JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
- #41
Speedometer haisomei kwenye ABSAangalie tu waya wa ABS, akifungua tairi ya mbele atauona pengine umechubuka au umekatika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Speedometer haisomei kwenye ABSAangalie tu waya wa ABS, akifungua tairi ya mbele atauona pengine umechubuka au umekatika
nafikiri ABS ni system ya parking brake,haina mahusiano na speedometer..Aangalie tu waya wa ABS, akifungua tairi ya mbele atauona pengine umechubuka au umekatika
nafikiri ABS ni system ya parking brake,haina mahusiano na speedometer..
Mkuu umenisaidia Sana ...premio yangu fuel gauge haipandi (mshale) sijui shida ni nn?Speedometer kutokusoma kuna mambo kadhaa.
1. Speedometer yenyewe kuwa kimeo
2. Vehicle Speed sensor hii inakuwa kwenye gearbox.
3. Wiring za kimojawapo au vyote hapo juu.
Njoo inbox nkupe noMkuu umemuokoa jamaa yangu saana.... ulichokielezea ndio exactly kilichokuwa kinaendelea kwene IST ya jamaa yangu.
Nilochofanya ni nilichukua coil spark za kwenye gari yangu nikahamishia kwenye yake na hapo hapo hili tatizo kwenye gari yake likaisha
Kesho anaamkia kwa wachinjaji wa spea za japan achukue coil spark zake maana tumepin-point tatizo kupitia huu uzi.
Tutakutumia chochote tukipata namba yako, kwa sasa tunasema AHSANTE SANA..
Mkuu umenisaidia Sana ...premio yangu fuel gauge haipandi (mshale) sijui shida ni nn?
Dashboard au fuel gauge yenyewe imezingua.Mkuu umenisaidia Sana ...premio yangu fuel gauge haipandi (mshale) sijui shida ni nn?
Kwahiyo fundi aangalie nn?Dashboard au fuel gauge yenyewe imezingua.
Aangalie hizo sehemu mbili akianza na gauge iliyopo kwenye tank..Kwahiyo fundi aangalie nn?
Umekuwa msaada Sana bossAangalie hizo sehemu mbili akianza na gauge iliyopo kwenye tank..
Coil moja huwa kati ya 30-35k so kwa zote utapiga mara 4 gharama lazma ije kati ya 120-140KMkuu hizo Coil Spark gharama yake sh ngapi?
Yangu ni ya Digital mkuu nayo inasoma ndivyo sivyo. Yani mafuta yakiwa mengi kama half tank au zaidi inasoma vizuri. Yakishuka kuanzia 3 bars inaanza kunipa false readings, inashuka na kubakia bar moja kisha utatembelea gari ukija shtuka limekata mafuta tu wakati bar inaonekana moja haiendi kuwa empty kabisa wakati zamani haikuwa hivyo.Dashboard au fuel gauge yenyewe imezingua.
Kama gari inawasha Check engine lazima ukipima ikuoneshe shida ni nini....Mkuu samahani mimi nina Subaru Impreza haimalizi les inaishia kwenye 3 inarudi chini lkn kwenye machine mafundi waliangalia hakuna tatzo na kwa unaweza tembea safari ya kawaida ikakuwashia taa ya check injini lkn pia juzi limeanza kuchemsha na kukausha maji ingawa limeenda jana safari ya km400 Je tatzo ni hilo hilo coil au kuna tatzo jingine?
Yangu ni ya Digital mkuu nayo inasoma ndivyo sivyo. Yani mafuta yakiwa mengi kama half tank au zaidi inasoma vizuri. Yakishuka kuanzia 3 bars inaanza kunipa false readings, inashuka na kubakia bar moja kisha utatembelea gari ukija shtuka limekata mafuta tu wakati bar inaonekana moja haiendi kuwa empty kabisa wakati zamani haikuwa hivyo.
So yakishapungua Bar 3 huwa naendesha gari kwa wasiwasi kama ya wizi vile kila nikipita karibu na sheli nalazimika niweke kukwepa fedhea ya kuzimikiwa na gari ila kimsingi yanakuwepo mengi kwenye tank.
Ukiongeza utashangaa yamepanda yanasoma bar 3
Hivi mkuu gari ikiwa inabadili gia unapokanyaga mafuta inatetemeka shida yaweza kuwa nini? Sometimes unakanyaga sana rpm ikipanda ghafla inatetemeka.Fuel gauge za digital zinapitia kwenye control box, Nimeshaona kwa gari kama Vitz.
Sometimes ishu huwa inakuwa complicated.