wazee wa kanagawa toyota ukiwaeleza gari ya mzungu wanaona unaongea nini sijui, na ukataufuta nao ni sababu mojawapo ya kuogopa gari za mzungu ukikaa pale uyole uone wazambia wazimbabwe na wacongo vitu wanavyopeleka kwao unajisemea kweli wabongo ni waoga sana tatizo hatuna exposure wengi wetu we kila siku Mwenge-Mwananyamala utaielewa vipi bmw na ushazoea kuona passo na ist road!...gari ya mzungu ni the best when it comee to quality & performance....mjapani gari aliyoweza ni cruiser na crown tu mengine hakuna kitu