Tatizo common kwenye engine za BMW

Tatizo common kwenye engine za BMW

kakata tamaa vibaya hapoo.. unakuta anafunga na kuomba ammbariki mtu tatizo [emoji3][emoji3][emoji3]
Yawezekana aliambiwa dunia ni kijiji ipo kiganjani..[emoji85][emoji85]
Akigusa beinya sensor moja tu huko sijui eBay, sijui Alibaba...anachoka kabisaa...

European car is not for everyone..[emoji2960][emoji2960]
 
Mambo mengine mnayakuza Bure jamani.
Mkuu hiyo gari me mwenyewe udenda ulinitoka,
....ila lazima huyo jamaa amepigwa na kitu kizito kichwani..[emoji85]

Rejea kauli yake, exchange na gari yoyote......hapo ndiyo pana utata...[emoji28][emoji28]

Ila kwa kweli gari jnaonekana bado mafuta kabisaaa
 
Yawezekana aliambiwa dunia ni kijiji ipo kiganjani..[emoji85][emoji85]
Akigusa beinya sensor moja tu huko sijui eBay, sijui Alibaba...anachoka kabisaa...

European car is not for everyone..[emoji2960][emoji2960]
Akikuta sensor mbili 4 million ndio anachoka kabisaaaa.. anavuta pumzi huku kajishika kiuno 😀😀😀
 
Mkuu hiyo gari me mwenyewe udenda ulinitoka,
....ila lazima huyo jamaa amepigwa na kitu kizito kichwani..[emoji85]

Rejea kauli yake, exchange na gari yoyote......hapo ndiyo pana utata...[emoji28][emoji28]

Ila kwa kweli gari jnaonekana bado mafuta kabisaaa
jamaa ana shida na gari ana anataka gari.. ndio maana anataka hata kwa exchange.. ukitaka mpima nenda kufanya exchange na BMW ingine hata series 3 uone atavyo ruka 😀😀😀
 
Kuna tatizo moja common kwenye engine za BMW.

Kama ukiomba ushauri kwa mtu ambaye amecome across na hizo gari wengi moja ya sababu ambayo atakupa kama sababu ya wewe kuacha kununua hilo gari ni hii…

"Achana na hizo gari zinachemsha sana"

Ni kweli kabisa gari za BMW zinachemsha, Ndio maana siyo kitu cha ajabu ukitembea hapa mjini ukakutana na BMW mtu amepaki pembeni ya barabara na akafungua Bonet.

Na kama zingekuwa nyingi hapa mjini kama toyota basi hicho kitu watu wangekiexperience sana.

Kama mimi mtu akiniomba ushauri anataka kununua BMW used nitamshauri kitu kimoja tu abadilishe water pump.

Engine nyingi BMW zinakuja na Water pump za Umeme. Na watu wengi ambao BMW zinawachemshia sababu kwa asilimia nyingi huwa ni hiyo water pump kuchoka.

View attachment 2100108

Around 120,000Km badili water pump. Japo ni gharama lakini utatembelea sana kabla ya kubadili tena.

Siyo kitu cha ajabu hata kutoa milioni kununua hiyo pump.
Hii ndo sababu inafanya watu wachache wanaoa madem wazuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yawezekana aliambiwa dunia ni kijiji ipo kiganjani..[emoji85][emoji85]
Akigusa beinya sensor moja tu huko sijui eBay, sijui Alibaba...anachoka kabisaa...

European car is not for everyone..[emoji2960][emoji2960]

Lakini bei ya baadhi ya sensors huko Ebay na Alibaba wala si gharama sana.

Ambapo kwa Bongo watakuuzia hizohizo za Ebay na Alibaba kwa bei ambayo ni almost 4 au 5 times.

Simply wauza spea wamechangia sana watu kuyakimbia hayo magari.

Imagine spea ya laki 2 uambiwe milioni si utaugua uchizi.
 
Yawezekana aliambiwa dunia ni kijiji ipo kiganjani..[emoji85][emoji85]
Akigusa beinya sensor moja tu huko sijui eBay, sijui Alibaba...anachoka kabisaa...

European car is not for everyone..[emoji2960][emoji2960]
Mkuu.

Mbona bei za sensor sio za kutisha?

Hizo spares nyingine ndo balaa, ila so far, sijawahi kuona sensor yenye bei ya kutisha.
 
Back
Top Bottom