Tatizo kubwa la kitochi 4G za tigo ni anaganda baada ya matumizi. Nimeambatanisha picha

Tatizo kubwa la kitochi 4G za tigo ni anaganda baada ya matumizi. Nimeambatanisha picha

Nokia 8210 4G, Nokia 5710 express music, 6300 4G
kiongozi nimezicheki hizo simu za nokia ila katika pitapita zangu huko mtandaoni nikakutana na simu kama ulizorecommend inatumia kaiOS pia inaitwa cat B35 nimezutiwa nayo, vipi kuhusu upatikanaji wake(cat B35) kwa dar kama unafahamu chochote? Napenda sana hizi cm za kaiOS nilikuwa natumia smart kitochi cha tig0 kwa miaka 2+ ila sasa naona battery yake imevimba mpaka mfuniko wa cm haufungi tena
 
kiongozi nimezicheki hizo simu za nokia ila katika pitapita zangu huko mtandaoni nikakutana na simu kama ulizorecommend inatumia kaiOS pia inaitwa cat B35 nimezutiwa nayo, vipi kuhusu upatikanaji wake(cat B35) kwa dar kama unafahamu chochote? Napenda sana hizi cm za kaiOS nilikuwa natumia smart kitochi cha tig0 kwa miaka 2+ ila sasa naona battery yake imevimba mpaka mfuniko wa cm haufungi tena
Kaios zote zinafanana mkuu, so experience upande wa software itakua sawa. Hii Cat B35 Ina ram 512MB itasaidia compare na 256MB za smart kitochi.

Ngumu kupata hizo cat hapa kwetu na hata ukipata itakua overpriced. Naziona tu mitandao ya Uingereza ndio bei ipo Chini kama una connection huko.

Alternative yake ni Nokia 800 Tough zinafanana.
 
Kaios zote zinafanana mkuu, so experience upande wa software itakua sawa. Hii Cat B35 Ina ram 512MB itasaidia compare na 256MB za smart kitochi.

Ngumu kupata hizo cat hapa kwetu na hata ukipata itakua overpriced. Naziona tu mitandao ya Uingereza ndio bei ipo Chini kama una connection huko.

Alternative yake ni Nokia 800 Tough zinafanana.
ok powa kiongozi nashukuru kwa feedback
 
Kai os ipo slow, si tu Kitochi cha tigo, Nokia, Jio phone, azumi na wengine pia wana lag za kutosha tu. Pengine hicho chako ni zaidi ila vyengine pia vina matatizo lukuki.
Changu kimeishia kwenye kai os yan vinazingua alafu ni OS YA LINUX sijui tatizo nini aisee
 
Wakuu habari hopefully mko poa!? Nimekutana na hii simu mpya online kutoka vodacom wanayoipromote toka juzi ya " SMART KITOCHI PLUS", kwa mujibu wa vodacom simu hii inauwezo wa kusupport mpaka instagram, tiktok na netflix,nikajaribu kufatilia itakuwa inatumia OS gani, vodacom wanadai ni digitOS 12. Sasa msaada ninaoutaka kutoka kwenu ni mnifahamishe kama mnauelewa wa hii digitOS,je inaweza ikawa inachangamoto yeyote kwa mtumiaji kwasababu ningeni masikioni mwangu? navipi kuhusu applications kwenye appstore zipo za kutosha hasa opera mini which is still missing on kaiOS? Naomba mnisaidie wakuu kwa hili
 
Wakuu habari hopefully mko poa!? Nimekutana na hii simu mpya online kutoka vodacom wanayoipromote toka juzi ya " SMART KITOCHI PLUS", kwa mujibu wa vodacom simu hii inauwezo wa kusupport mpaka instagram, tiktok na netflix,nikajaribu kufatilia itakuwa inatumia OS gani, vodacom wanadai ni digitOS 12. Sasa msaada ninaoutaka kutoka kwenu ni mnifahamishe kama mnauelewa wa hii digitOS,je inaweza ikawa inachangamoto yeyote kwa mtumiaji kwasababu ningeni masikioni mwangu? navipi kuhusu applications kwenye appstore zipo za kutosha hasa opera mini which is still missing on kaiOS? Naomba mnisaidie wakuu kwa hili
Mkuu ndio nasikia kwako, nimejaribu kugoogle Digit ni brand ya simu kama Nokia, Tecno etc., wana hii custom os kwa haraka haraka inaonekana kama ni fork ya Android, ila sina uhakika.

Voda wanauza kiasi gani?

Store nimeona inakuja na 9apps

Kama android tu.
 
Mkuu ndio nasikia kwako, nimejaribu kugoogle Digit ni brand ya simu kama Nokia, Tecno etc., wana hii custom os kwa haraka haraka inaonekana kama ni fork ya Android, ila sina uhakika.

Voda wanauza kiasi gani?

Store nimeona inakuja na 9apps

Kama android tu.
VODACOM wanadai wanaiuza kwa tsh. 60,000 tu, na specification wise inaonekana iko poa kiasi kuliganisha toleo lao la kitochi lililopita , walichoboresha ni ukubwa wa screen sasa ni inch 2.8 pia ni touch screen, pia sasa ram ni 1GB na battery ni 3000 mAH.
 
VODACOM wanadai wanaiuza kwa tsh. 60,000 tu, na specification wise inaonekana iko poa kiasi kuliganisha toleo lao la kitochi lililopita , walichoboresha ni ukubwa wa screen sasa ni inch 2.8 pia ni touch screen, pia sasa ram ni 1GB na battery ni 3000 mAH.
Mkuu inaonekana nzuri sana, naweza nikainunua nitakujulisha.
 
Poa kiongozi tupo pamoja

I believe hizi ndio specification zake Mtk MT6739 ndio soc ina power hio device, Quad core Cortex A53, soc nzuri tu ukiikuta kwenye Tecno pengine ingekugharimu 150-250K.

Kwa bei ya 60K hii simu ni deal zuri sana mkuu, sijajua tu mambo mengine kama build quality, ukaaji chaji na reliability ya software.
 

I believe hizi ndio specification zake Mtk MT6739 ndio soc ina power hio device, Quad core Cortex A53, soc nzuri tu ukiikuta kwenye Tecno pengine ingekugharimu 150-250K.

Kwa bei ya 60K hii simu ni deal zuri sana mkuu, sijajua tu mambo mengine kama build quality, ukaaji chaji na reliability ya software.
mkuu nimeku

I believe hizi ndio specification zake Mtk MT6739 ndio soc ina power hio device, Quad core Cortex A53, soc nzuri tu ukiikuta kwenye Tecno pengine ingekugharimu 150-250K.

Kwa bei ya 60K hii simu ni deal zuri sana mkuu, sijajua tu mambo mengine kama build quality, ukaaji chaji na reliability ya software.
mkuu nilikinunua hicho kisimu toka kama siku 4 au 5 zilizopita nimekifungia tu ndani, kinatumia micro sim card lakini kila nikiweka line haisomi, nimebadilisha line yangu nakuweka line nyingine mbili tofauti still bado tatizo nililelile, nimewacheki voda wameniambia nikirudishe dukani nilipokinunulia kwa msaada zaidi. Nashindwa kuleta mrejesho mzuri kwakua sikukichezea sana baada ya sim cards kukataa kusoma, ila kwa mda niliokitumia screen touch sensitivity iko poa tu, build quality haitofautiani nasmart vitochi vingine, buttons zake zipo zivuri kwakuchat, battery inaonekana ikopoa japo sikuitumia simu sana ila kitendo cha kuitoa battery nakuiweka mara kadhaa wakati naangaika na tatizo la sim card battery haikuonesha kushuka chaji, kuhusu OS no comment kwa sasa japo inaoneka ni light kidogo tofauti na kaios, kwenye kitabu cha matumizi ya simu wameandika "it runs on digitOS based on android latest versions". Ina kuja na app ya "aptoide" kwaajili yadownload applications, sasa sijui kama ina apps nyingi au la. Pia wameandika kwenye kitabu line zote mbili,1&2 zinasoma 4g which am not sure,pia kana uwezo wakuscreen shot.
 

Attachments

  • IMG_0014.jpg
    IMG_0014.jpg
    371.2 KB · Views: 16
  • IMG_0013.jpg
    IMG_0013.jpg
    341.5 KB · Views: 12
  • IMG_0012.jpg
    IMG_0012.jpg
    343.6 KB · Views: 11
  • IMG_0011.jpg
    IMG_0011.jpg
    302.4 KB · Views: 12
  • IMG_0010.jpg
    IMG_0010.jpg
    354.9 KB · Views: 12

I believe hizi ndio specification zake Mtk MT6739 ndio soc ina power hio device, Quad core Cortex A53, soc nzuri tu ukiikuta kwenye Tecno pengine ingekugharimu 150-250K.

Kwa bei ya 60K hii simu ni deal zuri sana mkuu, sijajua tu mambo mengine kama build quality, ukaaji chaji na reliability ya software.
jumatatu nimepanga nikirudishe voda wakakiangalie, kama watanibadilishia wanipe kingine nikianzakukitumia tu nitakupa mrejesho mzuri , ila kama unampango wakununua nakushauri usubiri kwanza mrejesho.
 
jumatatu nimepanga nikirudishe voda wakakiangalie, kama watanibadilishia wanipe kingine nikianzakukitumia tu nitakupa mrejesho mzuri , ila kama unampango wakununua nakushauri usubiri kwanza mrejesho.
Bei gani inauzwa?
 
Back
Top Bottom