Tatizo la ajira Tanzania: Nafasi za Ajira ya Ualimu 13,000, waliotuma maombi kuziomba wafikia 80,000+ hadi leo!

Huu ni uongo uliokubuu, nani aliyeachwa kwa kukosa sifa
Walimu wengi ni failure , na ndo mana hawawez uzika kwenye private skul , mtu kapata div 4 , akasoma grade A anaweza vip fundisha English medium school , English alipata D near to F, ..... Hz papara alianza mkapa , akaja Kikwete , walitengeneza tatizo kubwa Sana , Nyerere Ali keep holding kuwa mda ukifika watu watajaa Tu tena wenye sifa , mkapa na kikwete wakawa wa kuzoa zoa, sa hv shule za private wanaofundisha ni vijana walioscore div 1&2 form four and div 1&2 form six wakisubir kwenda chuo ..... Walimu Weng hawana sifa za kuwa walimu
 
Bagambile bagambile
 

Asante kwa mchango wako wa mawazo...

Hata hivyo, umenisoma vizuri na kunielewa kweli?

Hapa is not about nani kafaulu sana. Ni mpango wa serikali kuhakikisha kuwa ina nurture mazingira ya watu kujiajiri huko unakoita "kitaa"...

Mfano hivyo viwanda 100 kila mkoa viko wapi? Mbona tatizo la unemployment ni kubwa sana?

Je, ni kweli kuwa kwa takwimu za serikali watu 8,000,000 wameajiriwa na sekta ya viwanda ndani ya miaka 5 ya Magufuli?

Serikali inafanya nini kuki - promote kilimo ambayo ndiyo sekta inayoajiri zaidi ya 75% ya wananchi?

Kilimo siyo ishu ya kuwa na ardhi kubwa tu. Ni ishu ya namna gani kunakuwa na mazingira rahisi kwa kila mtu ku - exploit kilichomo ndani na juu ya ardhi hiyo...

Yaani Sera ya umiliki ardhi ni favourable kwa kiasi gani kwa kila mtu wakiwemo vijana hawa?

Je, unajua kuwa ni 15% ya watanzania ndiyo wanamiliki ardhi tena wakiwemo viongozi wa serikali na CCM peke yao??

Una maoni gani kwenye hili?
 

Nisome hapo juu post #63👆 👆👆

Hata aliyefeli anastahili kuishi na kujipatia kipato...

Jaribu kupanua ufahamu wako unapo argue juu ya hoja hii...

Don't be too judgemental...
 
Serikali ina shule za English medium? unaongelea walimu wapi hao? walimu wanaoongelewa hapa ni wa degree.
 
Hao wote wana qualify kuwa walimu wala sio uongo.

Awamu ya 5 imeharibu mifumo..

Ajira pekee iliyo baki kwa vijana ni bodaboda.
 
Serikali ina shule za English medium? unaongelea walimu wapi hao? walimu wanaoongelewa hapa ni wa degree.
Mkuu walimu wa degree hawafikii 80000 ambao hawana ajira , 2015 &2016 walimu wa degree science wote waliajiriwa , 2017 wachache pia waliajiriwa,....walimu wa degree art kuanzia 2015 up to date hawafikii 20000 , the rest ni grade A na diploma watu ambao ni totaly incompetent
 
Aiseeeeeee. Mkuu hakuna kijana mwenye digrii ambae ana chini ya daraja la kwanza mpaka la tatu.

Kumbuka pia hao 80+ ni watu wenye muingiliano na mtandao na wana namba za nida


Huku hali si shwari
 
Una maanisha nini? Hivi kwa nini watu wanakuwa na mtazamo hasi kuwa walimu ni watu walioshindwa kufanya vizuri katika mitihani yao! Hili jambo si sahihi kabisa
Basi ni kweli hao walimu walifeli


Vipi
Madaktari wameajiriwa?
Wahandisi wameajiriwa?
Wanasheria wameajiriwa?
Mabwana mifugo wameajiriwa?
Wahasibu wameajiriwa?
Wakufunzi wameajiriwa?
Wa mipango wameajiriwa?
Marubani wameajiriwa?
N. K




Au na hao ni vilaza kama walimu
 
Aiseeeeeee. Mkuu hakuna kijana mwenye digrii ambae ana chini ya daraja la kwanza mpaka la tatu.

Kumbuka pia hao 80+ ni watu wenye muingiliano na mtandao na wana namba za nida


Huku hali si shwari
Walimu wa degree hawafikii 80000 hyo number ni Grade A & diploma combined together, walimu wa degree hawazidi 20000 from 2015 up to date ambao hawana ajira, Kwa science 2015, 2016 wote waliajiriwa na 2017 baadhi..
 
Taarifa huna unakisia kisia tu
Mara ya mwisho ajira kutoka kulikua na maombi 80000
 

We jamaa umeniua mbavu! Kwamba majuto ni mwijukulu! 😂😂
 
Maana ya waombaji wengi hivi ni kuwa wahitimu wetu ni wengi sana kuliko soko la ajira. Kwa hali kama hii, si maendeleo pale ufauli unapokuwa zaidi labda ya 90% wakati hao wahitimu hakuna pa kuwapeleka.

Lingekuwa jambo bora na afya kwa uchumi wetu endapo idadi kubwa ya wahitimu wa O'Level wangeingizwa kwenye vyuo vya VETA badala ya kuwapeleka Form V na Vyuo vikuu. Nadhani nchi ya Sweden watu wao wengi wameishia kwenye VOCATIONAL TRAINING
 
wanasikia kijiwen hana uthibitisho
 
Kuna zaidi ya hao,. Kura zote hizo nikwa Lissu
 
Hapo sawa mkuu
Walimu wa degree pekee hawafiki 30000
 
Changamoto ya upatikanaji wa ajira ni ya dunia nzima na si Tanzania pekee kama ambavyo unataka kuaminisha watu.
 
Kapige kura umchague Tundu Lissu akupe ajira
Eeh napo nitampigia kura Tundu Lissu . Hata kama asipo nipa ajira , hii nchi ni ya watanzania wote, mmefeli vya kutosha tunahitaji mtu mwingine sasa.
 
Walimu wa degree hawafikii 80000 hyo number ni Grade A & diploma combined together, walimu wa degree hawazidi 20000 from 2015 up to date ambao hawana ajira, Kwa science 2015, 2016 wote waliajiriwa na 2017 baadhi..
Mzee umeandika uongo uliokomaa
Siyo kweli kwamba walimu wote wa sayansi waliomaliza 2016 wameajiriwa.
Unless hauna details na unacho kiandika hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…