Tatizo gani nitapata nisipoenda JKT baada ya kuchaguliwa?

Tatizo gani nitapata nisipoenda JKT baada ya kuchaguliwa?

Usimtishe wala swala la kutokwenda jeshi haliwezi kuwa kikwazo katika ajira.........
Hii ni kwasababu, jambo lenyewe la kuwapeleka wahitimu wa kidato cha sita lipo kisanii sana......
Kwa mfano kuna shule moja ipo Manyara ilikuwa na wahitimu 200, ila waliochaguliwa kwenda jeshi ni 10 tu.....Vipi kuhusu hao 190, hawajakataa kwenda ila hawajachaguliwa..
Pia kuna shule nyingine ipo Morogoro ilikuwa na wahitimu 148, lakini waliochaguliwa ni 8 tu..
Vipi hao 140 waliobaki?

Serikali yetu bado haipo makini katika hilo suala, bado hawajaamua, nadhani wakiamua hata suala la bajeti haiwezi kuwa kikwazo, maana ndio kisingizio chao kikubwa....
Asante saaana mkuu.....nmekuelewa sana
 
Si kushauri uendee Tangu jeshi jkt kwenda imeanzishwa kuna wengine huwa wanaahirishiwa kila mwaka so wewe piga dili zako home mm nilipangiwa Kigoma sikwendaaaa hadi leo nipo na maisha yanaenda? Kwani sahizi wote mmpangiwa? Nchi yetu haijajipanga so na wewe usijipange kwendaaa piga dili zako za hela kule sahizi ni kupotezeana mdaa
Acha kumpotosha dogo jeshi limeanzishwa tena kwa mujibu wa sheria hata haijapita miaka mi 4 walioenda 2013 now ndo wapo chuo mwaka wa 3
 
Usimtishe wala swala la kutokwenda jeshi haliwezi kuwa kikwazo katika ajira.........
Hii ni kwasababu, jambo lenyewe la kuwapeleka wahitimu wa kidato cha sita lipo kisanii sana......
Kwa mfano kuna shule moja ipo Manyara ilikuwa na wahitimu 200, ila waliochaguliwa kwenda jeshi ni 10 tu.....Vipi kuhusu hao 190, hawajakataa kwenda ila hawajachaguliwa..
Pia kuna shule nyingine ipo Morogoro ilikuwa na wahitimu 148, lakini waliochaguliwa ni 8 tu..
Vipi hao 140 waliobaki?

Serikali yetu bado haipo makini katika hilo suala, bado hawajaamua, nadhani wakiamua hata suala la bajeti haiwezi kuwa kikwazo, maana ndio kisingizio chao kikubwa....
Huwa wanaenda kwa awamu mkuu
 
Sie tuliandika barua ya ku postpone ila tulipromise tutaenda after kumaliza chuo so sijui kama watatukumbuka?
 
Kunatakiwa elimu ya kutosha kwa vijana na hii elimu inatakiwa iwe inatolewa mashuleni kabla ya kumaliza,vinginevyo wataacha kwenda kwenye mafunzo kwa kutokujua umuhimu wake.
 
Nenda bhana. hatutaki tena kupata mawaziri walevi baadae!
 
Nenda maana hakuna ajira ila waweza ingia suma jkt ukawa mlinzi
 
Habari wana JF ,

Kuna tatizo gani endapo mtu hatakwenda JKT kwa mujibu wa sheria baada ya kuchaguliwa?

Naombeni ushauri tafadhali
Kambi yakikuda sana,sisi ndio tuliifungua 2014.
Kuna matunda yakila aina huwezi kufa njaa,lkn bustani zake zipo mbali sana.Mabio nayo nimilimani.

Kuna JKT wakujitolea hawa ndio wasumbufu sana,hakuna shida yamaji kabisa mabomba yamejazana kwenye maanga(mabweni),pia kuna mto kama maji yakikatika mnaenda kuchota sio mbali pia.Tatizo kuna baridi sana,mwezi wa nane mvua huwa zinaanza kunyesha.
 
Dogo ujue kuwa baada ya mika mitano ijayo, MTU hatapata ajira serikalini kama hajapitia JKT, Nenda tu kijana.
Muda wa miaka mitano upi ndugu huo(hakuna kitu km hicho).Sisi tulienda 2014 lkn wapo ambao hawakupangwa kwenda waambiwa wataenda wakimaliza chuo,let say MD anamaliza chuo baada ya miaka mitano.Na pia miaka imeyofata hakuna waliopangwa wore wengine huachwa so unawazungumziaje walio achwa na serikali?.
 
Mtabila kigoma
Mtabila eeeeh ambaaaa!!!

Ngoja nikupe hint za matabila nilikuwa hapo mwaka juzi.

Kamanda: Major GB Kazaula.

Msaidizi: Major TJ Ngailo.

Maafisa:
1.Lt Nyakohanda ng'oncho lusui.
2.Lt AJ Massawe.
3.Lt Sk Mwakyobwe.
4.Lt IT Mwambasi
5 .LT Mtasigwa
6.LT Chiteji (mfupi hivi-halafu ni chief of Military police)

Mazingira:
1 Hamna umeme
2. Ilikuwa camp ya wakimbizi hapo zamani
3.Kuna miti ya matunda ya kutosha(maembe,maparachichi,Ndizi)
4 .Mvua ikinyesha bonge la tope hapa andaa raba ngumu hata pea mbili na rainboot

Kambi ina eneo kubwa saaana yaani kama mtaa kama kariakoo yote ile daaah mpaka moyowosi kule

Nenda na track suit ,usiende na nguo nyeupe ukiwa na nguo nyeusi au kijani ni poa zaidi ,

Tafuta soksi ndefu hata pea mbili halafu uwe na tochi na betri za kutosha

Usibebe nguo nyingi kwani hutozivaa

Shuka ,godoro , blanketi na neti utapewa .
Pamoja na vyombo vya kulia

Kikubwa muhimu usiwe mkaidi yaani legeza moyo utainjoi sana ukijifanya nunda utalala selo ya jeshi.

Waziiiiiiiiiiiiiii[emoji14] haya mzalendo nenda Kule bhana use kuruti kisha uwe serviceman was jeshi

" tinaaa tinanaa mtoto was jeshi tinaa tinaaaaa hongera mwanamaua "×2

Vijana maua popote huchanua twendeniiiii tukaljengee taifaaaa"
 
Poa me nimechaguliwa bulombora-kigoma
muende tuu pazuri sana istoshe ni fursa unaweza pata ajira jwtz au police ukipenda ajira ngumu ongeza cv sio gerezani ni mafunzoni kujila lazima na kigoma ni mzika haswa BULOMBORA
 
Kambi yakikuda sana,sisi ndio tuliifungua 2014.
Kuna matunda yakila aina huwezi kufa njaa,lkn bustani zake zipo mbali sana.Mabio nayo nimilimani.

Kuna JKT wakujitolea hawa ndio wasumbufu sana,hakuna shida yamaji kabisa mabomba yamejazana kwenye maanga(mabweni),pia kuna mto kama maji yakikatika mnaenda kuchota sio mbali pia.Tatizo kuna baridi sana,mwezi wa nane mvua huwa zinaanza kunyesha.
Wewe tulikuwa wote unayoongea ni kweli kabisa wale Wa kujitolea wazinguaji kichizi .

Matunda kibao daaah mpaka unakinai.

Maji yakikatika tunaoga mtoni pale karibu na hosteli za wanawake au kule Juuu kwa bondeni kwenye mabweni ya D,E,F coy

Siku za mwanzo tulikuwa tunaenda bustani juuu kule daaah mbaliiiik kichiziiiii halafu kwa mchakamchaka saaa 11 na nusu.
 
Mtabila eeeeh ambaaaa!!!

Ngoja nikupe hint za matabila nilikuwa hapo mwaka juzi.

Kamanda: Major GB Kazaula.

Msaidizi: Major TJ Ngailo.

Maafisa:
1.Lt Nyakohanda ng'oncho lusui.
2.Lt AJ Massawe.
3.Lt Sk Mwakyobwe.
4.Lt IT Mwambasi
5 .LT Mtasigwa
6.LT Chiteji (mfupi hivi-halafu ni chief of Military police)

Mazingira:
1 Hamna umeme
2. Ilikuwa camp ya wakimbizi hapo zamani
3.Kuna miti ya matunda ya kutosha(maembe,maparachichi,Ndizi)
4 .Mvua ikinyesha bonge la tope hapa andaa raba ngumu hata pea mbili na rainboot

Kambi ina eneo kubwa saaana yaani kama mtaa kama kariakoo yote ile daaah mpaka moyowosi kule

Nenda na track suit ,usiende na nguo nyeupe ukiwa na nguo nyeusi au kijani ni poa zaidi ,

Tafuta soksi ndefu hata pea mbili halafu uwe na tochi na betri za kutosha

Usibebe nguo nyingi kwani hutozivaa

Shuka ,godoro , blanketi na neti utapewa .
Pamoja na vyombo vya kulia

Kikubwa muhimu usiwe mkaidi yaani legeza moyo utainjoi sana ukijifanya nunda utalala selo ya jeshi.

Waziiiiiiiiiiiiiii[emoji14] haya mzalendo nenda Kule bhana use kuruti kisha uwe serviceman was jeshi

" tinaaa tinanaa mtoto was jeshi tinaa tinaaaaa hongera mwanamaua "×2

Vijana maua popote huchanua twendeniiiii tukaljengee taifaaaa"
Duh n vita nn... Ila nmemuona massawe kwenye list,wanyumbani huyo
 
Back
Top Bottom