Zimeingia kwenye mzunguko mzee..Haya sawa ila umesikia kuwa milioni 480 zimetumika kutangaza matokeo ya Sensa..??πππ
Katika watu ml 61 zimeingia kwenye mzunguko wa % ngapi??Zimeingia kwenye mzunguko mzee..
We una wisdom?πππMtu mwenye kujielewa hawezi kumshabikia yule mwehu, hakuwa na wisdom wala vision ya kuwa kiongozi wa nchi
Wizi wizi wakati wananchi wanakosa maji na wako kwenye mgawo umeme!!Haya sawa ila umesikia kuwa milioni 480 zimetumika kutangaza matokeo ya Sensa..??[emoji2][emoji2][emoji2]
Sasa wengine wacheze bao siku nzima bila shughuliKatika watu ml 61 zimeingia kwenye mzunguko wa % ngapi??
Acha watu wapate ajira japo temporary. Kuna waimbaji wamepata pes, wapambaji wamepata pesa, mawaziri perdiem na wengine wengi. Hii ndo namna ya kuluza mzunguko wa pesa siyo enzi zile unazika pesa zote Bank kuu wanabaki wanazitafuna akina sabaya na makonda tuHaya sawa ila umesikia kuwa milioni 480 zimetumika kutangaza matokeo ya Sensa..??πππ
We nadhani utakuwa product ya SAUT Mana unaamini kuzika hela mfukoni au Bank kuu Kama alichofanya jpm eti ndo uchumi huo. Ndo Mana machinga walikuwa wengi enzi zake indicating extreme povertyKatika watu ml 61 zimeingia kwenye mzunguko wa % ngapi??
Jiwe alikuwa mwanaume,kiprotokali hakuna mstaafu mkubwa zaidi ya Rais.
Sasa wastaafu wenyewe wakina Yusuf Makamba,Kinana,JK,Membe et al ndiyo wa kuwasikiliza!!π€£π€£π€£.Ata Mimi ukinipa Urais leo,hao siwezi kuwasikiliza.Labda Kama nataka kujifunza uwizi wa malinza Umma sawa nitawasikiliza.
Urais hauna ubia Mjomba na ndiyo maana kipindi fulani ata JK alikuwa anasema Urais wake hauna ubia!
Mama Msafiri kaingia nao ubia,nchi inayumba Sasa,tutaelewana baadaye!
Jiwe alikuwa mwanaume,kiprotokali hakuna mstaafu mkubwa zaidi ya Rais.
Sasa wastaafu wenyewe wakina Yusuf Makamba,Kinana,JK,Membe et al ndiyo wa kuwasikiliza!!π€£π€£π€£.Ata Mimi ukinipa Urais leo,hao siwezi kuwasikiliza.Labda Kama nataka kujifunza uwizi wa malinza Umma sawa nitawasikiliza.
Urais hauna ubia Mjomba na ndiyo maana kipindi fulani ata JK alikuwa anasema Urais wake hauna ubia!
Mama Msafiri kaingia nao ubia,nchi inayumba Sasa,tutaelewana baadaye!