Tatizo gani nitapata nisipoenda JKT baada ya kuchaguliwa?

Tatizo gani nitapata nisipoenda JKT baada ya kuchaguliwa?

muende tuu pazuri sana istoshe ni fursa unaweza pata ajira jwtz au police ukipenda ajira ngumu ongeza cv sio gerezani ni mafunzoni kujila lazima na kigoma ni mzika haswa BULOMBORA
Inakuaje labda nitafte ajira jwtz na polisi,mm mwendawazm
 
mimi nasoma kigoma boyz nitafute namb zng ni hz hap 0687437852 ntakusidia kwani nina kaka zangu wanajeshi wapo kwenye hizo kambi
 
mm nilichaguliwa mwaka jana nikachelewa kuripoti je nkienda nitapokelewa? ni mujibu. maramba kj 838
 
Usiende hakuna ishu, mm nilipiga chini full kutesana, now nipo 3rd yr mecha bachelor , na ajira nitapata ,hakuna cha jkt wala nini .....jkt waende watu wa huko mara
 
Ndugu hiyo ni sawa na kuchaguliwa kuudhulia semina flan inakuongezea uwezo na inamaana kubwa katka CV yako watumish waliobaki kazn haina maana Kuwait serikali haiwapendi au haiwajali au hawazi panda cheo
Usimtishe wala swala la kutokwenda jeshi haliwezi kuwa kikwazo katika ajira.........
Hii ni kwasababu, jambo lenyewe la kuwapeleka wahitimu wa kidato cha sita lipo kisanii sana......
Kwa mfano kuna shule moja ipo Manyara ilikuwa na wahitimu 200, ila waliochaguliwa kwenda jeshi ni 10 tu.....Vipi kuhusu hao 190, hawajakataa kwenda ila hawajachaguliwa..
Pia kuna shule nyingine ipo Morogoro ilikuwa na wahitimu 148, lakini waliochaguliwa ni 8 tu..
Vipi hao 140 waliobaki?

Serikali yetu bado haipo makini katika hilo suala, bado hawajaamua, nadhani wakiamua hata suala la bajeti haiwezi kuwa kikwazo, maana ndio kisingizio chao kikubwa....
 
Ndugu hiyo ni sawa na kuchaguliwa kuudhulia semina flan inakuongezea uwezo na inamaana kubwa katka CV yako watumish waliobaki kazn haina maana Kuwait serikali haiwapendi au haiwajali au hawazi panda cheo

Ndio hata hizo semina unazosema ambazo wafanyakazi baadhi huchaguliwa kuhudhuria, kila mara..Kwa mfano walimu, sio kigezo cha wao kupandishwa madaraja, cheo au mshahara
 
Huwa wanaenda kwa awamu mkuu

Acha uongo, ni awamu ipi unayoizungimzia? Tangu walivyoanza kuwapeleka kwa mara ya kwanza kuna vijana waliachwa na mpaka leo wanakaribia kuhitimu chuo kikuu bila kupelekwa......
Sasa kama wale walioachwa kwenye awamu ya kwanza hawajapelekwa, unafikiri watapelekwa lini? Na hawa walioachwa awamu hii watapelekwa lini?

Maoni yangu, Serikali inapaswa kujipanga iache mboyoyo.......Kama kweli wapo makini, waandae bajeti ya kutosha na mazingira ya kuwakimu vijana wote wanaohitimu kidato cha sita bila kuwabagua ili waende jeshi..
Ila wale wenye shida maalumu za kudumu waachwe
 
Kwa ss hautakuwa na shida, ila baadaye itakuwa n lazima uwe umepitia JKT ili upate kazi
Sijui utamlalamikia nani

Labda ajira za majeshi....
Ila nyingine hilo jambo litakuwa gumu sana, labda serikali ibadili mfumo wa kuwapeleka jeshi kwa kuwabagua wahitimu....Yaani iamue kuwapeleka wote kabisa, hapo kidogo inaweza kuingia akilini
 
Acha uongo, ni awamu ipi unayoizungimzia? Tangu walivyoanza kuwapeleka kwa mara ya kwanza kuna vijana waliachwa na mpaka leo wanakaribia kuhitimu chuo kikuu bila kupelekwa......
Sasa kama wale walioachwa kwenye awamu ya kwanza hawajapelekwa, unafikiri watapelekwa lini? Na hawa walioachwa awamu hii watapelekwa lini?

Maoni yangu, Serikali inapaswa kujipanga iache mboyoyo.......Kama kweli wapo makini, waandae bajeti ya kutosha na mazingira ya kuwakimu vijana wote wanaohitimu kidato cha sita bila kuwabagua ili waende jeshi..
Ila wale wenye shida maalumu za kudumu waachwe
Nimesema hivyo maana na mimi ni mmoja wapo kwani kipindi kile cha 2013 mie nilichaguliwa awamu ya 3 kimbi ilikua msange tabora lakini kutokana na mda kubana na tulikua teyari tushaitwa chuo wakatuambia tuandike barua ya kupromise tukimaliza chuo tutaenda and tulifanya hivyo so i hope tukimaliza july and August tutaenda labda kuwe na changes
 
mi mwaka jana sikuenda jkt na nlipangwa vizur tu lakn nlishapanga hata kabla cjamaliza form 6 kuwa jkt sizami hata kwa dawa and right nw nipo chuo na mkopo safi, ila huwez jua kila mtu na bahat yake.
 
Labda ajira za majeshi....
Ila nyingine hilo jambo litakuwa gumu sana, labda serikali ibadili mfumo wa kuwapeleka jeshi kwa kuwabagua wahitimu....Yaani iamue kuwapeleka wote kabisa, hapo kidogo inaweza kuingia akilini

Hii ilikuwaga sheria long time, lazima uwe umepitia JKT kupata kazi serikalini, ndo maana watu woote walikwenda JKT!

Kwa baadae sana wanaweza rudisha hii kitu, ila sio leo ndo maana wanasema kwa kujitolea
 
Dogo mimi nakushauri uende 7bu huwez jua matumizi ya kile cheti cha jkt huko mbeleni halafu hii kozi ni ya lazima,kwa mliochaguliwa



je mm nilichaguliwa mwaka jana pale tanga MARAMBA KJ 838 .nikachelewa kuripoti je nikienda tena nitapokelewa na niende hapo hapo au kambi yoyote ............
......... msaada wakuuu.............
 
Back
Top Bottom