JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
- #21
KaribuAsante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuAsante sana
Nina 1g-Fe ilichemsha inanitesa cos nipo mkoani thank God nimeanza likizo nalikokota hadi Ilala nifunge cylinder head nyingine.
Shukrani mkuu.Barikiwe sana
Mkuu umemuokoa jamaa yangu saana.... ulichokielezea ndio exactly kilichokuwa kinaendelea kwene IST ya jamaa yangu.
Nilochofanya ni nilichukua coil spark za kwenye gari yangu nikahamishia kwenye yake na hapo hapo hili tatizo kwenye gari yake likaisha
Kesho anaamkia kwa wachinjaji wa spea za japan achukue coil spark zake maana tumepin-point tatizo kupitia huu uzi.
Tutakutumia chochote tukipata namba yako, kwa sasa tunasema AHSANTE SANA..
ThanksKula like za kutosha
Shukrani sana Mkuu....Jamaa utakuja kuwa fundi mkubwa sana bongo, de facto authority wa issues za magari.
Endelea kwenye mrengo huo
Kumbe na TOYOTA nazo huaribika?...kuna watu ukiwaambia kuwa toyota nazo huchoka na kuharibika, wanatamani kukumeza.
BTW, umesaidia mafundi wengi sana na hii solution.
Keep it up!
Japo hapa umewachokoza Wajapani wa JF😃😃😃 nadhani watakuwa kwenye kikao sasa hivi kabla waje wakupige vita moja safi.Kumbe na TOYOTA nazo huaribika?...kuna watu ukiwaambia kuwa toyota nazo huchoka na kuharibika, wanatamani kukumeza.
BTW, umesaidia mafundi wengi sana na hii solution.
Keep it up!
Pamoja mkuuMk
Mkuu unaupiga Mwingi sana, Big Up
Ahsante sana, kumbe nilikuwa naangamizwa bure
Ignition coil za IST ukiwa na 30k kwa Dar una uhakika wa kupata. Hiyo ni bei ya moja tena used.Mkuu hizo Coil Spark gharama yake sh ngapi?
Speedometer kutokusoma kuna mambo kadhaa.Mkuu asante kwa madini yako, me naomba kuuliza hiv; gari yangu mshale wa speedmeter sometimes hautembei tatizo linaweza kuwa nini mkuu
Asante sana mkuuSpeedometer kutokusoma kuna mambo kadhaa.
1. Speedometer yenyewe kuwa kimeo
2. Vehicle Speed sensor hii inakuwa kwenye gearbox.
3. Wiring za kimojawapo au vyote hapo juu.
hehehee mi mwenyewe mjapani, lakini tabia ya wajapani wenzangu wa toyota kuona brand nyingine hazifai, huwa sikubaliani nayoJapo hapa umewachokoza Wajapani wa JF😃😃😃 nadhani watakuwa kwenye kikao sasa hivi kabla waje wakupige vita moja safi.
jionin ya leo umoja wetu wa TOTA tuna kikao kujadili hii kauli ,Kumbe na TOYOTA nazo huaribika?...kuna watu ukiwaambia kuwa toyota nazo huchoka na kuharibika, wanatamani kukumeza.
BTW, umesaidia mafundi wengi sana na hii solution.
Keep it up!
Hehehehee mkafanyie ilala pale, maana mafundi wale wakiona toyota wanajua ndio gari...nyingine utasikia umeme mwingijionin ya leo umoja wetu wa TOTA tuna kikao kujadili hii kauli ,
mkuu , tunajiorganize tunakutana temeke kwenye bustaniHehehehee mkafanyie ilala pale, maana mafundi wale wakiona toyota wanajua ndio gari...nyingine utasikia umeme mwingi
Chonde chonde msimfanye vibaya huyo ndugu yenu. 😂jionin ya leo umoja wetu wa TOTA tuna kikao kujadili hii kauli ,
Aangalie tu waya wa ABS, akifungua tairi ya mbele atauona pengine umechubuka au umekatikaSpeedometer kutokusoma kuna mambo kadhaa.
1. Speedometer yenyewe kuwa kimeo
2. Vehicle Speed sensor hii inakuwa kwenye gearbox.
3. Wiring za kimojawapo au vyote hapo juu.