Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
kuna mademu ni V24.. lazima akupasue mfuko 😁😁😁Hahahahaha unaweza usitoke ndani siku 3 unatubu kwa nini kilichokupata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mademu ni V24.. lazima akupasue mfuko 😁😁😁Hahahahaha unaweza usitoke ndani siku 3 unatubu kwa nini kilichokupata
Sasa hivi hana wa kumuuzia, huwezi kuuza gari engine imekufa.. mwanzo alitaka aniuzie mie nikamuambia hapana sina hela 😀😀😀Hahahahahah ameamua afe nayo kijerumani kama adolf hitler😅
😄😄😄😄 achukue chombo mpyaa kabisa haina shidaaaaChangamkia mzigo huo.
Mtafutie hata GX100 nenda mkavunje🤣
Kuna watu wanapenda kubadilisha magari..kuna wengine wanafanya biashara za magari..Mpaka mtu anafikia maamuzi haya, unahisi atakuwa amekutana na nini..??
Yaani yupo radhi apewe Passo pistoni 3 aachie ndinga kali...
European cars zina wenyewe....siyo za kila mtu...View attachment 2102262
Amuuzie rondoSasa hivi hana wa kumuuzia, huwezi kuuza gari engine imekufa.. mwanzo alitaka aniuzie mie nikamuambia hapana sina hela 😀😀😀
Hahaha zamani hiyo..siku hizi na yeye ameona umuhimu wa vitu complicated..!😄😄😄 Mjapan Ni master wa simplicity,muasisi wa kaizen.Hana haja ya vitu complicated chief.
Balaa zitokuna mademu ni V24.. lazima akupasue mfuko 😁😁😁
kuna mademu ni V24.. lazima akupasue mfuko 😁😁😁
😀😀😀😀 hakuna mtu anahamu na from SingaporeAmuuzie rondo
kila siku lazima uende petrol station 😂😂😂Balaa zito
Sheli na wewe ni kama nguo na mwilikila siku lazima uende petrol station 😂😂😂
Ameshapigwa na kitu kizito huyo😄😄😄Mpaka mtu anafikia maamuzi haya, unahisi atakuwa amekutana na nini..??
Yaani yupo radhi apewe Passo pistoni 3 aachie ndinga kali...
European cars zina wenyewe....siyo za kila mtu...View attachment 2102262
Yawezekana aliambiwa dunia ni kijiji ipo kiganjani..[emoji85][emoji85]kakata tamaa vibaya hapoo.. unakuta anafunga na kuomba ammbariki mtu tatizo [emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu hiyo gari me mwenyewe udenda ulinitoka,Mambo mengine mnayakuza Bure jamani.
Akikuta sensor mbili 4 million ndio anachoka kabisaaaa.. anavuta pumzi huku kajishika kiuno 😀😀😀Yawezekana aliambiwa dunia ni kijiji ipo kiganjani..[emoji85][emoji85]
Akigusa beinya sensor moja tu huko sijui eBay, sijui Alibaba...anachoka kabisaa...
European car is not for everyone..[emoji2960][emoji2960]
jamaa ana shida na gari ana anataka gari.. ndio maana anataka hata kwa exchange.. ukitaka mpima nenda kufanya exchange na BMW ingine hata series 3 uone atavyo ruka 😀😀😀Mkuu hiyo gari me mwenyewe udenda ulinitoka,
....ila lazima huyo jamaa amepigwa na kitu kizito kichwani..[emoji85]
Rejea kauli yake, exchange na gari yoyote......hapo ndiyo pana utata...[emoji28][emoji28]
Ila kwa kweli gari jnaonekana bado mafuta kabisaaa
Inawezekana.......ila kibongo bongo...inatisha...Kuna watu wanapenda kubadilisha magari..kuna wengine wanafanya biashara za magari..
Hii ndo sababu inafanya watu wachache wanaoa madem wazuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna tatizo moja common kwenye engine za BMW.
Kama ukiomba ushauri kwa mtu ambaye amecome across na hizo gari wengi moja ya sababu ambayo atakupa kama sababu ya wewe kuacha kununua hilo gari ni hii…
"Achana na hizo gari zinachemsha sana"
Ni kweli kabisa gari za BMW zinachemsha, Ndio maana siyo kitu cha ajabu ukitembea hapa mjini ukakutana na BMW mtu amepaki pembeni ya barabara na akafungua Bonet.
Na kama zingekuwa nyingi hapa mjini kama toyota basi hicho kitu watu wangekiexperience sana.
Kama mimi mtu akiniomba ushauri anataka kununua BMW used nitamshauri kitu kimoja tu abadilishe water pump.
Engine nyingi BMW zinakuja na Water pump za Umeme. Na watu wengi ambao BMW zinawachemshia sababu kwa asilimia nyingi huwa ni hiyo water pump kuchoka.
View attachment 2100108
Around 120,000Km badili water pump. Japo ni gharama lakini utatembelea sana kabla ya kubadili tena.
Siyo kitu cha ajabu hata kutoa milioni kununua hiyo pump.
Yawezekana aliambiwa dunia ni kijiji ipo kiganjani..[emoji85][emoji85]
Akigusa beinya sensor moja tu huko sijui eBay, sijui Alibaba...anachoka kabisaa...
European car is not for everyone..[emoji2960][emoji2960]
Hii ndo sababu unafanya watu wachache wanaoa madem wazuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu.Yawezekana aliambiwa dunia ni kijiji ipo kiganjani..[emoji85][emoji85]
Akigusa beinya sensor moja tu huko sijui eBay, sijui Alibaba...anachoka kabisaa...
European car is not for everyone..[emoji2960][emoji2960]