Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Kama watokea dar utafika songea kuanzia saa mbili hadi saa nne usiku lazima ulale songea,mjini 7bu gar za kwenda mlale mwisho saa kumi jionNatokea dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama watokea dar utafika songea kuanzia saa mbili hadi saa nne usiku lazima ulale songea,mjini 7bu gar za kwenda mlale mwisho saa kumi jionNatokea dar
Thanks but noooo,Mwache aende,mwaka juzi nilikuwa jkt makutupola intake ya walimu kwa nilivoona sidhani kama unaweza pata hata muda wa kuwaza ngono, ni kazi kwa kwenda mbele ambazo zinaufanya mwili uchoke ,hamu zote za ngono hupati hata kama ungekuwa na nguvu kama za fisi maji,let the lady go for the betterment of her future,who knows tomorrow?
AsanteKama watokea dar utafika songea kuanzia saa mbili hadi saa nne usiku lazima ulale songea,mjini 7bu gar za kwenda mlale mwisho saa kumi jion
Ahsante mkuu n mm nmepangwa hukohuko KGSi kushauri uendee Tangu jeshi jkt kwenda imeanzishwa kuna wengine huwa wanaahirishiwa kila mwaka so wewe piga dili zako home mm nilipangiwa Kigoma sikwendaaaa hadi leo nipo na maisha yanaenda? Kwani sahizi wote mmpangiwa? Nchi yetu haijajipanga so na wewe usijipange kwendaaa piga dili zako za hela kule sahizi ni kupotezeana mdaa
uamuzi ni wako
Ila haina umuhimu wa kiiivyo
hao serekali wanatoa ajira kiasi gani kwani mpaka uogope kuja kukosa ajira?
Alafukajifunze uwe mkakamavu
Dogo ujue kuwa baada ya mika mitano ijayo, MTU hatapata ajira serikalini kama hajapitia JKT, Nenda tu kijana.Habari wana JF ,
Kuna tatizo gani endapo mtu hatakwenda JKT kwa mujibu wa sheria baada ya kuchaguliwa?
Naombeni ushauri tafadhali
Madhara yake utayaona mbeleni hicho ndoo kitakuwa kikwazo kwenye Mishe za ajira
Usimtishe wala swala la kutokwenda jeshi haliwezi kuwa kikwazo katika ajira.........Dogo ujue kuwa baada ya mika mitano ijayo, MTU hatapata ajira serikalini kama hajapitia JKT, Nenda tu kijana.