Ni kweli ilikuwa kawaida kwa mujibu wa sheria kwenda kambi nyingine na kulikuwa hakuna tatzo 7bu huwa wanaandikishwa upya hatujui mwaka huu utaratibu ulivyo ila,ni vizuri sana nenda,ulikopangiwaDuh vp nikienda kambi nyngne nackia hawana shda
Makambi yote tz yako maporiniShida nafikaje kambini ya unapiga hadi songea mjini
Asnte kwa ushauriNi kweli ilikuwa kawaida kwa mujibu wa sheria kwenda kambi nyingine na kulikuwa hakuna tatzo 7bu huwa wanaandikishwa upya hatujui mwaka huu utaratibu ulivyo ila,ni vizuri sana nenda,ulikopangiwa
Hiyo kambi ipo songeaMdogo wangu amepelekwa jkt mlale hikambi VIP na unafikaje hapo
Hahahaaahaa[emoji23] unapanda malori yanayoelekea MlaleKwahiyo ukifika pale mjini unasogea porini toa ufafanuzi mzuri mkuu
Mkuu ukifika songea unaelekea wapiHiyo kambi ipo songea
Na ndo nlikopangwa Oh my God[emoji82] [emoji82] [emoji82] [emoji82] [emoji82] [emoji82] [emoji82]Kambi za Kigoma ukitoka unakuwa umeiva maana ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!
Mwache aende,mwaka juzi nilikuwa jkt makutupola intake ya walimu kwa nilivoona sidhani kama unaweza pata hata muda wa kuwaza ngono, ni kazi kwa kwenda mbele ambazo zinaufanya mwili uchoke ,hamu zote za ngono hupati hata kama ungekuwa na nguvu kama za fisi maji,let the lady go for the betterment of her future,who knows tomorrow?Bora achepuke home kuliko kuchepuliwa na maafande na makuruta.
Unapanda gar za kwenda mlale na utashuka mlale getn hapo ndio kambinMkuu ukifika songea unaelekea wapi
Mkuu ulishakwenda nnUnapanda gar za kwenda mlale na utashuka mlale getn hapo ndio kambin
HapanaMkuu ulishakwenda nn
PoaHapana
Nakusisitiza,kama upo poa nenda,kijana kozi yenu ni fupi sana
Sawa nitaangalia kati ya kwenda au kudivert kwenda nyngne yakaribuNakusisitiza,kama upo poa nenda,kijana kozi yenu ni fupi sana
Kwahiyo kunauwezekano wakulala songea mjiniUnapanda gar za kwenda mlale na utashuka mlale getn hapo ndio kambin
Mkuu anatokea wapi???Kwahiyo kunauwezekano wakulala songea mjini