Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota

Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota

JituMirabaMinne kuna uzi nilichukua namba yako tukawasiliana nikakueleza tatizo la gari yangu na ukaniambia ni starter

Nilifuata ushauri huo na nimetibu ugonjwa kabisa.

Niliupoteza ule uzi na kwa bahati mbaya nilishindwa kusearch jina lako kwa usahihi mpaka kulipata

Ubarikiwe sana ndugu
Pamoja sana Ndugu.
 
Gari yangu ni 1ZZ 1790 CC
Kuna muda nilifanya Service Nikabadili spark plugs na Air cleaner sababu ulaji wa mafuta uliongezeka sana, kwa sasa inaenda wastani wa 8Km hadi 9Km urban...natakiwa nifanyeje maana naona bado haiperform vzuri kwenye wese.

Na kitu cha 2 ni kwamba, kuna wakati nikiwa Road, naweza nikakanyaga pedal ya mafuta lakini gari inakuwa nzito kuchanganya yaani mpaka nakanyaga kwa nguvu lakini wapi...baada ya few seconds ndo inacatch ule mwendo na kuongeza speed ghafla...tatizo linaweza kuwa nini?

N.B hakula warning sign yoyote kwenye dashboard
 
Gari yangu ni 1ZZ 1790 CC
Kuna muda nilifanya Service Nikabadili spark plugs na Air cleaner sababu ulaji wa mafuta uliongezeka sana, kwa sasa inaenda wastani wa 8Km hadi 9Km urban...natakiwa nifanyeje maana naona bado haiperform vzuri kwenye wese.

Na kitu cha 2 ni kwamba, kuna wakati nikiwa Road, naweza nikakanyaga pedal ya mafuta lakini gari inakuwa nzito kuchanganya yaani mpaka nakanyaga kwa nguvu lakini wapi...baada ya few seconds ndo inacatch ule mwendo na kuongeza speed ghafla...tatizo linaweza kuwa nini?

N.B hakula warning sign yoyote kwenye dashboard
Carburetor tatizo
 
Aangalie tu waya wa ABS, akifungua tairi ya mbele atauona pengine umechubuka au umekatika
Boss samahani mimi nina R4 huwa inawasha taa ya ABS mara inazima,kwa sasa imeacha,je ilikuwa nini hiyo?
 
Yangu ni ya Digital mkuu nayo inasoma ndivyo sivyo. Yani mafuta yakiwa mengi kama half tank au zaidi inasoma vizuri. Yakishuka kuanzia 3 bars inaanza kunipa false readings, inashuka na kubakia bar moja kisha utatembelea gari ukija shtuka limekata mafuta tu wakati bar inaonekana moja haiendi kuwa empty kabisa wakati zamani haikuwa hivyo.

So yakishapungua Bar 3 huwa naendesha gari kwa wasiwasi kama ya wizi vile kila nikipita karibu na sheli nalazimika niweke kukwepa fedhea ya kuzimikiwa na gari ila kimsingi yanakuwepo mengi kwenye tank.

Ukiongeza utashangaa yamepanda yanasoma bar 3
Fedhea ya kuzimikiwa gari kwa sababu ya mafuta ni mbaya ,[emoji23]
 
JamiiForums




Gari kupiga resi na kupandisha RPM ukiweka Parking na Neutral​

Watch
•••
[IMG alt="Jum Records"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/233/233019.jpg?1586087855[/IMG]

Jum Records

JF-Expert Member​

Wakuu kuna gari Toyota Ist cc 1290, jumamosi iliyopita imeanza tabia ya kujipiga resi na kupandish RPM hadi 2 ukiwa unapark baada ya mizunguko na kuweka P ama ukiamua kuweka N neutral.

Ukiwa unaendesha gari inakua haina shida ila shida tu ukipark.

Nimejaribu kwenda kwa fundi na akasafisha kwa ile spray ile inayoruhusu hewa na mafuta throttle sijui kama nimepatia lakin tatizo limepungua kidogo ila bado lipo kwa 60%

Nini kifanyike?

Thanks Quote Reply
Report

[IMG alt="Zamaulid"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/16/16111.jpg?1428728711[/IMG]

Zamaulid

JF-Expert Member​


Mkuu niletee kazi hiyo, nipo Gongolamboto

Thanks Quote Reply
Report
Reactions:PureView zeiss
[IMG alt="Jum Records"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/233/233019.jpg?1586087855[/IMG]

Jum Records

JF-Expert Member​


Mkuu ungetoa ushauri ungenisaidia mkuu...

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Von_Lufuta"]https://www.jamiiforums.com/styles/bannedavatar/avatar_banned_m.png[/IMG]

Von_Lufuta

JF-Expert Member​


Nikinunua gari likapata shida hii nitarudi kucomment hapa

Thanks Quote Reply
Report
Reactions:Jum Records
[IMG alt="Jum Records"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/233/233019.jpg?1586087855[/IMG]

Jum Records

JF-Expert Member​

JituMirabaMinne Jitumirabaminne

Thanks Quote Reply
Report

[IMG alt="profesawaaganojipya"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/285/285763.jpg?1656698494[/IMG]

profesawaaganojipya

JF-Expert Member​


mkuu toa ushauri wa kitaalamu ili,ukubalike kwa point zako,baada ya hapo tutakuja tu kijiweni kwako,mbona JituMirabaMinne tumemkubali kwa ushauri wake na anapata kazi nyingi..

Thanks Quote Reply
Report
Reactions:lupacha kifaluhande and Zamaulid
[IMG alt="Zamaulid"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/16/16111.jpg?1428728711[/IMG]

Zamaulid

JF-Expert Member​


Nimekuelewa

Thanks Quote Reply
Report
Reactions:profesawaaganojipya
[IMG alt="profesawaaganojipya"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/285/285763.jpg?1656698494[/IMG]

profesawaaganojipya

JF-Expert Member​


mimi siyo mtaalam,ila nime google tu.
IMG_20230605_163201.jpg

IMG_20230605_163201.jpg

IMG_20230605_163128.jpg

IMG_20230605_163048.jpg


Attachments​

  • IMG_20230605_163228.jpg
    IMG_20230605_163228.jpg
    160.5 KB · Views: 11
  • IMG_20230605_163128.jpg
    IMG_20230605_163128.jpg
    161 KB · Views: 10
Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="profesawaaganojipya"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/285/285763.jpg?1656698494[/IMG]

profesawaaganojipya

JF-Expert Member​


nimeendelea ku google nikaona na picha zake,cjui kama inaweza saidia mafundi kutufafanulia kwa undani.
IMG_20230606_034647.jpg

IMG_20230606_034733.jpg


Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Tabutupu"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/32/32534.jpg?1621076704[/IMG]

Tabutupu

JF-Expert Member​


Mzee umepatia, mwenyewe nilikua na shida kama hii kwenye LC120, fundi akafungua kadude akakasafisha na dawa anaijua mwenyewe, RPM inakua below 1 hata nikiweka P.

Thanks Quote Reply
Report

[IMG alt="profesawaaganojipya"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/285/285763.jpg?1656698494[/IMG]

profesawaaganojipya

JF-Expert Member​


fundi wa wapi mkuu,na alikuchaji sh ngapi mkuu..

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="new generation"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/74/74043.jpg?1637501561[/IMG]

new generation

JF-Expert Member​


pole mkuu.. IST inatumia throttle body mechanical ambayo inaendeshwa na cable.. but kwa ist because of design ya throttle body, kuna valve nyingine pembeni ya throttle body inayokuwa inawekwa kwa ajili ya ku control idle speed ya engine (silencer) hiyo valve inaitwa idle control valve.. ndan inakua ni valve (electric driven) inayo control kiwango cha hewa kuingia ndani ya injini pindi engine inapokua at idle state (ie kwenye P or N). sasa hii idle control valve because of carbon build up huwa inakumbwa na tatizo la ku-stuck open or close.. sasa hii valve iki stuck close, engine idle speed itakua chini sana na hata kupelekea injini kuzima, iki stuck open basi valve itapitasha hewa nyingi kuingia kwenye combustion chember na kufanya idle speed iwe juu.. (kumbuka hii valve pia ndo inayofanya gari ipandishe silencer juu na kushusha pale unapokua umewasha air condition)


kwahiyo kwa tatizo lako inaonekana idle control valve ya gari yako ime stuck open therefore inaruhusu hewa nyingi kuingia kwenye intake manifold na kufanya idle speed iwe juu.. ni very simple problem ambayo hata wewe mwenyewe unaweza kulitibu.. fungua hiyo idle control valve, chukua carb cleaner spray yoyote pulizia, ule uchafu ukitoka tu gari mpya.., na kama ukimpelekea fundi akusafishie basi cost isizidi Tzs 10,000.

Kwa watu wenye gari inayokuja na throttle body ya umeme hili tatizo halipo na likitokea mara nyingi utakuta mtu kasafisha ile throttle body.. so kama ni gari ya toyota na ina throttle ya umeme, ikitokea idle speed imepanda baada ya kusafisha throttle, usijipe pressure kutafuta fundi ashushe silencer, gari yenyewe itajishusha to appropreate idle speed after few days. (hii ni kwasababu ECU ita relearn new position ya throttle plate na kufanya micro adjustment until idle speed inafika to appropriate level designed for that specific engine.)

Thanks Quote Reply
Report
Reactions:kaburungu, Nguvuyabwana and Warrior
[IMG alt="ozigizaga"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/168/168963.jpg?1659374307[/IMG]

ozigizaga

JF-Expert Member​


Kuna nissan xtrail ina hii tabia pia. ikiwa parking au neutral ni RPM ipo 2 ila ukiweka D au R inashuka

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="new generation"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/74/74043.jpg?1637501561[/IMG]

new generation

JF-Expert Member​


kama ni nissan xtrail ile inayokua na throttle body ya cable basi tatizo ni hiyo Idle control valve, na kama ni nissan xtrail inayokuja na throttle body ya umeme,, check throttle position sensor, check gas peddle position sensor.. mara nyingi hizi zenye throttle ya umeme huwa zina store trouble code (DTC) kwenye issue hii ili ukiweka mashine ikupe readings za trouble code. kumbuka nissan inayokuja na throttle body ya umeme issue yake baada ya ku rekebesha tatizo huwa inahitahi uweke scanner ambayo ni bi-directional kurekebisha idle speed tofuati na toyota ambayo tatizo likisha sortiwa trouble code inaondoka yenyewe (thats why i always like toyota and honda)

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="ozigizaga"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/168/168963.jpg?1659374307[/IMG]

ozigizaga

JF-Expert Member​


shukrani mkuu.

Thanks Quote Reply
Report

[IMG alt="Hermanx"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/685/685338.jpg?1663817921[/IMG]

Hermanx

Member​

SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe ! 0717700921
Sasa hiki ndio nini we jamaa?
 
Hii kitu nimekutana nayo sana kwenye familia tatu za engine za toyota

NZ engines[1NZ-FE, 2NZ-FE]

AZ engines[1AZ, 2AZ]

na ZZ engines [1ZZ sanasana]

Sitotaja gari zinazotumia hizo engine sababu hata nikianza kuzitaja ni nyingi sitamaliza, lakini huenda zaidi ya 50% ya gari ndogo ambazo watu wanatumia zinaangukia kwenye hizo engine family nilizotaja hapo juu.

Hasa nimekutana nayo kwenye Rav 4 na IST lakini huenda ipo kwenye gari nyingi sana sababu toyota gari nyingi zinashare engines.

Okay ishu yenyewe ipo hivi,

Gari inachemsha, inaweza hata ikaunguza cylinder head gasket na kupindisha cylinder head.

Unarudishia kila kitu fresh, ila ukija kuwasha gari, engine inakaa Idling vizuri kabisa ila changamoto inakuja ukikanyaga accelerator.

Ukikanyaga tu accelerator inakuja misi kubwa yaani gari inaweza hata kuzima. Ukiikanyaga taratibu na kwa kwa kuibembeleza ndio mshale wa RPM unapanda vizuri kabisa.

Ila ukikanyaga kawaida au haraka basi lazima imisi. Na ukiwa barabarani ndio ile unakanyaga gari haitembei. Na kibaya zaidi kwenye Diagnostic mashine huwa haioneshi chochote.

Sasa hiyo ishu unaweza ukabadilisha spea mpaka kichwa kikauma ila in real sense sababu kubwa huwa ni Kuharibika kwa Ignition Coil Pack Zote.

Nimeshakutana na Case 6 mtindo huo na mara zote ilikuwa ni Ignition coils.

Ukifunga coil pack zingine ishu inapotea kabisa.
Nadhani napitia changamoto hio kwa sasa, plugs nzima, pump nzima ila gari inaleta miss ya ajabu na hata kuchelewa kuwaka.

Swala nawaza nitapata wapi coils za uhakika maana hata sijui zikiwa nzima zinapimwaje.
 
Back
Top Bottom