Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota

Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota

Mkuu umemuokoa jamaa yangu saana.... ulichokielezea ndio exactly kilichokuwa kinaendelea kwene IST ya jamaa yangu.

Nilochofanya ni nilichukua coil spark za kwenye gari yangu nikahamishia kwenye yake na hapo hapo hili tatizo kwenye gari yake likaisha

Kesho anaamkia kwa wachinjaji wa spea za japan achukue coil spark zake maana tumepin-point tatizo kupitia huu uzi.

Tutakutumia chochote tukipata namba yako, kwa sasa tunasema AHSANTE SANA..
Njoo inbox nkupe no
 
Dashboard au fuel gauge yenyewe imezingua.
Yangu ni ya Digital mkuu nayo inasoma ndivyo sivyo. Yani mafuta yakiwa mengi kama half tank au zaidi inasoma vizuri. Yakishuka kuanzia 3 bars inaanza kunipa false readings, inashuka na kubakia bar moja kisha utatembelea gari ukija shtuka limekata mafuta tu wakati bar inaonekana moja haiendi kuwa empty kabisa wakati zamani haikuwa hivyo.

So yakishapungua Bar 3 huwa naendesha gari kwa wasiwasi kama ya wizi vile kila nikipita karibu na sheli nalazimika niweke kukwepa fedhea ya kuzimikiwa na gari ila kimsingi yanakuwepo mengi kwenye tank.

Ukiongeza utashangaa yamepanda yanasoma bar 3
 
Mkuu samahani mimi nina Subaru Impreza haimalizi les inaishia kwenye 3 inarudi chini lkn kwenye machine mafundi waliangalia hakuna tatzo na kwa unaweza tembea safari ya kawaida ikakuwashia taa ya check injini lkn pia juzi limeanza kuchemsha na kukausha maji ingawa limeenda jana safari ya km400 Je tatzo ni hilo hilo coil au kuna tatzo jingine?
 
subiri fundi maiko aje hapa.
yeye ashamwambia mwenye gari kwamba miss ya isuzu ndio mbovu inabidi iagizwe nairobi.
we unakuja hapa kusema ignition coil
 
Mkuu samahani mimi nina Subaru Impreza haimalizi les inaishia kwenye 3 inarudi chini lkn kwenye machine mafundi waliangalia hakuna tatzo na kwa unaweza tembea safari ya kawaida ikakuwashia taa ya check injini lkn pia juzi limeanza kuchemsha na kukausha maji ingawa limeenda jana safari ya km400 Je tatzo ni hilo hilo coil au kuna tatzo jingine?
Kama gari inawasha Check engine lazima ukipima ikuoneshe shida ni nini....

Nasisitiza, Ni lazima.

Hiyo ndo sehemu yq kuanzia.
 
Yangu ni ya Digital mkuu nayo inasoma ndivyo sivyo. Yani mafuta yakiwa mengi kama half tank au zaidi inasoma vizuri. Yakishuka kuanzia 3 bars inaanza kunipa false readings, inashuka na kubakia bar moja kisha utatembelea gari ukija shtuka limekata mafuta tu wakati bar inaonekana moja haiendi kuwa empty kabisa wakati zamani haikuwa hivyo.

So yakishapungua Bar 3 huwa naendesha gari kwa wasiwasi kama ya wizi vile kila nikipita karibu na sheli nalazimika niweke kukwepa fedhea ya kuzimikiwa na gari ila kimsingi yanakuwepo mengi kwenye tank.

Ukiongeza utashangaa yamepanda yanasoma bar 3

Fuel gauge za digital zinapitia kwenye control box, Nimeshaona kwa gari kama Vitz.

Sometimes ishu huwa inakuwa complicated.
 
Back
Top Bottom