Lissu kawakurupusha kutoka usingizini! Halafu nikasikia mjinga mmoja anauliza ana dhambi gani?Wanakumbuka shuka wakati kumekucha wanazuoni kila mwaka wanamaliza vyuo ila ajira hakuna wakati yeye mwenyewe alianzia kwenye ualimu mpaka leo akawa raisi ila mwanadamu ni watu wa kusaha wakishapata na kusahau alikotokea
Mawazo ya KIJAMAA kwa mjima na upuuzi!! Nani amekwambia vyuo vinatoa vyeti kwa wahitimu waliofeli??. Roho mbaya ndio inawasumbua, F.youAnayetakiwa kuajiriwa ni yule aliyefaulu kuanzia daraja la kwanza mpaka la tatu, walimu wengi ni watu waliofeli mitihani, tatizo wanazoa zoa tu. Na pia serikali haiwezi kuajiri kila anayehitimu, mambo mengne ni kudanganyana tuu. Vijana wanatakiwa wawe tuned kupambana na mtaa.
Sekta binafsi inakufa kwa kasi kutokana na utegemezi wa mfumo wa kiuchumi ambao hauendani na sera za taifa.
Nchi yetu kimsingi imejijenga kwa mifumo ya kijamaa but tunataka kuoperate kibepari katika sekta za uchumi. Uchumi wa kijamaa mifumo yake ya sheria inategemea sana maamuzi ya serikali katika kuamua matumizi ya rasilimali vile itaona inapendeza.
Mfano, inawezakana kabisa sekta ya mawasiliano ikawa inafanya vizuri na inaajiri watu vema ila viongozi kwa utashi wao wakaona waipige kodi nyingi hadi inakufa halafu akili zao zikawaelekeza kuwa wawekeze kwenye ujenzi wa barabara kwa kodi zile wamekamua. Vijana wakakosa ajira baada sekta ya mawasiliano kufa halafu wao katika vyombo vya habari wakajisifu na kujinadi kuwa serikali inajenga barabara kwa wingi na hayo ni maendeleo kwa wananchi.
Kimsingi magufuri anasimamia sheria na mfumo uliopo katika taifa letu ambao bungeni hawakuwahi kupoteza muda kuuchambua na kuufanyia marekebisho kuendana na uhalisia.
Taifa likiwa na watu/raia wachache mfumo wa ubepari huwa haufai na unakuwa hauna effects. Katika mazingira hayo ya watu wachache ni rahisi sana kwa mfumo wa ujamaa kufanikiwa sababu serikali inaweza ikauza madini, mafuta, au kutumia pesa za utalii kujenga shule, hospitali, mabarabara hata kuwawekea watu pesa kwenye account kama loyalty ya kuwa raia wa nchi husika.
Ila idadi ya watu inaoongezeka tu, rasilimali pamoja na mapato ya serikali ni chache sana kuweza kuwahudumia hao watu wote na kuwapa mahitaji yao ya msingi. Hivyo inabidi natural process ya balance ifanyike kama kuacha soko liwe huria ili watu wajitengenezee ajira na kuajiri watu, serikali inatabakia kuwa msimamizi wa sheria na usalama wa raia,kucontrol supply ya pesa kwenye mzunguko na kuzuia uhujumu uchumi.
Shida ni moja, wengi wa viongozi wetu hawana elimu nzuri ya sociology, uchumi na history. Hizi principles huwa zinawapa uelewa wa namna jamii ina evolve na kubadilika na kuweza kuprededict the next move.
Kwa bahati mbaya, mh. Dkt J.J.P.M yeye ni mtaalamu wa maswala ya kisayansi na principles zake alizosomea ni issue za vipimo ndio maana unamuona katika utendaji wake anakwenda sana na quantity na qualities. Anachagua watu kwenye ranks zake kwa misingi ya ufaulu darasani na miaka ya kazi na kadhalika. Kwa hali ya kiuchumi tuliyonayo sasa hatuhitaji watu kwa misingi hiyo, tunahitaji uwezo na ubunifu.
Sisi hatuhitaji kuwa na kiongozi mwenye mrundikano wa mavyeti ya GPA za 4.5 na aliyesoma Harvard. Tunataka kiongozi ambaye anajua tuna rasilimali watu wa aina gani, na anaye jua kuhesabu tuna list gani ya rasilimali tunazoweza tumia kwa wakati huu kuleta maendeleo na hapo akaweza kuja na sera nzuri za kutuambia watanzania.
But hizi mbwembwe za kupiga pushapu hazitatutoa hapa tulipo. Na ile hali nguvu kazi ya taifa (vijana) wanazidi kuteketea na kupotea..........
Tukitaka kutoka hapa tulipo, inabidi tuapply mixed economy formation ya uchumi, yaani tukubali kuwa serikali na taasisi binafsi zinatakiwa kufanya kazi kwapamoja. Tuweke sheria kali sana kwa viongozi na wafanyabiashara watakaokuwa wakihujumu serikali kwa faida binafsi, familia na jamaa zao.
Tupunguze muda wa kukaa mashuleni sio vijana wanasoma miaka 21 at least mtu akae shule miaka 12 kutoka vidudu hadi chuo kikuu except for baadhi ya taaluma kama udaktari.
Sera za kifedha za benki kuu zibadilishwe na tubadilishe pia sera na masharti ya kibenki ili kuweka clear and direct flow ya pesa kutoka serikalini hadi kwa raia kurudi serikalini tena.
sijajua lipi alikuwa anaongelea ila hata akisema daraja la kwanza la kidato cha 4 au 6 bado ngumu watu wengi wanasomea ualimu ili wapate mkopo na kwa miaka ya nyuma wapate ajira kwa urahisiMnaongelea daraja la kwanza kwa level ipi?
O-level? Advance? Au Chuo?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
wanaosema hvyo ni vilaza kwa sababu wanasindwa hata kusoma hata kitabu cha TCU kuona wanachukua watu weny alama zipiMawazo ya KIJAMAA kwa mjima na upuuzi!! Nani amekwambia vyuo vinatoa vyeti kwa wahitimu waliofeli??. Roho mbaya ndio inawasumbua, F.you
Aliua wasiokuwa na kazi wote ndio maana hakuwa na hata mmoja asiyekuwa na ajiraHistoria inaonesha kiongozi pekee duniani aliyewahi kuwa na asilimia sifuri (0%) ya wasio na ajira akiwa madarakani ni Adolf Hitler pekee.
Hitra ndo nini? Halafu utasikia mimi siyo kilaza. Unashindwa kuandika neno Hitler!!! Wewe hukusoma, ulisimuliwa tu na waliosoma.Hitra aliajiri kila mtu tena jeshini
Kama ujui vitu nyamaza tangu lini kada ya uwalimu ikasomewa na watu waliofeli hivi unajua sifa za kujiunga na kozi ya uwalimuAnayetakiwa kuajiriwa ni yule aliyefaulu kuanzia daraja la kwanza mpaka la tatu, walimu wengi ni watu waliofeli mitihani, tatizo wanazoa zoa tu. Na pia serikali haiwezi kuajiri kila anayehitimu, mambo mengne ni kudanganyana tuu. Vijana wanatakiwa wawe tuned kupambana na mtaa.
Nikweli alijitahidi mno
Kipindi cha Kikwete Asilimia kubwa waliajiriwa , walimu, wanajeshi , mpaka secta binafsi ziliajiri, unemployment rate ilikuwa ndogo sana na wasomi waliheshimika mtaani na watu waliona umuhimu wa shule.Anayetakiwa kuajiriwa ni yule aliyefaulu kuanzia daraja la kwanza mpaka la tatu, walimu wengi ni watu waliofeli mitihani, tatizo wanazoa zoa tu. Na pia serikali haiwezi kuajiri kila anayehitimu, mambo mengne ni kudanganyana tuu. Vijana wanatakiwa wawe tuned kupambana na mtaa.
Hatakuwi kupewa mitano tenaSerikali iwafanyie mchujo mkali wa interview na wachukue walimu waliopata division one form six, bila hivo wataajiri magarasa, pia awamu hii ijifunze kwa Jakaya ilikuwaje miaka yake kumi wote waliosoma ualimu walipata kazi, pamoja na madaktari, nurses iweje awamu hii ishindikanike, pia why sector binafsi inakufa Sana kuliko wakati wote,?
Nadhani hizi nafasi kazi watakuwa wameomba na walioko makazini hasa walio shule za private ndio maana inaonekana waombaji ni wengiHii ni ishara kuwa tatizo la ajira Tanzania ni kubwa sana.
Kati ya nafasi za ajira ya ualimu wa shule za msingi & sekondari 13,000 zilizotangazwa na serikali ikiwa ni kumjibu mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA ndugu, Tundu Lissu, takwimu zinaonesha kuwa mpaka kufikia leo Jumatatu tarehe 14.09.2020 feeder ilikuwa imeshapokea jumla ya maombi 80,000+!
Sijui itakuwaje tu kwa vijana hawa watakaoachwa.
Solution kubwa ya tatizo la ajira hapa nchini kwetu ni kwa serikali kutengeneza mazingira ya watu kuweza kujiajiri, kuilea na kuikuza sekta binafsi kwa sababu kwa vipimo vyote, serikali haiwezi na haina uwezo wa kuajiri watu wote wenye sifa za kuajirika. Hili katika sekta ya elimu linaithibitisha hoja hii.
Inasikitisha kuwa, tangu kuingia madarakani kwa ndugu John Pombe Magufuli 2015, ameitibua tibua sana sekta binafsi kiasi ambacho imetema watu wengi toka kwenye ajira rasmi na yenyewe kudorora kwa kiasi kikubwa.
Matokeo ya Sera za CCM ya Magufuli ni haya. Sasa hawa ni vijana wa taaluma ya ualimu tu waliozagaa mitaani.
Hatujui ni madaktari, manesi, wahasibu, wanasheria, wahandisi nk. Wangapi wamezagaa mitaani bila msaada wowote wa serikali kuwawezesha waajirike au wajiajiri.
Mzee Edward Ngiyai Lowassa kuna wakati fulani alionya kuwa, tatizo la ajira kwa vijana ni BOMU KUBWA linalosubiri kulipuka.
Kapige kura umchague Tundu Lissu akupe ajiraKipindi cha Kikwete Asilimia kubwa waliajiriwa , walimu, wanajeshi , mpaka secta binafsi ziliajiri, unemployment rate ilikuwa ndogo sana na wasomi waliheshimika mtaani na watu waliona umuhimu wa shule.
Tokea elfu mbili na kumi na tano mpaka sasa ajira hamna.
We mwenyewe umeajiriwa na wakisema unafukuzwa kazi unaweza ukafa hata kwa pressure. afu unasema vijana wapambane mtaaniAnayetakiwa kuajiriwa ni yule aliyefaulu kuanzia daraja la kwanza mpaka la tatu, walimu wengi ni watu waliofeli mitihani, tatizo wanazoa zoa tu. Na pia serikali haiwezi kuajiri kila anayehitimu, mambo mengne ni kudanganyana tuu. Vijana wanatakiwa wawe tuned kupambana na mtaa.
Inaskitisha sanaHii ni ishara kuwa tatizo la ajira Tanzania ni kubwa sana.
Kati ya nafasi za ajira ya ualimu wa shule za msingi & sekondari 13,000 zilizotangazwa na serikali ikiwa ni kumjibu mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA ndugu, Tundu Lissu, takwimu zinaonesha kuwa mpaka kufikia leo Jumatatu tarehe 14.09.2020 feeder ilikuwa imeshapokea jumla ya maombi 80,000+!
Sijui itakuwaje tu kwa vijana hawa watakaoachwa.
Solution kubwa ya tatizo la ajira hapa nchini kwetu ni kwa serikali kutengeneza mazingira ya watu kuweza kujiajiri, kuilea na kuikuza sekta binafsi kwa sababu kwa vipimo vyote, serikali haiwezi na haina uwezo wa kuajiri watu wote wenye sifa za kuajirika. Hili katika sekta ya elimu linaithibitisha hoja hii.
Inasikitisha kuwa, tangu kuingia madarakani kwa ndugu John Pombe Magufuli 2015, ameitibua tibua sana sekta binafsi kiasi ambacho imetema watu wengi toka kwenye ajira rasmi na yenyewe kudorora kwa kiasi kikubwa.
Matokeo ya Sera za CCM ya Magufuli ni haya. Sasa hawa ni vijana wa taaluma ya ualimu tu waliozagaa mitaani.
Hatujui ni madaktari, manesi, wahasibu, wanasheria, wahandisi nk. Wangapi wamezagaa mitaani bila msaada wowote wa serikali kuwawezesha waajirike au wajiajiri.
Mzee Edward Ngiyai Lowassa kuna wakati fulani alionya kuwa, tatizo la ajira kwa vijana ni BOMU KUBWA linalosubiri kulipuka.
Huu ni uongo uliokubuu, nani aliyeachwa kwa kukosa sifaAnayetakiwa kuajiriwa ni yule aliyefaulu kuanzia daraja la kwanza mpaka la tatu, walimu wengi ni watu waliofeli mitihani, tatizo wanazoa zoa tu. Na pia serikali haiwezi kuajiri kila anayehitimu, mambo mengne ni kudanganyana tuu. Vijana wanatakiwa wawe tuned kupambana na mtaa.
Mzee Joni ukimwangalia kwa jicho la tatu, utabaini kuwa anataka kupunguza ukubwa wa tarakimu kwenye payroll. Kumtaka aajiri ni kumpeleka kinyume na malengo yake.Muheshimiwa kafeli kalimbikiza mno, sasa inakuwa tabu sasa.
Ona sasa tunavyofeli!