Tatizo alianzisha bifu na Kila mtu ndio maana anapigwa au kupondwa kila Kona

Tatizo alianzisha bifu na Kila mtu ndio maana anapigwa au kupondwa kila Kona

Nchi chini ya mama inakwend vizuri Sana kila kitu kinakwenda in positive direction unlike the machinga regime of jpm. Every educated was prepared to be a machinga. This was a disaster.
Machinga wameanzia awamu ya tano?
Wewe utakuwa siyo Mtanzania!
Shida yenu mlitaka JPM aongoze nchi Kama Kikwete,hiyo haowekani Duniani kote,kila Rais ana mipango na maono yake.Ndiyo maana style ya Nyerere,Rais Mwinyi akuifuata sawa na Mkapa ambavyo akufuata style ya Mwinyi na JK ambavyo hakufuata style ya Mkapa na JPM vilevile hakufuata style ya Kikwete na Mama vilevile hafuati style ya JPM!
 
mh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulieni dawa iwaingie soon mtaanza kulalamikia jinsia ya kike
 
Yule mwamba wenu alianzisha bifu na kila mtu na kuwaita majina yasiyomithirika. Aliwananga Sana wastafu wakati wao ndo walikuwa wazuri kumzidi yeye ila akajiona yeye ndo anawazidi kwa akili zake fupi.

Alifika hatua ya kuredi mpaka sauti zao kwenye motandaobalimbali kinyume kabisa na sheria za privacy.

Sasa hii ninzamu ya watu kutema nyingi na hakuna mtu wa kumfichia madhaifu yake Mana hata yeye hakuwa na mda huo.

Next time msirudie kuchagua walimu kuwa Marais Mana hawana akiri ispokuwa nyerere tu. Mbona mkapa hasemwi Wala kupondwa?
Uko sahihi Mkuu ona alivyosimuliwa hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221031-114855.png
    Screenshot_20221031-114855.png
    122 KB · Views: 2
Hizi ID mpya za lile genge zinarudi kwa kasi kutafuta sympathy ya wananchi. Bahati nzuri mtaani hazifingui mdomo zinakuja jifichia humu kwenye posho ya buku 7
 
Yameshapita hayo na ameshalala mauti haisaidii kumnanga wala kumshambulia. Yeye keshamaliza mwendo wake na wala hana kumbukumbu tena. Anasubiri kuamshwa katika Jioni ile ya kukusanyika mbele ya Kiti cha hukumu cha Mungu. Wewe uliye hai, jitahidi kufanya mema ili uchague wapi utakapoishi maisha ya umilele. Je utaishi maisha ya amani na furaha au utaishi maisha ya kudharauliwa na kuteseka?
 
Mkuu
Hayo YOTE ya Nini

Mwanamme kalala wa nini kumuamsha!!?

Wewe ungeleta mawazo Mbadala ya mfumuko wa bei ya chakula,mafuta,Maji na umeme!

Ungesema nini kifanyike kumsaidia huyu aliepo sio kuhangaika na marehemu!!

Nakumbusha hata Mwinyi senior alikuwa mwalimu!

Probability ya teacher Kuwa RAIS Tz ni;-

P(E)=n(E)/n(s)

P(E)=3/6

P(E)=0.5

Where by

P(E)=probability of a teacher being a president in Tz

n(E)=number of teachers who become presidents in Tz (nyerere,Mwinyi and jpm)

n(s)= number of presidents since independence!

Nadhani umenipata mkuu!!
 
baada ya andiko lako la kipuuzi yanayobadilika ni masaa tu ila;
1. Umeme bado shida
2. Maji hakuna
3. Vyakula havinunuliki
4. Petrol bei juu
5. Rushwa inanuka
6. Mafisadi yanapishana angani (akiwemo na huyo anayeitwa Rahisi)
7. Miradi haisogei
8. Hospitali hazina vifaa tiba na dawa
9. Tunatangaza matokeo ya sensa kwa helicopter

Nenda kawaulize hao wastaafu unaowaona wa maana sana tunafanyeje kutoka hapa? Mana marehemu majibu yote alikua nayo.
 
Yule mwamba wenu alianzisha bifu na kila mtu na kuwaita majina yasiyomithirika. Aliwananga Sana wastafu wakati wao ndo walikuwa wazuri kumzidi yeye ila akajiona yeye ndo anawazidi kwa akili zake fupi.

Alifika hatua ya kuredi mpaka sauti zao kwenye motandaobalimbali kinyume kabisa na sheria za privacy.

Sasa hii ninzamu ya watu kutema nyingi na hakuna mtu wa kumfichia madhaifu yake Mana hata yeye hakuwa na mda huo.

Next time msirudie kuchagua walimu kuwa Marais Mana hawana akiri ispokuwa nyerere tu. Mbona mkapa hasemwi Wala kupondwa?

Mkuu mchafu achafuki ... hata aliyekuwepo kamchafua aliyepita mpaka kila mtu akasema yani kama chama pinzani ndo kilikuwa kinatawala nchi.

hawa leo ndio walewale jana walikuwa wanamsifia jamaa lakini leo hii ao ao ndo wanaponda jamaa
 
Back
Top Bottom