunge na uwaziri Kisha urais ,aise watu wanabahati mno
 
Yule mwamba wenu alianzisha bifu na kila mtu na kuwaita majina yasiyomithirika. Aliwananga Sana wastafu wakati wao ndo walikuwa wazuri kumzidi yeye ila akajiona yeye ndo anawazidi kwa akili zake fupi.

Alifika hatua ya kuredi mpaka sauti zao kwenye motandaobalimbali kinyume kabisa na sheria za privacy.

Sasa hii ninzamu ya watu kutema nyingi na hakuna mtu wa kumfichia madhaifu yake Mana hata yeye hakuwa na mda huo.

Next time msirudie kuchagua walimu kuwa Marais Mana hawana akiri ispokuwa nyerere tu. Mbona mkapa hasemwi Wala kupondwa?
Dikteta kapotelea udongoni
 
Mtu mwenye kujielewa hawezi kumshabikia yule mwehu, hakuwa na wisdom wala vision ya kuwa kiongozi wa nchi
Mkuu

Huo unaouita wehu hata wewe ungepewa ungeupata Sana kama WEWE ni mzalendo!!

Ni Bora angepita kwa kupitia UPINZANI kuliko NDANI ya CHAMA Tawala!

Ndani ya chama alipigwa vita Sana,wakaanza kumhujumu akashindwa kuvumilia na kupata jazba Sana kimaamuzi!vingine alijitahidi kufanya Siri tu!kifupi NDANI ya CHAMA walimfrustrate Sana utaona kupitia speech zake!!

Kumbuka chama kilikuwa Hakina mvuto kabisa akaitumia nembo ya jina lake!!

Kama ningekua SEHEMU ya MAAMUZI ya nchi hii,Ningeshauri agombee kupitia nccr mageuzi aungwe mkono na ukawa!halafu ashinde akiwa huko!ingemfaa Sana!kuliko chama Tawala KWA kipindi kile!!

Hata wewe ungepata frustration kibao kama ungeshinda kupitia chama Tawala KWA kipindi kile,wapiga dili wangekuhujumu Sana na kufanya MAAMUZI ya pupa na Binafsi japo una nia NJEMA ya kizalendo!

Hayati ni sadaka itakayoleta chachu ya Mabadiliko makubwa Sana yajayo ya nchi Hii!!!
 
Mtu mwenye kujielewa hawezi kumshabikia yule mwehu, hakuwa na wisdom wala vision ya kuwa kiongozi wa nchi
Yule mzee aliamini nguvu ndio suluhisho la kila tatizo! Ni kama kichaa kapewa rungu, chakula hakijaiva, piga rungu sufuria! Kuna mbu kwenye pum**, piga rungu!
 
Hawa Three Musketeers wamesema, hatokaa itokee tena, kuliweka limbulula jingine....

View attachment 2403339
Hao watapita kama upepo na tutawasahau hakuna lolote la maana wamefanya kwenye nchi hii ya kukumbukwa.

Watakumbukwa na familia zao tu ila hawajagusa mioyo ya watanzania kabisa.
 
Mkuu

Huo unaouita wehu hata wewe ungepewa ungeupata Sana kama WEWE ni mzalendo!!

Ni Bora angepita kwa kupitia UPINZANI kuliko NDANI ya CHAMA Tawala!

Ndani ya chama alipigwa vita Sana,wakaanza kumhujumu akashindwa kuvumilia na kupata jazba Sana kimaamuzi!vingine alijitahidi kufanya Siri tu!kifupi NDANI ya CHAMA walimfrustrate Sana utaona kupitia speech zake!!

Kumbuka chama kilikuwa Hakina mvuto kabisa akaitumia nembo ya jina lake!!

Kama ningekua SEHEMU ya MAAMUZI ya nchi hii,Ningeshauri agombee kupitia nccr mageuzi aungwe mkono na ukawa!halafu ashinde akiwa huko!ingemfaa Sana!kuliko chama Tawala KWA kipindi kile!!

Hata wewe ungepata frustration kibao kama ungeshinda kupitia chama Tawala KWA kipindi kile,wapiga dili wangekuhujumu Sana na kufanya MAAMUZI ya pupa na Binafsi japo una nia NJEMA ya kizalendo!

Hayati ni sadaka itakayoleta chachu ya Mabadiliko makubwa Sana yajayo ya nchi Hii!!!
Alikuwa na kila mamlaka ya kuwadhibiti waliokuwa wakimhujumu ndani ya chama, lakini hakufanya, akachagua ku deal na wapinzani na kuwafilisi, kuwafunga na wengine kuwaua
Katiba ambayo ndio ingewapa nguvu wananchi dhidi ya watawala akaona ni ujinga, badala yake akapitisha sheria za kuwaongezea kinga viongozi wa serikali
 
Back
Top Bottom